
NAIBU HAMIS MWINJUMA AZINDUA UWANJA, REKODI YAANDIKWA
NAIBU Waziri Utamaduni Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma, maarufu kwa jina la FA rasmi amezindua Uwanja wa Airtel, Singida ambao utatumiwa na timu hiyo kwa mechi za ushindani. FA kwenye uzinduzi huo amepiga bonge moja ya penati ambayo ilimshinda mlinda mlango namba moja wa Singida Black Stars, Metacha Mnata. Ilikuwa ni kwa mguu wake wa…