
HUYU KAKOMBA MKWANJA MREFU HUKO AKIWASUBIRI SIMBA AMA SINGIDA
NYOTA wa Mlandege FC kwake ni kicheko baada ya dakika 90 Januari 9 2024 kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali dhidi ya APR alipokomba milioni moja. Wakati akiwa kwenye furaha ya kukomba mkwanja huo anasubiri mshindi kwenye mchezo wa nusu fainali kati ya Simba ama Singida fountain Gate hatua ya nusu fainali unaotarajiwa kuchezwa…