
VIDEO:KICHAPO CHA BAO 4-1 DHIDI YA YANGA, PLUIJM AKIRI SIKU MBAYA
KICHAPO cha mabao 4-1 ambacho walikipata Singida Big Stars dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa kimemfanya Kocha Mkuu wa Singida Big Stars, Hans Pluijm kukiri kuwa ilikuwa siku mbaya kazini