
MWENDA AMEANZA MCHEZO WA KWANZA YANGA
BEKI Israel Mwenda wa Yanga ameanza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara akiwa na uzi wa Yanga baada ya kuibuka hali akitokea Singida Black Stars. Djigui Diarra, Kibwana Shomari, Boka, Dickson Job ni nahodha wa kikosi cha kwanza akiwa ni beki kiongozi. Bacca, Khalid Aucho, Israel Mwenda, Mudathir…