
HESABU ZA YANGA KIMATAIFA ZINAENDELEA KWA MTINDO HUU
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameanza kuwafuatilia wapinzani wake kimataifa katika hatua ya awali Ligi ya Mabingwa unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 7 na 9 Uwanja wa Mkapa. Yanga imetinga hatua hiyo kwa jumla ya ushindi wa mabao 9-0 dhidi ya Zalan FC katika mechi mbili ambazo wamecheza. Ni Al Hilal ya Sudan itamenyana na Yanga…