
MGHANA HUYU KUIBUKIA YANGA MAPEMA
INATAJWA kuwa mabosi wa Yanga wapo kwenye hesabu za mwisho kumalizana na nyota wa Ghana aliyemtungua Diarra kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.
INATAJWA kuwa mabosi wa Yanga wapo kwenye hesabu za mwisho kumalizana na nyota wa Ghana aliyemtungua Diarra kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.
CHINI ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kikosi cha Simba leo kinatarajiwa kuwa kwenye kibarua kizito mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hawa kukutana uwanjani katika msako wa pointi tatu ambapo ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex…
Ni siku nyingine tena ya usiku wa mabingwa amabpo timu kubwa zitashuka dimbani kuchuana vikali kusaka nafasi za kusonga mbele kwenye michuano hii mikubwa Ulaya. Ushindi wa pesa nyingi upo Meridianbet. Tukianza na Atalanta baada ya kupoteza ugenini leo hii watawaleta nyumbani kwao Club Brugge ya kule Ubelgiji. Mwenyeji yupo nafasi ya 3 kwenye ligi…
WAKATI watani zao wa jadi Yanga wakiwa hawana muda wakupoteza ndani ya 18, mastaa wa Simba huwa wanapata kigugumizi wakiwa ndani ya 18 kwenye kumalizia nafasi ambazo wanazipata kujaza ndani ya nyavu. Rekodi zinaonyesha kuwa timu namba moja kwa kufunga mabao mengi ndani ya 18 ni Yanga ikiwa inaongoza pia Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo…
Leo nakutoa dunia ya kawaida, kisha nakupeleka ulimwengu wa Poker Teen Patti. Ulimwengu wa matajiri, uliojaa pesa kila chaguo unaloweka ni ushindi tu. Jisajili Meridianbet kuanza safari yako. Ulimwengu wa michezo ya kasino ya mtandaoni unasifikia kwa kutajirisha watu kwa dau dogo sana, unapocheza mchezo wa poker mfano huu wa Teen Patti, basi wewe unahesabika…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amechaguliwa kuwa mchezaji bora katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Black Stars uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex. Ubao umesoma Yanga 2-1 Singida Black Stars kwa mabao ya Mzize dakika ya 14 alifikisha mabao 10 akiwa kinara katika chati ya utupiaji Bongo. Bao la pili ni mali ya…
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Yanga watakuwa kazini kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Singida Black Stars, Uwanja wa KMC Complex kwenye msako wa pointi tatu. Timu zote mbili zimeweka wazi kwamba hesabu kubwa ni kupata pointi tatu, ukiweka kando mchezo huo kuna mchezo mwingine utakaowakutanisha wababe…
KUKIWA na mpambano wa kusaka bingwa wa ligi namba nne kwa ubora Afrika, Yanga wameweka wazi kuwa wanatwaa taji hilo huku wakiweka wazi kuwa wasiojua mpira hawaamini katika matokeo huku kipa wao Djigui Diarra akiwa kwenye mwendo bora na atatwaa tuzo msimu utakapoisha
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika ikiwa inadhaminiwa na NBC, Yanga wameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu mbele ya Singida Black Stars. Huu ni mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex jioni saa 10:00 ikiwa ni mzunguko wa pili ndani ya 2024/25. Yanga baada ya…
BAADA ya kukoseka kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara kiungo mkandaji wa Simba amerejea katika uwanja wa mazoezi ikiwa tayari kwa mechi zijazo ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Kibu Dennis maarufu kwa jina la Mkandaji alipata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tabora United ambapo baada ya dakika…
Tottenham imeifunga Manchester United mara tatu ndani ya msimu mmoja kwa mara ya kwanza baada ya miaka 35 kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Mashetani hao Wekundu katika dimba la Tottenham. FT: Tottenham 1-0 Man United ⚽ 12’ Madison Man United dhidi ya Spurs msimu huu: ❌ Tottenham 1-0 Man United (EPL) ❌ Tottenham 4-3…
Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri, inawaletea wateja wake ofa kabambe ya BET BOOST, inayokupa nafasi ya kushinda zaidi kwa odds zilizoboreshwa! Kwa kutumia BET BOOST, unaweza kufurahia: ✅ Odds kubwa zaidi kwa mechi zilizochaguliwa ✅ Single Boost kwa mechi maalum zenye odds zilizoongezwa ✅ Fursa ya kujishindia mkwanja mrefu kwa dau dogo Hii ni…
Kampuni kubwa ya ubashiri Meridianbet imekuletea chaguo linaloitwa BET BUILDER ambapo hapa unaweza kuchagua machaguo mengi kwenye timu moja mfano. JKT vs Yanga unaweza ukampa Yanga ashinde, mechi itoe magoli 3, mgeni ashinde vipindi vyote nakadhalika. Maana ya BET BUILDER ni, BET BUILDER ni huduma inayotolewa na Meridianbet kwenye kubashiri ambayo hii inakupa nafasi ya…
KLABU ya KMC imepoteza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika 90 wamepoteza kwa kushuhudia ubao ukisoma KMC 1-6 Yanga. Kiungo mshambuliaji Aziz Ki ambaye ametupia mabao matatu ilikuwa dakika ya 18 kwa mkwaju wa penalti, dakika ya 49 na dakika ya 56…
ALI Kamwe ambaye Ofisa Habari wa Yanga amepelekwa Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, (TFF) na Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Masanzala. Taarifa iliyotolewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB), imeeleza kuwa katika kikoa cha Februari 12 2025 walipitia mwenendo wa…
Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi imewapeleka kwenye kamati ya maadili ya shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF), ofisa habari wa klabu ya Yanga Ali Kamwe na Ofisa habari wa klabu ya Kagera Sugar, Hamis Mazanzala kwa tuhuma za kutenda makosa ya kimaadili kupitia machapisho yao kwenye kurasa za mtandao wa kijamii wa…
BEKI wa kazi Wilson Nangu miongoni mwa wachezaji ambao wanavuja jasho ndani ya JKT Tanzania ambayo ipo ndani ya 10 bora anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo ambao ni Simba. Chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kikosi cha Simba kimeruhusu mabao sita yakufungwa na katika hayo mawili wachezaji wa timu hiyo walijifunga, Ladack…