AZAM FC HAWANA HOFU KUZIKABILI SIMBA NA YANGA

KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wachezaji wa timu hiyo wana uwezo mkubwa hivyo hawahitaji kupewa mambo mengi wa kuzikabili timu kongwe Bongo Simba na Yanga. Msimu wa 2022/23 timu ya kwanza kuwatungua Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda ni Azam FC ambapo iliibuka na ushindi wa bao 1-0 huku…

Read More

BRIGHTON YAICHAPA CHELSEA 4G

UWANJA wa Falmer Brighton wamebaki na pointi tatu zote mazima kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Chelsea mchezo wa Ligi Kuu England. Bao la ufunguzi lilijazwa kimiani na Leandro Trossad dakika ya 5, Ruben Loftur-cheek alijifunga dakika ya 14 na Trevoh Chabobah alijifunga dakika ya 42 na kufanya mapumziko Brighton kuwa wanaongoza. Kipindi cha…

Read More

RAIS YANGA AWAPA UHAKIKA KUTINGA MAKUNDI KIMATAIFA

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema kuwa wanaimani ya timu hiyo kukamilisha mpango wa kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Novemba 2,2022 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Club Africain ya Tunisia, Uwanja wa Mkapa. Injinia amesema:”Nataka…

Read More

GEITA 0-1 YANGA

BAO la penalti limefungwa na Bernard Morrison dakika ya 45 na kuwapeleka Yanga mapumziko Uwanja wa CCM Kirumba wakiongoza mbele ya Geita Gold. Mwamuzi wa kati anajua kuhusu penalti hiyo namna ilivyoweza kuamuriwa kwa kuwa alikuwa karibu na mpira. Kutokana na penalti hiyo wachezaji wa Geita Gold walionekana wakilalamika na kupelekea Ayoub Lyanga kuonyeshwa kadi…

Read More

MIPANGO YA SIMBA KUMTUMIA MZAMIRU ILIKWAMA HIVI

MZAMIRU Yassin kiungo wa kazi ndani ya Simba mchezo wake wa kwanza kutokuwa kwenye mpango wa benchi la ufundi msimu wa 2022/23 ilikuwa dhidi ya Azam FC kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano. Hakuwa kwenye mpango wakati timu hiyo ikinyooshwa kwa kufungwa bao 1-0 Uwanja wa Mkapa Oktoba 27,2022. Nyota huyo mzawa…

Read More

FEISAL KUONGEZA ZAIDI JUHUDI YANGA

 KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum amesema kuwa atazidi kuongeza juhudi katika kutengeneza nafasi na kufunga pale anapopewa nafasi ya kucheza. Kiungo huyo mzawa ni namba moja kwa mastaa wenye mabao mengi ndani ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Bao lake la nne alipachika kwenye mchezo wa ligi dhidi ya KMC uliochezwa Uwanja wa…

Read More

AZAM FC YASEPA NA POINTI TATU ZA SIMBA

AZAM FC wameupiga mpira mwingi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Simba na kufanikiwa kusepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Pongezi kwa Prince Dube ambaye alifunga bao la ushindi dakika ya 35 kwenye mchezo huo ambapo Simba walikuwa hawapo kwenye ubora wao. Kwenye kila idara Simba leo walikuwa wamezidiwa…

Read More

AIR MANULA ANATUNGULIWA TU MABAO YA MBALI

KIPA namba moja wa Simba, Aishi Manula hana bahati anapokutana na Yanga kwenye mechi za ligi kutokana na kutunguliwa mabao magumu na wapinzani hao wakiwa nje ya 18. Manula msimu wa 2022/23 amekaa langoni kwenye mechi 6 akiyeyusha dakika 540 akiwa hajafungwa kwenye mechi nne na ni mechi mbili kufungwa ilikuwa dhidi ya KMC alipofungwa…

Read More

YANGA KUCHAGUA SIKU YA KUFUNGWA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa watapanga wao lini wafungwe ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na uimara walionao. Kwenye ligi Yanga imecheza mechi 44 bila kufungwa ambapo walilazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Simba ambao ni watani zao wa jadi. Jana walipata ushindi wa bao1-0 dhidi ya KMC kwenye mchezo…

Read More

KIUNGO WA KAZI ANAREJEA SIMBA

SADIO Kanoute, kiungo mgumu ndani ya kikosi cha Simba hali yake inazidi kutengemaa mdogomdogo baada ya kuugua ghalfa kabla ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. Nyota huyo raia wa Mali hakuwa sehemu ya mchezo dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 23 na kukamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1 kutokana…

Read More