
YANGA WAFANYA HAFLA NA MATAJI YAO,WAREJEA DAR
UONGOZI wa Yanga chini ya Rais Eng Hersi Said, Benchi la ufundi na wachezaji leo Januari 7 2023 wamemtembelea Mama Fatma Karume pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wadhamini na kuwakabidhi makombe manne waliyoshinda mwaka 2022. Hafla hiyo imefanyika nyumbani kwa Mama Fatma Karume, maeneo ya Maisara, Zanzibar 2023. Kikosi cha Yanga kilikuwa Zanzibar kwa…