
BEKI WA KAZI SIMBA SC KAMILI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025
SIMBA SC wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Mei 25 2025 watakuwa na kazi nzito mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa fainali ya pili la Kombe la Shirikisho Afrika huku beki wao akiwa kwenye asilimia kubwa kurejea uwanjani. Jina lake ni Abdulrazack Hamza, yupo kwenye orodha ya wachezaji…