


HUKU NDIKO AMEIBUKIA FEI TOTO
2023 kiungo wa mpira mwenye mkataba na Yanga mpaka 2024 umemkutia akiwa ndani ya Dubai ambapo amekwenda kwa ajili ya majukumu yake. Nyota huyo mwenye mabao sita na pasi mbili za mabao amekuwa kwenye mvutano na mabosi wa timu yake kuhusu mkataba wake. Fei mwenyewe amewaaga mashabiki na kuwashukuru viongozi kwa muda ambao ametumika ndani…

YANGA YAFUNGA MWAKA NA POINTI TATU ZA MANUNGU
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Mtibwa Sugar na Yanga uligotea dakika 26 baada ya mabingwa hao watetezi wa ligi kuwatibulia mipango mapema wapinzani wao. Ni bao la Aziz KI dakika ya 26 la kipindi cha kwanza limedumu mpaka dakika 90 za mwamuzi kukamilisha mchezo huo. Pigo la faulo iliyoonekana kutokuwa na hatari ilimduwaza…

WATATU SIMBA WAPENYA KUWANIA ZAWADI YA MWAKA
NYOTA watatu wa kikosi cha Simba wamepenya kwenye hatua ya kuwania tuzo ya mchezaji bora. Ni tuzo ya kufungia mwaka 2022 ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Atakayesepa na tuzo hiyo atakuwa amefungua zawadi ya kwanza kutoka kwa mashabiki kwa 2023 kutoka kwa mashabiki. Ni kiungo Clatous…

AZIZ KI AMTUNGUA KIMWERI
UBAO wa Uwanja wa Manungu unasoma Mtibwa Sugar 0-1 Yanga. Bao la Aziz KI dakika ya 26 linaipa uongozi timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Pigo la faulo iliyoonekana kutokuwa na hatari ilimduwaza kipa wa Mtibwa Sugar Razack Kimweri ambaye alikutana na mpira nyavuni. Ukuta wake wa wachezaji watatu ambao aliwapanga pamoja na…

KIKOSI CHA MTIBWA SUGAR DHIDI YA YANGA
KIKOSI cha Mtibwa Sugar kitakachoanza dhidi ya Yanga mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Manungu:- Razack Kimweri David Kameta Issa Rashid Jofrey Luseke Mwihambi Vedastus James Kotei Ismail Mhesa Mapinduzi Balama Ilanfya Juma Ganambali Omary Sultan

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA DHIDI YA MTIBWA SUGAR
KIKOSI cha Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar hiki hapa:- Djigui Diarra Kibwana Shomari Farid Mussa Bakari Mwamnyeto Dickson Job Zawad Mauya Jesus Moloko Sure Boy Mayele Aziz KI Kisinda

VIDEO:KIMEUMANA FEI AVAA JEZI NYEKUNDU/ATAKA GARI NA NYUMBA
KIMEUMANA Fei avaa jezi nyekundu/ ataka gari na nyumba

WAKULIMA WAZABIBU WAFUNGA MWAKA KWA USHINDI
DODOMA Jiji waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa kufungia mwaka 2022. Ni mabao ya Mwaterema dakika ya 24 na Opare dakika ya 66 yalitosha kuzamisha jahazi la Kagera Sugar inayotumia Uwanja wa Kaitaba kwenye mechi za nyumbani. Ushindi huo unaifanya Dodoma Jiji kufikisha pointi 21 ikiwa nafasi ya…

BATO YA WATANI WA JADI KUPIGWA APRILI
BATO ya watani wa jadi ndani ya 2023 inatarajiwa kuwa ni Aprili 9 ndani ya Ligi Kuu Bara kwenye mzunguko wa pili wa 2022/23. Mtanage wa kwanza wababe hawa wenye ngome zao pale Kariakoo ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-1 Yanga. Watupiaji wote walitupia mabao yao ndani ya kipindi cha kwanza ikiwa ni…

YANGA BILA FEI TOTO, KWA MIFUMO HII UNAPASUKA, SAIDO REKODI
YANGA bila Fei Toto kwa mifumo huu unapasuka, Saido aanza na rekodi kibao Simba, ndani ya Championi Jumamosi

WATATU WATEMWA NDANI YA AZAM FC
KIKOSI cha Azam FC leo Desemba 31,2022 kitamenyana na beya City kikiwa kimeachana na nyota wake wawili jumlajumla. Ni kipa namba mbili Ahmed Salula ambaye msimu huu hajapata nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza pamoja na nyota Chilunda. Wanafikisha idadi ya nyota watatu ambao wameachwa na Azam FC wakiungana na Ibrahim Ajibu ambaye anaibukia ndani…

LIVERPOOL WASHINDA KWA ZAWADI YA MABAO
MABAO mawili ya kujifunga kutoka kwa nyota Wout Faes yaliisaidia Liverpool kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Leicester. Ushindi huo unaifanya timu hiyo kushika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu ya England. Hii ni mechi ya kwanza ya Liverpool ikiwa Uwanja wa Anfield baada ya Kombe la Dunia na timu hiyo…

CHAMA CHA WATU WENYE UALBINO- TAS WAPATA MSAADA WA VIFAA
Katibu Mkuu Chama cha Watu Wenye Ualbino Mkoa wa Dar Es Salaam Gaston Mcheka ametoa shukrani baada ya kupokea vifaa vya kuwasaidia katika shughuli zao za kila siku. Vifaa hivyo ni Mafuta maalum ya kutunza Ngozi, na kofia za kujikinga na mwanga wa jua ambavyo vyote hivyo vimetolewa kama msaada na Meridianbet Tanzania ikiwa ni…

SIMBA YAPIGA KIFURUSHI, MANULA KATUNGULIWA
KIKOSI cha Simba kimeibuka na ushindi wa mabao 7-1 Prisons katika mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mabao ya ya nahodha John Bocco ambaye alitumia pasi ya Saidi Ntibanzokiza dakika ya 12,alifunga bao lingine dakika ya 46 na 62. Shukrani kwa Ntibanzokiza ambaye alifunga mabao matatu pia kwenye mchezo wake wa kwanza akiwa…

YANGA KAMILI KUIVAA MTIBWA SUGAR
KUELEKEA mchezo wa kesho kati ya Mtibwa Sugar v Yanga benchi la ufundi la vinara wa ligi limeweka wazi kuwa lipo tayari. Yanga imekuwa na mwendo wake bora ndani ya ligi ikiwa imetoka kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Azam FC wa mabao 3-2. Kesho Desemba 31 ina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya…

SIMBA 1-1 PRISONS
UBAO wa Uwanja wa Mkapa dakika 45 zimekamilika ukisoma Simba 1-1 Tanzania Prisons. Uzembe wa kipa namba moja wa Simba, Air Manula kwenye kuokoa mpira wa hatari uliopigwa na Kimenya umeigharimu timu yake. Pongezi kwa mfungaji Jeremia Juma ambaye alikuwa kwenye eneo akiwa ametulia kama maji kwenye mtungi akamchagulia eneo la kumtungua Manula ambaye alikuwa…