AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO 2-1,DUBE ATUPIA

AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo unemalizwa ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza baada ya mabao matatu kufungwa. Namungo FC walianza kutupia bao la kuongoza dakika ya 2 kupitia kwa Mohamed Issa likasawazishwa na Prince Dube dk ya 22….

Read More

NABI ATAKA REKODI HII YANGA

KOCHA wa Yanga, Nasrredine Mohamed Nabi, amefunguka kuwa anahitaji timu yake iwe na uwezo mkubwa zaidi wa kumiliki mpira na kuwa na rekodi ya kupiga pasi nyingi kwenye kila mechi.   Nabi alisema soka la kisasa limebadilika sana kwa sababu timu yenye uwezo wa kumiliki mpira muda mrefu na kupiga pasi nyingi ndiyo huwa na nafasi ya kushinda mchezo kwa sababu wachezaji wanaongeza kujiamini.  Nabi amesema timu yake imekuwa na…

Read More

NYOTA NTIBANZOKIZA ASEPA NA TUZO KIBAO

NYOTA wa Simba Saido Ntibanzokiza amefunga msimu wa 2022/23 kabati lake likiwa limejaza tuzo sita ikiwa ni rekodi bora kwake mbele ya mastaa wa Namungo, Yanga na Singida Big Stars. Ni Tuzo ya mchezaji bora kwa Mei akiwashinda Prince Dube wa Azam FC na Charlse Ilanfya wa Mtibwa Sugar ambapo ndani ya Mei nyota huyo…

Read More

VIZINGITI VYA MABAO SIMBA V YANGA

KUMEPOA mtaani kama hakuna kilichotokea vile baada ya dakika 90, Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 0-0 Yanga na kufanya asiwepo mbabe. Hapa tunakuletea vizingiti vilivyosababisha mambo kuwa hivyo namna hii:- Manula Aliokoa hatari dk ya tano shuti la Jesus Moloko pia aliweza kuwa kizingiti kwa Moloko dk ya 49, dk ya 58 aliokoa hatari ya…

Read More

AZAM FC YAIPIGIA HESABU MTIBWA SUGAR

YUSUPH Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wanafanyia kazi makosa ambayo yalitokea kwenye mechi zilizopita ili kupata matokeo kwenye mechi zijazo. Novemba 24 Azam FC inatarajiwa kuwakabirisha Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa ligi utakaochezwa Uwanja wa Azam Complex. Ilicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya JKU Novemba 19 ikiwa ni maandalizi kwa mechi zijazo…

Read More

Unataka ODDS KUBWA? Njoo Mwananyamala Kuna Duka Jipya la Meridianbet Litakupa Ukitakacho

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, walisema sana mwisho wa siku vita vimewashinda jemedari mwenyewe wakali wa hizi kazi Meridianbet, walifika Duka la ubashiri la Mwananyamala kufanya uzinduzi wa duka hilo kwa kutoa huduma bora za ubashiri, kubwa Zaidi Odds kubwa kila mechi, machaguo Zaidi ya 1,000. Huu ni muendelezo wa uzinduzi wa maduka ya ubashiri ya…

Read More

AZAM FC WAIFUATA COASTAL UNION ARUSHA

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa wachezaji wao wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Coastal Union. Leo Mei 26 kikosi hicho kimeanza safari kuelekea Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Mchezo wa mwisho uliopita Azam FC…

Read More

BREAKING:JEMBE JIPYA SIMBA LATAMBULISHWA

UONGOZI wa Simba umemtambulisha nyota wao mpya Jean Baleke. Nyota huyo ni mshambuliaji ambapo amepewa dili la miaka miwili kuwa ndani ya kikosi hicho ambacho kipo Dubai kwa sasa. Anaibuka ndani ya kikosi cha Simba akitokea kikosi cha TP Mazembe. Dili hilo limejibu baada ya pande zote kukubaliana hivyo kwa sasa atakuwa ndani ya kikosi…

Read More

MITAMBO YA MABAO AZAM FC HII HAPA

WAKIWA ni vinara ndani ya Ligi Kuu Bara Azam FC kuna nyota wawili ambao ni mitambo ya mabao ikiwa ni pamoja na Feisal Salum na Kipre Junior. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Yuuph Dabo ilikuwa kwenye mwendo mzuri wa ligi lakini kwenye Mapinduzi 2024 iligotea hatua ya robo fainali ilipokwama kupata ushindi mbele ya…

Read More

FISTON MAYELE ATAJA SABABU ZA KUFUNGA MABAO 10

FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa sababu kubwa ya kuweza kufunga mabao 10 ndani ya ligi ni kutimiza majukumu yake pamoja na kufanya kile anachokifanya mazoezini. Msimu wa 2021/22 Mayele amecheza mechi 18 na kufunga mabao 10 kati ya 31 ambayo yamefungwa na timu hiyo na ametoa pasi 3 za mabao. Mayele amesema kuwa…

Read More