
MERIDIANBET YALETA FARAJA NA MSAADA MAKUMBUSHO NA MWANANYAMALA KWA FAMILIA ZENYE HIBA
Katika hatua nyingine ya kuonyesha moyo wa kusaidia jamii, Meridianbet imefika maeneo ya Makumbusho na Mwananyamala kwa ziara ya kurudisha kwa jamii, kwa lengo la kuwahamasisha na kuwasaidia familia mbalimbali zilizo katika mazingira magumu. Kampuni hii inayoongoza kwenye ubashiri mtandaoni imeendelea kutekeleza ahadi yake ya kurudisha kidogo kwa jamii kwa kuwapatia msaada wa vyakula na…