AUSTRIA YAMALIZA KILELENI KUNDI D, UFARANSA NAFASI YA PILI
Timu ya taifa ya Ufaransa imelazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Poland katika mchezo wa raundi ya tatu wa Kundi D kwenye EURO 2024. Sare hiyo inaifanya Ufaransa kumaliza nafasi ya pili kwenye kundi hilo ingawa tayari ilishafuzu hatua ya mtoano. Katika mchezo mwingine wa kundi D, Austria imebainisha Uholanzi 3-2 na kumaliza kileleni mwa…