
SINGIDA FOUNTAIN GATE WAPEWA M 50 NA SportPesa
KAMPUNI ya kubashiri ya SportPesa leo Juni 3 imekabidhi hundi ya shilingi milioni 50 kwa Klabu ya Singida Fountain Gate FC ambayo zamani ilikuwa inaitwa Singida Big Stars. Hiyo yote ni baada ya kukamilisha msimu ikiwa nafasi ya nne katika NBC Premier League msimu wa 2022/23. Katika hafla hiyo iliyofanyika makao makuu ya kampuni hiyo…