Home Sports VIDEO:AZAM FC KUSHUSHA MAJEMBE WENGINE WAWILI

VIDEO:AZAM FC KUSHUSHA MAJEMBE WENGINE WAWILI

AZAM FC kushusha majembe wengine wawili wa kazi kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Wafungukia ishu ya Feisal Salum kiungo wa kwanza kusajiliwa akitokea kikosi cha Yanga.

Feisal ni kiungo anayevaa jezi namba sita kutoka Yanga na sasa atakuwa akipata changamoto mpya ndani ya Azam FC katika ligi kuu bara

Previous articleMWAMBA ANAYETAJWA YANGA KUIBUKIA JKT TANZANIA
Next articleMO AFANYA KUFURU USAJILI,BOSI YANGA ATANGAZA UMAFIA