ISHU YA USAJILI AZAM FC IPO HIVI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa masuala yote yanayohusu usajili yapo mikononi mwa benchi la ufundi hivyo wao wakitoa ripoti uongozi unafanya kazi ya kuwaleta wachezaji hao. Kwa msimu wa 2021/22 mabosi wa Azam FC wameshudia timu hiyo ikiwa kwenye mwendo wa kusuasa baada ya kucheza mechi sita imekusanya pointi saba na safu ya…

Read More

AZAM FC YAWAITA MASHABIKI ARUSHA

 ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa mashabiki wa Azam FC wana kazi moja tu kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuweza kushuhudia burudani. Azam FC leo Mei 29 itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Coastal Union kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la…

Read More

KUMBE YANGA WALIPANIA KITAMBO KWELI

YANGA jana Jumapili waliweza kulisimamisha Jiji la Dar wakiwa wanalitembeza kombe lao la Ligi Kuu Bara walilolitwaa msimu huu wa 2021/22.  Ubingwa huo ni wa 28 kwa Yanga ambapo jana Jumamosi walikabidhiwa kombe lao baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya.  Msemaji wa Yanga, Haji Manara,…

Read More

SIMBA WATAJA SABABU YA KUSHINDWA KUPATA MATOKEO

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna ugumu mkubwa wa kupata matokeo kutokana na ubora wa viwanja pamoja na kushindwa kutumia nafasi ambazo wanazipata. Mechi mbili ugenini, Pablo kaambulia pointi nne huku akipoteza pointi mbili kwenye msako wa pointi sita, mchezo wake ujao ni dhidi ya Orlando Pirates ambao wa ni wa Kombe…

Read More

YANGA MBELE YA JKT TANZANIA REKODI HIZI HAPA

CHINI ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, Yanga walikomba pointi tatu mazima baada ya ubao wa Uwanja wa Azam Complex kusoma Yanga 2-0 JKT Tanzania. Hapa tunakuletea baadhi ya rekodi za wachezaji wa timu zote mbili namna hii:- DJIGUI DIARRA Kipa namba moja wa Yanga mchezo wake wa sita mfululizo ambazo ni dakika 540 amekaa langoni…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA

 LIGI Kuu Tanzania Bara leo Septemba 6 inaendelea kwa mechi mbili kuchezwa katika viwanja tofauti. Geita Gold wao watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Kagera Sugar, mchezo utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Geita Gold ipo nafasi ya 13 na pointi moja inakutana na Kagera Sugar iliyo nafasi ya 16 haijakusanya pointi. Kagera Sugar…

Read More

MWISHO WA MJADALA, MOROCCO INATOSHA AFCON 2025

Saleh Ally, Casablanca NOVEMBA mwaka jana wakati wa Fainali za Ligi ya Mabingwa ya Wanawake iliyofanyika nchini hapa, Rais wa Caf, Patrice Motsepe aliwakaribisha Morocco kuingia kuomba kuandaa mashindano ya Afcon mwaka 2025. Motsepe hakuwa na choyo katika maneno yake, alieleza wazi ambavyo amekuwa akivutiwa na Morocco inavyojipanga katika masuala kadhaa ya soka lakini pia…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AZAM FC

KIKOSI cha Simba dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation:- Ally Salim ameanza langoni Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin Jean Baleke Ntibanzokiza Kibu Dennis

Read More

MKATABA WA MAYELE YANGA UPO NAMNA HII

HATIMAYE mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele amevunja ukimya juu ya mkataba wake na Yanga, ambapo ameweka wazi kuwa yeye si mchezaji wa mkopo bali alisaini mkataba wa miaka miwili na bado amebakiza mwaka mmoja. Mayele alijiunga na Yanga Agosti 1, 2021 kwa mkataba wa miaka miwili akitokea katika Klabu ya AS Vita ya kwao DR…

Read More

MORRISON AWASHUKURU YANGA

BAADA ya Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo,(CAS) kutoa maamuzi kuhusu kesi ya kiungo Bernard Morrison ambaye ilikuwa ni utata kuhusu mkataba wake na mabosi wake wa zamani Yanga mchezaji huyo ameandika ujumbe wa kushukuru. Jana Novemba 22 CAS ilitoa hukumu kwa kueleza kuwa imetupilia mbali rufaa ya kesi iliyokatwa na Yanga kuhusu dili la mkataba…

Read More

VINARA WA LIGI KUFANYIWA MAZOEZI MAALUMU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wachezaji wao wote wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Aprili 16 huku wachezaji wote wakiwa fiti. Miongoni mwa wachezaji wa Simba ambao hawakuwa fiti hivi karibuni ni Shomari Kapombe aliyepata maumivu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa…

Read More