MGHANA HUYU AINGIA ANGA ZA YANGA

COLLINS Opare nyota wa Dodoma Jiji anatajwa kuwa kwenye hesabu za kusajiliwa na Yanga kwa ajili ya kuongeza makali kwenye safu ya ushambuliaji. Raia huyo wa Ghana ni miongoni mwa washambuliaji wenye mchango mkubwa ndani ya Dodoma Jiji akiwa ametupia kambani mabao 9. Kwenye mchezo uliopita dhidi ya Namungo wakiwa ugenini bao pekee la ushindi…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

IKIWA ni mchezo wa hatua ya robo fainali ni Ally Salim ameanza langoni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Wydad Casablanca. Shomari Kapombe, Henock Inonga,Joash Onyango na Mohamed Hussein hawa upande wa ulinzi. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute hawa upande wa viungo wakabaji. Kibu Dennis, Saidi Ntibanzokiza na Clatous…

Read More

NYOTA MPYA YANGA AOMBA JEZI NAMBA 7

LAZAROUS Kambole mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Yanga amesema kuwa anapenda kutumia jezi namba 7 kwa msimu mpya wa 2022/23. Raia huyo wa Zambia amesaini dili jipya ndani ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Alitambulishwa ndani ya kikosi hicho Juni 16,2022 ikiwa ni siku moja baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa 28…

Read More

ZALAN 0-0 YANGA, UWANJA WA MKAPA

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya awali, Uwanja wa Mkapa, Zalan FC 0-0 Yanga. Ni dakika 45 za nguvu kwa kila timu kuonyesha ubabe wake lakini hakuna ambaye ameweza kuona nyavu za mpinzani wake. Kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi anakwenda mapumziko kuwabadilishia mbinu wapinzani wake ambao nao wanahitaji ushindi.

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI

HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Dodoma Jiji, mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Jamhuri Dodoma:- Aboutwalib Mshery Kibwana Shomari Kibabage Job Bacca Aucho Mzize Mudathir Dube Aziz Ki Pacome Akiba:-Khomein, Kassim, Nondo, Boka, Mkude, Nkane,, Sureboy, Abuya,, Farid, Shekhan Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, kukipata…

Read More

HILI HAPA JEMBE JIPYA YANGA

MIAKA miwili kasaini mwamba Yao Kouas Attouhula akitokea Klabu ya ASEC Mimosa kuwa ndani ya Klabu ya Yanga. Ikumbukwe kwamba timu hiyo aliwahi kucheza Aziz Ki ambaye ni kiungo wa Yanga anayevaa jezi namba 10. Huyu anakuwa nyota watano kusajiliwa ndani ya Yanga baada ya Nickson Kibabage, Gift Fred,Jonas Mkude na Maxi Mpia Yeye ni…

Read More

YANGA NI WAKALI KWENYE USHAMBULIAJI

YANGA wanaongoza kuwa na safu matata ya ushambuliaji wakiwa wamefunga mabao 9 kwenye mechi nne za ligi huku Simba wakiwa wamefunga mabao 8. Kwa Yanga ni Fiston Mayele na kwa Simba ni Moses Phiri wanaongoza kwa kufunga mabao mengi ambayo ni matatumatatu, yale ya kufungwa kwa Yanga ni mabao matatu na Simba wamefungwa mabao mawili….

Read More

Ifahamu Sayari ya 67 na Meridianbet Kasino

Anza safari kuelekea sayari ya mbali Zaidi nje ya ulimwengu huu kushuhudia maajabu ya nje ya dunia, safari hii itakupeleka mpaka sayari ya kujifikirika ya Planet 67 kupitia Meridianbet Kasino ya Mtandaoni. Planet 67 ni mchezo wa bingo wa kasino ya mtandaoni wenye nambari 90 ambapo wachezaji wanaweza kucheza hadi kadi 4 kwa kila duru…

Read More

KOCHA YANGA ATAMBULISHWA KWENYE TIMU MPYA

NI rasmi Nasreddine Nabi (57) aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ametangazwa kuwa kocha wa mabingwa wa Morocco AS FAR Rabat. Ni mkataba wa miaka miwili amesaini kwa ajili ya kuwatumikia mabingwa hao wa Morocco. Nasreddine Nabi ambaye ni raia huyo wa Tunisia alitangazwa kuachana rasmi na Yanga mwishoni mwa msimu wa 2022/23 ambapo alikuwa…

Read More