CHELSEA IMEBUTULIWA HUKO

TOTTENHAM imesepa na pointi tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Chelsea. Mabao ya Oliver Skipp dakika ya 46 na Harry Kane dakika ya 82 yameipa ushindi Spurs. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Tottenham Hotspur umesoma Tottenham 2-0 Chelsea. Chelsea inabaki na pointi 31 ikiwa nafasi ya 10 huku…

Read More

MTIBWA SUGAR 0-2 AZAM FC

FT: Uwanja wa Manungu Ligi Kuu Bara Mzunguko wa pili Mtibwa Sugar 0-2 Azam FC. Feisal Salum goal dakika ya 20 Gibril Sillah goal dakika ya  65. Mtibwa Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila inapambana kupata pointi tatu kujinusuru hatari ya kushuka daraja. Inapambana na Azam FC ambayo inasaka nafasi ya pili kufanikisha malengo…

Read More

KOCHA MANCHESTER UNITED UZOEFU TATIZO

MKONGWE wa Manchester United, Paul Scholes ameweka wazi kuwa Michael Carrick hatakiwi kuwa kocha wa moja kwa moja ndani ya kikosi hicho kwa wakati huu kwa kuwa hana uzoefu. Carrick anaiongoza Manchester United kwa muda mara baad ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo Ole Gunnar Solkjaer kuchimbishwa kikosini hapo kutokana na mwendo mbovu wa tim…

Read More

PUMZIKA KWA AMANI LEGEND PELE

GWIJI wa soka wa Brazil Pele, mmoja wa wachezaji bora zaidi wa wakati wote, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82. Mshambulizi huyo wa zamani, ambaye ndiye mchezaji pekee katika historia kushinda vikombe vitatu vya Kombe la Dunia, aliaga dunia katika hospitali ya Albert Einstein mjini Sao Paulo kufuatia kuugua saratani. Pele, ambaye ni…

Read More

WALLACE KARIA ASALIA PEKEE KINYANG’ANYIRO CHA URAIS TFF BAADA YA WAGOMBEA WATANO KUNG’OLEWA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, sasa amesalia kuwa mgombea pekee wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo unaotarajiwa kufanyika Agosti 16, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, wagombea wengine waliokuwa wamejitokeza kuwania nafasi hiyo wameshindwa kutimiza sifa kwa mujibu wa…

Read More

SALAH NI BORA DUNIANI

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool, Fernando Torres amesema kuwa nyota Mohamed Salah ambaye ni mshambuliaj ndiye mchezaji bora kwa sasa duniani.   Salah anawania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka ya dunia ambayo itatolewa mwezi ujao na Shirikisho la Soka la Kimataifa,(Fifa) na watu wengi wamekuwa wakiamini kuwa anastahili kutwaa tuzo hiyo. Torres aliweza kuutazama…

Read More

KIMATAIFA:YANGA 0-0 ZALAN FC

UWANJA wa Mkapa, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya awali ubao unasoma Yanga 0-0 Zalan, FC. Hakuna mbabe kwa timu zote mbili kwa sasa ndani ya dakika 45 huku Yanga ikionekana kuanza kwa kasi kuliandama lango la Zalan FC. Mashuti 8 Yanga wamepiga hajalenga lango huku Zalan FC wao wakipiga shuti moja ambalo…

Read More

YANGA YAANZA KWA MAJANGA TENA

KLABU ya Yanga imepigwa faini ya shilingi laki tano kwa kosa la kuwakilishwa na maofisa wanne badala ya watano katika kikao cha maandalizi ya mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Mkapa. Mkutano huo kwa mujibu wa taarifa imeeleza kuwa ulifanyika Novemba 2, Uwanja wa Mkapa. Adhabu hiyo imetolewa kwa kwa uzingativu wa kanuni ya 17,(2) na…

Read More

YANGA YAMUANDIKIA BARUA FEI TOTO, WATAALAMU KUJADILI KIDOGO

SAKATA la nyota wa Yanga, Feisal Salum na mabosi wake Yanga bado halijafika mwisho ambapo waajiri wake hao wameweka wazi bado mchezaji ni mali yao. Fei aliwashukuru Yanga na kuweka wazi kuwa anahitaji kupata changamoto nyingine kwa kile kilichoelezwa kuwa amevunja mkataba na kurejesha fedha ambazo zilikuwa zinahitajika kwa mujibu wa mkataba wake. Kesi hiyo…

Read More

Yanga SC vs JS Kabylie, Jumapili ya kazi

Yanga SC vs JS Kabylie, Jumapili ya kazi kwa wawakilishi wa Tanzania kutupa karata ya mwisho katika anga la kimataifa. Mchezo huo ni muhimu kwa Yanga SC kupambania malengo yakutinga hatua ya robo fainali wakiwa nafasi ya tatu na pointi 5 huku wanaowania nafasi hiyo wengine ni AS Far Rabat hawa wapo nafasi ya pili…

Read More

PUMZIKA KWA AMANI DAMIANO KOLA MZAZI WA RODGERS WA AZAM

JANA Juni 12,2022 ilikuwa ni safari ya mwisho duniani ya baba mzazi wa mashambuliaji wa Azam FC, Rodgers Kola aitwaye Damiano Kola Senior. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu, mahala pema peponi. Amen. Taarifa ya kutangulia kwa haki kwa mzazi huyo wa Kola ilitolewa na Azam FC Juni 10,2022. Msimu huu mshambuliaji huyo amekuwa kwenye ubora wake…

Read More