MRITHI MIKOBA YA BALEKE NI BALAA TUPU

MRITHI wa mikoba ya mshambuliaji, Jean Baleke ambaye anaondoka akiwa namba moja kwenye utupiaji ndani ya ligi akiwa katupia mabao 8, Michael Fred ana balaa kutokana na rekodi zake. Ni Michael Fred raia wa Ivory Coast anatajwa kubeba mikoba ya Baleke ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba kwa msimu wa 2023/24 kwenye mechi zilizobaki…

Read More

MWENDO WA POLISI TANZANIA UNAFIKIRISHA

MWENDO wake kwa msimu wa 2022/23 wa Polisi Tanzania sio wa ligwaride songa mbele bali ni ligwaride rudi nyuma ikiwa unafikirisha kwelikweli. Januari 14 ikiwa ugenini, ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Polisi Tanzania na walikamilisha dakika 90 wakiwa pungufu. Kwenye mchezo huo mchezaji wao mmoja alionyeshwa kadi nyekundu wakati wakiongoza bao moja…

Read More

SIMBA KUWASILI DAR LEO

KIKOSI cha Simba leo Septemba 11,2022 kinatarajiwa kuwasili Dar kikitokea Malawi ambapo kilikuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ulikuwa ni mhezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big Bullets, uliochezwa Septemba 10,2022 na ubao wa Bingu ulisoma Big Bullets 0-2 Simba. Mabao ya Moses Phiri na John Bocco yalitosha…

Read More

KUHUSU AUCHO, KIBWANA, PACOME ISHU YAO IPO HIVI

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns uongozi wa Yanga umebainisha kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huku ukibainisha kuhusu hali za wachezaji wao ambao hawapo fiti ikiwa ni Khalid Aucho, Pacome, Kibwana Shomari. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Mahi 30 Uwanja wa Mkapa

Read More

MWAMBA HUYU YUPO NYUMA YA MDAKA MISHALE NA WENGINE

UIMARA wa kipa namba moja wa Yanga, Djigui Diarra nyuma yupo mtaalamu wa mbinu anaitwa Milton Nienov. Sio mdaka mishale tu hata Metacha Mnata pia ambaye ni kipa namba mbili kwa sasa ananolewa na kocha huyu. Erick Johora na Aboutwalib Mshery ambaye bado hajwa imara akirejea atakuwa mikononi mwa kocha huyu. Katika upande wa ulinzi…

Read More

KOCHA STARS:TUNA TIMU NZURI

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars, Kim Poulsen, amesema kuwa Watanzania wanatakiwa kuelewa kuwa wana timu bora sana ya taifa kwa sasa na wanatakiwa kuwa na imani nayo na kutoa sapoti kubwa. Kim ameyasema hayo baada ya Stars kuibuka na ushindi mbele ya Afrika ya Kati wa mabao 3-1 kwenye mchezo wa…

Read More

NABI:REAL BAMAKO NAWATAMBUA, MCHEZO UTAKUWA MGUMU

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa anawafahamu wapinzani wake Real Bamako hivyo ataingia kwa tahadhari. Leo Februari 26 Yanga inatupa kete yake ya tatu kwenye hatua za kimataifa katika Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Kete ya kwanza Yanga ilipoteza ugenini dhidi ya US Monastir kisha ikpata ushindi dhidi ya TP Mazembe…

Read More

MRITHI WA PABLO APEWA MASHARTI MAZITO

IKIWA kwa sasa Simba wanasaka nafasi ya mrithi wa Pablo Franco aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, mabosi wa timu hiyo wamebainisha kwamba kocha ajaye lazima awe na ubora na akubali kufanya vizuri kimataifa. Pablo alifutwa kazi Simba Mei 31, mwaka huu na mafanikio yake makubwa ilikuwa ni kutwaa Kombe la Mapinduzi na kutinga robo…

Read More

MABAO TISA UHAKIKA NDANI YA YANGA

 MASHINE mbili za kazi ndani ya kikosi cha Yanga ni uhakika kuwa ndani ya kikosi hicho baada ya kuongeza madili mapya mpaka 2024. Ni Djuma Shaban mzee wa kumwaga maji na mchezaji bora wa msimu wa 2021/22 Yannick Bangala wote wawili raia wa DR Congo wameongeza kandarasi ya miaka miwili. Wawili hao walihusika kwenye mabao…

Read More

MWANZO MBAYA KIMATAIFA IWE NI SOMO KWA VITENDO

WAWAKILISHI wa kimataifa kwenye mechi za kimataifa nyumbani na ugenini hakuna ambaye ameanza kwa mwendo mzuri.Ipo wazi kuwa ni mwendo mbovu wameanza nao kwa kushindwa kupata matokeo. Kutokana na kuanza hivyo kwa kushindwa kushinda huku wachezaji wakionekana kutotumia nafasi wanazotengeneza ni muhimu kutumia ubovu huo kuwa darasa huru kwenye mechi zinazofuata. Yanga na Simba katika…

Read More

REKODI YA DTB YATIBULIWA NA GREEN WARRIORS

BAADA ya kucheza mechi 16 bila kupoteza ambazo ni dakika 1,440 Klabu ya DTB ilinyooshwa bao 1-0 dhidi ya Green Warriors FC ambao waliweza kutibua rekodi hiyo katika mchezo wa 17 uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa ni Februari 13 kwenye Championship. Wakati huu inajipanga kwa ajili ya mchezo ujao dhidi ya African Sports unaotarajiwa…

Read More

AZAM FC MACHO YOTE NUSU FAINALI

KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema mchezo wao wa hatua ya nusu fainali dhidi ya Simba ni muhimu kupata ushindi ili wasonge mbele hatua inayofuata. Ni nusu fainali ya Kombe la Azam Sports Federation mchezo unaotarajiwa kuchezwa Mei 6,2023 Uwanja wa Nangwanda,Mtwara.Mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine…

Read More