
BOSI SIMBA: AL AHLY NDIO TULIKUWA TUNAWATAKA, YANGA YAVUJISHA SIRI
BOSI Simba: Al Ahly ndio tulikuwa tunawataka, Gamondi avujisha siri Yanga ndani ya Championi Jumatatu.
BOSI Simba: Al Ahly ndio tulikuwa tunawataka, Gamondi avujisha siri Yanga ndani ya Championi Jumatatu.
RASMI sasa mshambuliaji Ansu Fati atavaa jezi za Brighton baada ya Alhamisi kukamilisha dili lake la kujiunga na timu hiyo kwa mkopo akitokea Barcelona. Fati ametolewa kwa mkopo Brighton baada ya kushindwa kumshawishi kocha wa Barcelona, Xavi Hernandez licha ya awali kuonekana kinda huyo atafanya makubwa kikosini hapo kiasi cha kukabidhiwa jezi namba 10 iliyovaliwa…
BOSI aanika faili la Yanga, Simba yatamba kuwachapa Waarabu ndani ya Spoti Xtra Jumapili
STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland Alhamisi aliendelea kula matunda ya kazi yake nzuri ambayo aliifanya msimu uliopita akiwa na kikosi hicho baada ya kufanikiwa kubeba tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa Uefa. Haaland ambaye alifunga mabao 36 kwenye Premier msimu uliopita alibeba tuzo hiyo kwenye hafla ya upangaji wa makundi wa Ligi ya…
BAADA ya droo ya African Football League kuchezwa na Simba kupangwa kuanza na Al Ahly ya Misri, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kuonyesha ukubwa wao. Simba katika African Football League itaanza na Al Ahly katika hatua ya robo fainali mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Oktoba 20,2023 na ule wa marudiano itakuwa…
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Mpia Nzegeli ameweka wazi kuwa malengo yake ni kuhakikisha kuwa anaisaidia timu hiyo kufanya vyema katika michuano ya kimataifa na kufikia malengo yao ya kufika hatua ya makundi. Yanga ili wafanikiwe kutinga katika hatua ya makundi wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanawaondoa Al Merrikh katka mchezo unaofuata wa hatua ya pili ya…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia Argentina ni kama amewashtukia wapinzani wao katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Merrikh ya Sudan kwa kuamua kufuta mapumziko kwa wachezaji wa timu hiyo na kuingia kambini na kuanza maandalizi kuelekea katika mchezo huo. Yanga ambao imeanza msimu huu kwa mafanikio kutokana na kutoa vipigo vizito katika Ligi…
HUKU droo ya mashindano maalum ya African Super League ikitarajiwa kupangwa rasmi leo Jumamosi, wawakilishi wa Tanzania katika mashindano hayo, Simba wamechimba mkwara mzito kwa kuweka wazi wamesuka mkakati mzito wa kuhakikisha wanapambania kushinda ubingwa wa mashindano hayo. Kuendana na waratibu wa mashindano hayo yanayotarajiwa kupigwa mwezi Oktoba, imethibitishwa yanatarajiwa kushirikisha timu za Petro de…
AISHI Manula, kipa namba moja wa Simba amerejea rasmi uwanjani na kuanza mazoezi maalumu ili kurejea kwenye ubora wake. Kipa huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Roberto Oliveira alipopata maumivu ni Ally Salim alikuwa mbadala wake. Manula hakuwa kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi msimu wa 2022/23 dhidi ya watani zao wa jadi Yanga…
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa taarifa kuhusiana na taarifa zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro alifungiwa na shirikisho hilo kujihusisha na masuala ya michezo. Taarifa iliyotolewa na TFF kupitia kwa Afisa Habari na Mawasiliano, Cliford Ndimbo, imeeleza kuwa Ndumbaro alifungiwa kutojihusisha na masuala…
KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amefichua kuwa kwa sasa kikosi chake kinaendelea na mazoezi ikiwa ni baada ya kuanza vibaya kwenye michezo yao ya Ligi Kuu Bara. Baada ya kucheza mechi mbili haijakusanya pointi huku vinara wakiwa ni Yanga wenye pointi sita kibindoi. Yanga pia kwenye mechi mbili za ligi wametupia jumla ya…
KIU ya mashabiki wa soka ya kutaka kujua nani atapangwa na nani kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (Uefa) ilifika mwisho baada ya juzi Alhamisi makundi hayo kupangwa huku Manchester United wakipangwa kundi moja na mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich. Vijana hao wa kocha Eric ten Hag, Man United wamepangwa kwenye kundi A la michuano hiyo…
NI Ernst Middendorp raia wa Ujerumani ametangazwa kuwa Kocha Mkuu wa Singida Fountain Gate. Anachukua mikoba ya Hans Pluijm ambaye alipewa mkono wa asante rasmi Agosti 29 2023. Kocha huyo aliwahi kuifundisha Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ikiwa ni miongoni mwa timu ambazo alizifundisha katika bara la Afrika hivyo ana uzoefu na soka la ushindani….
IKIWA ni msimu mpya wa 2023/24 wakati Yanga wakianza kwa kasi ya 5 G kwenye mechi zao, shabiki wa Simba Kisuga ameweka wazi kuwa Yanga wanastahili pongezi kwa namna ambavyo wameanza. Mchezo wa kwanza kwenye ligi Yanga ilicheza na KMC, Uwanja wa Azam Complex na ule wa pili ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania. Kwenye mechi…
HENOCK Inonga alipata maumivu ya mkono kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga dakikaya 89. Nyota huyo hakuwa kwenye mchezo wa fainali dhidi ya watani zao wa jadi Yanga. Inonga alikuwa shuhuda wa fainali hiyo iliyochezwa Agosti 13 Simba ikiwashinda watani zao wa jadi Yanga kwa penalti….
PRINCE Dube, nyota wa Azam FC anakula sahani moja na Jean Baleke wa Simba kwenye suala la utupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 tuzo ya ufungaji bora ilikwenda kwa Saido Ntibanzokiza wa Simba na Fiston Mayele wa Yanga. Mastaa wote wawili wana rekodi ya kufungua akaunti za kutupia mabao katika…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa muda uliopo kwa sasa ni benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kusuka silaha za maangamizi kwenye mashindano ya kimataifa. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ina pointi sita kibindoni baada ya kucheza mechi mbili huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao sita na…