
YANGA YALIPA KISASI MBELE YA TABORA UNITED
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamevuna pointi tatu ugenini kwenye mchezo dhidi ya Tabora United ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili msimu wa 2024/25. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Novemba 7 2024 ubao ulisoma Yanga 1-3 Tabora United ambao…