
YANGA WAZIDI KUIKIMBIZA SIMBA
VINARA wa Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, kasi yao imezidi kuwa kwenye kwenye eneo la ushambuliaji huku wakivuna pointi tatu nje ndani mbele ya Mashujaa na ndani ya dakika 180 wamevuna pointi sita msimu wa 2024/25. Kwenye idadi ya mabao ya kufunga Yanga imezidi kuongeza hazina yake ikiwapoteza Simba kwenye…