
YANGA KAMILI KUWAKABILI PAMBA JIJI MWANZA
VINARA wa Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, Yanga Februari 28 2025 watakuwa kibaruani kusaka pointi tatu dhidi ya Pamba Jiji. Yanga baada ya mechi 21 ambazo ni dakika 1,890 wamekomba pointi 55 na safu ya ushambuliaji imetupia mabao 55 ikiwa ni namba moja kwa timu zenye mabao mengi ndani ya…