
HABARI ODDS KUBWA, Machaguo Zaidi Ya 1000 Yapo Meridianbet
Mechi ya mwisho leo katika ligi hiyo itahitimishwa na vijana wa Stephano Pioli AC Milan ambao watakuwa nyumbani kwao San Siro kukiwasha dhidi ya Udinese Calcio. Milan hajapata ushindi mechi mbili mfululizo kwenye ligi. 1.42 ndio ODDS yake ya ushindi na mgeni wake kapewa 6.86. Beti sasa mechi hii. LALIGA itarindima kivyake pia na mechi ya mapema kabisa ni…