
KAZI KIMATAIFA NI KUBWA MIPANGO MUHIMU
BAADA ya makundi kupangwa kwa sasa ni muda wa kuanza kufanya maandalizi kwa ajili ya kupata matokeo chanya kwenye mechi za ushindani. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika hakuna kubeba matokeo mfukoni wala kuamini kwamba uzoefu utawabeba katika kupata ushindi hilo halipo. Kuanza kubeba matokeo wakati huu na kujipeleka hatua ya robo fainali anguko linakuja. Hakuna…