
YANGA SC YAPITIA MAGUMU, KULIPELEKA KOMBE IKULU
ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC ameweka wazi kuwa msimu wa 2024/25 wamepitia mengi il ani siri yao ya mafanikio. Yanga SC ni mabingwa wa ligi msimu wa 2024/25 ikiwa ni taji lao la 31 na wamepanga kulipeleka Ikulu.. Mchezo namba 184, Yanga SC ilishinda mbele ya Simba SC. Juni 25 2025 baada ya…