
UTAJIRI UPO JUMANNE YA LEO ULAYA, BARCELONA VS ATLETICO KITAWAKA!
Jumanne ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na EPL kule Uingereza leo, vijana wa Marco Silva Fulham, watasafiri kupepetana dhidi ya Wolves ambao walishinda mechi yao iliyopita, huku mwenyeji yeye akicheza kichapo…