
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation Yanga wamewafungashia virago katika raundi ya pili Hausing FC ya kutoka Njombe katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Dakika 45 za mwanzo mchezo ulikuwa ni wa upande mmoja kwa Yanga kumiliki zaidi na kufunga mabao 4-0 Hausing ambao angalau waliongeza ushindani kipindi cha pili walipofungwa bao…
Hatulazi damu, wiki hii tunaendelea kukupatia mihela ya kutosha kwenye mechi za UCL, chakufanya andaa mkeka wako meridianbet wamekupa odds kubwa kwenye game za wiki hii. Kabla ya kuanza usiku wa mabingwa, leo utashudia mechi mbili kali za Ligi ya Serie A na La Liga, Raundi ya sita itawakutanisha Empoli dhidi ya Roma ambaye…
Meneja wa Uwanja wa Kinondoni Municipal Football Club (KMC) amefunguka kupitia GLOBAL TV kuwa hakuna timu ambayo itapita mlango tofauti na utaratibu uliowekwa na uongozi wa uwanja huo.
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa watamuona Clatous Chama waliyemzoea kwenye mechi za kimataifa. Chama amekuwa akipeta kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa akiwa na hat trick moja dhidi ya Horoya alipofunga mabao matatu lakini hajawahi kuwatungua watani zao wa…
TIMU ya taifa ya Tanzania, U 17 ya Wanawake imeshinda mabao 7-0 dhidi ya Botswana kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Amaan,Zanzibar. Ni mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia ambao ulikuwa na ushindani mkubwa. Kipindi cha kwanza Tanzania ilikuwa mbele kwa mabao manne na kipindi cha pili walifunga mabao matatu na kufanya hesabu kukamilika kwa…
IKIWA ni mara ya kwanza kwa Tanzania kuingia kwenye Kombe la Dunia kupitia timu ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17, Serengeti wamefanikiwa kutnga hatua ya robo fainali. Mchezo wa leo Oktoba 18 ambao ulikuwa ni watatu kwa Tanzania imeambulia sare ya kufungana bao 1-1 na timu ya Taifa ya Canada. Kwenye mchezo wa…
NI beki wa kulia, Nathaniel Chilambo ambaye alikuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Ruvu Shooting amepata changamoto mpya. Hivyo bei huyo msimu ujao wa 2022/23 atakuwa na uzi wa Azam FCpale viunga vya Azam Complex. Chilambo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuweza kuitumikia timu hiyo ambayo inauhakika wa kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika baada ya…
JULIO Enciso aliingia katika kinyang’anyiro cha bao bora la msimu huku Brighton wakishangilia nyuma mabingwa Manchester City na kutoka sare ya 1-1 na kupata kufuzu kwa Ligi ya Europa kwa mara ya kwanza. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19 alifunga bao la kustaajabisha katika ushindi wa timu yake dhidi ya Chelsea mwezi uliopita na…
WAKATI ikitajwa kwamba mabosi wa Simba wanalijadili jina la Shiza Ramadhan Kichuya kwenye usajili wao msimu ujao, baba mzazi wa kiungo huyo, Ramadhan Kichuya amebainisha kwamba, anataka kumuona kijana wake akijiunga na Yanga SC. Baba Kichuya amesema mwanawe huyo atakuwa na wakati mzuri zaidi akiichezea Yanga na siyo Simba ambayo amekuwa na mapenzi nayo kwa…
IKIWA imefungashiwa virago kwenye Kombe la Azam Sports Federation ubao wa Uwanja wa Manungu uliposoma Mtibwa Sugar 1-0 KMC kuna kibarua kingine kizito kinawakabili. KMC chini ya Kocha Hitimana Thiery haijawa na mwendo mzuri kwenye mechi zake za ligi na sasa matumaini ya kutwaa taji la Azam Sports Federation yameyeyuka baada ya kuondolewa hatua ya…
ISSA Azam, shabiki wa Simba amesema kuwa kichapo cha mabao 7-0 ambacho wamewapa wapinzani wao Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho haikuwa juu yao bali walijichanganya na kuna timu ambayo imeandaliwa kichapo hicho.
Hii hapa nyingine kutoka kwa wakali wa michezo ya kasino mtandaoni Meridianbet, ni Pirates Power sloti bomba na nzuri isiyochosha kucheza na ten ani rahisi kushinda mkwanja, kwani sloti hii ya Pirates Power imekuja na Bonasi kibao, Ingia mchezoni sasa na ufurahie Maisha. Kutoka studio za mabingwa wa sloti za mtandaoni, Meridianbet tunakupatia uhalisia wa…
BAADA ya Mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo kushindwa kuanza katika mchezo hata mmoja kikosini hapo msimu huu, kocha wa timu hiyo, Nasreddine Nabi ameweka wazi sababu za nyota huyo kushindwa kupenya kikosi cha kwanza. Makambo tangu atue Yanga msimu huu, ameshindwa kupenya katika kikosi cha kwanza katika michezo mitano ya ligi kuu, huku akimuacha Fiston Mayele akitamba. Akizungumza na Spoti Xtra, Kocha Nabi alisema sababu kubwa ya Makambo kushindwa kucheza ni kutokana…
Nancy Ingram ambaye ni mhariri mkuu wa kampuni ya ubashiri Tanzania, Meridianbet akiongozana na timu yake nzima leo hii walifika Mbagala Rangi 3 kwaajili ya kugawa miamvuli kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Ikiwa bado hali ya hewa haijakaa vizuri kutokana na hizi mvua ambazo zinaendelea kunyesha Meridianbet wameona kuna haja ya kutoa miamvuli kwa wafanyabiashara kwaajili ya…
KIVUMBI na jasho kinatarajiwa kutimka leo kutokana na mzunguko wa pili kuendelea katika Ligi Kuu Bara 2022/23. Timu moja tayari imeshashuka daraja ambayo ni Ruvu Shooting inayonolewa Mbwana Makata na mabingwa ni Yanga. Bado timu moja inasakwa itaungana Ruvu Shooting Championship na mbili zitacheza hatua ya mtoano. Kesi ya ubingwa imeshafungwa ambapo mabingwa ni Yanga…
KOCHA Nabi amuonya Kisinda, Zoran Maki abaki njia panda Simba ndani ya Spoti Xtra, Jumapili