LIVERPOOL WANASIFA KWELI WACHAPA 9-0

IKIWA Uwanja wa Anfield, Klabu ya Liverpool imeibuka na ushindi mkubwa wa mabao 9-0 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Huu unakuwa ni ushindi mkubwa ndani ya Ligi Kuu England ambayo imeanza kwa kasi na wa kwanza kwa Liverpool inayonolewa na Jurgen Klopp. Staa Robert Firmino ambaye anafikisha mabao 100 akiwa na…

Read More

KIVUMBI CHA LIGI KINAREJEA UPYA

BAADA ya kungoja kwa muda hatimaye kesho ukurasa mpya wa msimu wa 2023/24 unafunguliwa kwa mechi za moto mkali ambazo zitakuwa ni tatu kwa kuchezwa viwanja tofauti. Ikumbumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji la ligi ni Yanga ambao walikuwa na kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Yanga ni mashuhuda Agosti 13 Ngao ya Jamii ikielekea…

Read More

IKAWE KARIAKOO DABI YENYE UTULIVU MKUBWA

WAKATI mwingine furaha huwa inabebwa na maumivu jambo ambalo linafanya maisha yaendelee kuwa maisha hakuna namna ni hali halisi ilivyo. Ikiwa upo kwenye mazingira mazuri basi huo uzuri acha uendelee kunogeshwa na yale ambayo yatatokea ndani ya Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Simba. Hakika unatarajiwa kuwa…

Read More

SIMBA KUJA KIVIGINE TENA MASHINDANO YAJAYO

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa utakuja kivingine ndani ya msimu mpya wa 2023/24 kwa kuleta wachezaji wenye sifa ya ushindani na kutafuta matokeo bila kukata tamaa. Katika anga la kimataifa wamegotea hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika na watani zao wa jadi Yanga wapo hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kwenye ligi…

Read More

KIUNGO LUIS AKUBALI KUTUA YANGA, OFA YA MAANA MEZANI

TAARIFA zikufikie kuwa, kiungo wa Al Ahly ya nchini Misri, Luis Miqquissone ameikubali ofa nono aliyowekewa na mabosi wa Yanga ili kufanikisha dili lake la kutua mitaa ya Jangwani. Luis ni kati ya wachezaji wanaotajwa kuwaniwa na Yanga katika usajili huu wa dirisha dogo lililofunguliwa tangu Desemba 16,2022. Wachezaji wanaotajwa kuwepo katika mipango ya kusajiliwa…

Read More

MATAJIRI WA DAR AZAM FC KAZI INAENDELEA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hesabu zao kwa sasa ni mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars, wakulima wa Alizeti. Timu hiyo imetoka kushinda mchezo wao uliopita na inakutana na Singida Big Stars ambayo nayo imeshinda mchezo wake uliopita. Singida ilishinda bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar ikiwa ugenini, Uwanja…

Read More

NNAUYE:USHINDI WA SIMBA NI MUHIMU KWA NCHI

NAPE Nnauye,Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema kuwa ushindi wa leo kwa Simba ni muhimu kwa nchi. Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu muhimu mbele ya USGN mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni hatua ya makundi. Nnauye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa leo unaotarajiwa kuchezwa saa 4:00 usiku. Kiongozi…

Read More

TENGENEZA FAIDA UKICHEZA SLOTI YENYE HADHI YA ULAYA

Sloti ya European Roulette Ikiwa na mandhari ya ulaya inakupa urahisi Zaidi wa kupiga mtonyo kwa dau lako uliloweka, ina namba 36 za ushindi hii ni sloti ya European Roulette kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Ingia mchezoni kusaka mawindo yako. European Roulette ni moja wa michezo ya kasino ya mtandaoni rahisi na inayopendwa na…

Read More

MBINU ZA KOCHA HUYU KUANZA KUTUMIKA SINGIDA

NI Ricardo Ferreira kutoka nchini Brazil mbinu zake zitaanza kutumika ndani ya kikosi cha Singida Fountain Gate kwenye kusaka ushindi. Mkataba wake ni wa mwaka mmoja kuwanoa mastaa wa Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na Meddie Kagere, Beno Kakolanya, Bruno Gomes. Yupo na msaidizi wake ambaye ni Andrew Barbosa hawa…

Read More

JUKUMU LA KULINDANA NI MUHIMU KWA WACHEZAJI

WACHEZAJI wengi wamekuwa wakishindwa kukamilisha dakika 90 kwenye mechi ambazo wanacheza kutokana na kupata maumivu wakiwa kwenye majukumu yao. Hii inatokana na mikimbio ambayo wanaifanya na wakati mwingine ni kutokana na mwili kutokuwa sawa unahitaji mapumziko yote yanatokea. Lakini pia wakati mwingine wachezaji wanashindwa kukamilisha dakika zote 90 ama zile ambazo watapewa kutokana na kupewa…

Read More

WAZIRI MKUU AAGIZA RC’s, DC’s KUFANYA MAPITIO YA VIKUNDI VYA JOGGING

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya nchini kufanya mapitio ya vikundi vyote vya Jogging katika halmashauri zao na waviweka kwenye mipango ya maendeleo. “Nendeni mkawasikilize ili muwatambue, muwashike mkono na muwaongoze kushiriki katika kukuza uchumi wao binafsi kupitia miradi mbalimbali kwenye halmashauri” Amesema hayo leo (Jumapili, Juni 16, 2024)…

Read More