KUONDOKA KWA ZIMBWE ITAKUWA PIGO KUBWA KWA SIMBA

Mchambuzi wa soka nchini, Thomas Mushi, amesema kuwa iwapo mlinzi tegemeo wa Simba SC, Zimbwe JR, ataondoka kwenye kikosi hicho, basi itakuwa pigo kubwa kwa klabu hiyo yenye rekodi kubwa ya mafanikio nchini. Kauli hiyo imekuja kufuatia kuibuka kwa tetesi zinazoeleza kuwa Zimbwe JR tayari amemalizana na watani wa jadi Yanga SC, na huenda akatangazwa…

Read More

YANGA SC KUTIKISA USAJILI 2025/26

MABOSI wa Yanga SC inaelezwa kuwa wamedhamiria kulipa kisasi baada ya watani zao wa jadi kuanza kuwatikisa kwenye suala la usajili kuelekea msimu wa 2025/26. Kete ya kwanza kwa Yanga SC kushinda ilikuwa kuinasa saini ya Balla Conte ambaye tayari ametambulishwa Yanga SC kwa kandarasi ya miaka miwili. Mchezaji huyo inatajwa kuwa Simba SC walikuwa…

Read More

ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI, SIMBA SC YAKATA TAMAA

NAHODHA wa Simba SC, Mohamed Hussen msimu wa 2024/25 kuna uwezekano mkubwa akaibukia ndani ya kikosi cha Yanga SC akiwa ni mchezaji huru. Ikumbukwe kwamba Zimbwe aliongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba SC mwaka 2023 tayari 2025 umefikika tamati Julai 10 2025 hivyo kwa sasa mchezaji huyo ni huru. Julai 19 2025, Zimbwe Jr…

Read More

SIMBA SC KUFANYA KWELI USAJILI

UONGOZI wa Simba SC umebainisha kwamba utafanya kweli kwenye usajili hivyo mashabiki wasiwe na presha mipango inaendelea.  Ikumbukwe kwamba timu hiyo msimu wa 2024/25 ilikosa mataji yote iliyokuwa inayapambania jambo ambalo linawafanya waje na hasira zaidi. Miongoni mwa wachezaji ambao wanatajwa kuwa katika rada za Simba SC ni Feisal Salum wa Azam FC. Kwenye ligi…

Read More

YANGA SC YATEMBEZA MKWARA WA MAANA

UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kwamba kazi inaanza kwenye usajili kwa kuwa kuna wachezaji wengine wa maana watatambulishwa hivi karibuni. Mpango mkubwa wa Yanga SC ulikuwa ni kufungua ukurasa Julai 22 kutambulisha wachezaji wapya ila ngoma ilibadilishwa hewani baada ya kufungua ukurasa rasmi Julai 18. Ni Moussa Conte alitambulishwa na Yanga SC ikiwa ni…

Read More

SIMBA SC KUFANYA USAJILI MKUBWA KUELEKEA MSIMU MPYA

KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26, Simba SC wamebainisha kuwa watafanya usajili mkubwa kupata timu imara ya ushindani kitaifa na kimataifa. Ipo wazi kuwa Aishi Manula ambaye ni kipa huyu atakuwa ndani ya Azam FC, Omary Omary amepelekwa kwa mkopo Mashujaa FC, Fabrince Ngoma mkataba wake umeisha, Kelvin Kijili atakuwa ndani ya Singida Black Stars ni…

Read More

FURSA YA KUTOKA NDOTO HADI KUIMILIKI SAMSUNG A25

Nilikuwa nimezoea kuona matangazo mengi ya promosheni mitandaoni. Kwa kweli, sikuwahi kuyachukulia kwa uzito. Lakini mwezi huu wa Julai, kitu kimoja kimenivutia, Meridianbet wametangaza zawadi ya simu mpya aina ya Samsung A25 kwa wateja wanaojiunga na kucheza michezo yao. Hapo ndipo nilipoamua kusema, “Kwanini nisijaribu?” Safari yangu imeanza kwa kusajili akaunti yangu kupitia app ya…

Read More

EUROPA LEAGUE NA CONFERENCE LEAGUE KUKUPATIA MSHIKO LEO

Huku wenzeko wakishinda Mamilioni na Meridianbet, wewe una nafasi ya kuondoka na mshiko wako mapema tuu. Jisajili sasa na ufurahie maokoto yako kwa dau dogo tuu. FC Sheriff Tiraspol atakuwa ugenini kumenyana dhidi ya FC Prishtina ambao mechi ya kwanza walishinda kwa kishindo. Je wenyeji leo wanaweza kupindua meza kwa ODDS ya 2.95 kwa 2.30….

Read More

AUCHO ISHU YAKE NA YANGA SC IPO HIVI

KHALID Aucho kiungo mkabaji wa Yanga SC huenda akaongeza mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo yenye maskani yake Jangwani. Yanga SC ni mabingwa wa ligi msimu wa 2024/25 na miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa kwenye kikosi cha kwanza ni Aucho. Baada ya mechi 30 ambazo ni dakika 2,700, Aucho alicheza mechi 22 akikomba dakika…

Read More

FADLU DAVIDS KAZI ANAYO SIMBA SC

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amekabidhiwa rungu la kufanya maamuzi kwa wachezaji ambao wanapaswa kuondoka katika kikosi hicho na wale ambao watabaki kwa msimu wa 2025/26. Miongoni mwa wachezaji ambao Fadlu amebainisha kwamba anahitaji wabaki inaelezwa ni beki Mohamed Hussen ambaye mkataba wake umeisha akiwa anatajwa kuwa katika rada za Yanga SC. Kocha…

Read More