SIMBA SC KUPIGA PANGA MASTAA WAKE

SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids inaelezwa kuwa kwenye mpango wa kuachana na mastaa wake zaidi ya watano kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Simba SC imemaliza ligi ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo. Pointi 78 baada ya mechi 30 ambazo ni dakika 2,700. Safu ya ushambuliaji imefunga mabao 69 ikiwa namba mbili kwa timu…

Read More

JULAI IMEWASILI NA SAMSUNG GALAXY A25 MPYA KABISA

Julai hii, Meridianbet imeamua kukufurahisha kwa promosheni ya kipekee itakayobadilisha maisha ya wabashiri wa meridianbet. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Julai 2025, watumiaji wote waliosajiliwa kupitia tovuti au app ya Meridianbet wanapata nafasi ya kuingia kwenye droo maalum na kushinda moja kati ya simu tano mpya aina ya Samsung Galaxy A25. Ni promosheni inayowalenga wachezaji…

Read More

ALI KAMWE, ASHANGAZWA NA MAUNO YA BONGE LA DADA

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, ameonyesha kushangazwa na mauno ya Queen Fraison maarufu kama Bonge la Dada, kupitia video iliyosambaa mtandaoni. Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Kamwe aliandika kwa utani: “Bora mimi nilikuwa naangalia nywele…” 😂😂😂😂 Kauli hiyo imeibua vicheko na mijadala miongoni mwa mashabiki, huku wengine wakiongeza maneno yao…

Read More

SIMBA SC KUACHANA NA KIPA HUYU MAZIMA

INAELEZWA kuwa kuna uwezekano mkubwa kwa msimu wa 2025/26 kipa wa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Ayoub Lakred asiwe ndani ya kikosi hicho. Habari zinasema kuwa kipa wa Simba, Ayoub Lakred kwa sasa kuna timu mpya ambayo ameipata na ataitumikia kwa msimu ujao kuendelea na majukumu yake. Ni dili la miaka miwili…

Read More

REAL MADRID VS JUVENTUS KUKUPATIA MSHIKO MARA 2 LEO

Real Madrid vs Juventus  ni mechi kali leo hii ya kutazama lakini huku ukiwa unaitazama inakupa pesa. na GG&3+ mtanange huu ujiweke kwenye nafasi ya kupata bonasi hadi shilingi 60000 leo. Jinyakulia bonasi ya kibabe ya elfu 60000 endapo utasuka jamvi lako hapa na kubashiri mechi ya Real Madrid vs Juventus za kule Italia .Nafasi…

Read More

RAIS MWINYI AWAPONGEZA YANGA SC

MAKOMBE matano ambayo Yanga SC imeyatwaa msimu wa 2024/25 yamefika Ikulu ya Zanzibar na zawadi wakakakabidhiwa Yanga SC ikiwa ni sehemu ya kutambua mafanikio ambayo wamefikia. Rais wa Klabu ya Yanga SC, Iniinia Hersi Said alimkabidhi makombe hayo matano Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussen Ali Mwinyi ambaye aliwapongeza Yanga…

Read More

YANGA SC KINATOKA CHUMA KINAINGIA CHUMA

RAIS wa Yanga SC, Hersi Said ameweka wazi kuwa kwenye kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi kinatoka chuma kinaingia chuma. Juni 29 2025, Yanga SC ilitwaa taji la CRDB Federation Cup kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Singida Black Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex. Walirejea Dar, Juni 30…

Read More

SIMBA SC: TUTARUDI TUKIWA IMARA

MOHAMED Hussen Zimbwe Jr ameweka wazi kuwa watarejea msimu ujao wa 2025/26 wakiwa imara kwenye kupambania mataji ambayo watashiriki kwenye mechi za ushindani msimu mpya. Ipo wazi kwamba msimu wa 2024/25 Simba SC imepishana na mataji yote iliyokuwa ikipambania. Kombe la CRDB Federation iligotea hatua ya nusu fainali ikiodolewa na Singida Black Stars iliyopoteza fainali…

Read More

YANGA SC YAPOKELEWA KWA KISHINDO, YAWEKA NGOME MSIMBAZI

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara mara 31, Yanga SC Juni 30 2025 wamepokelewa kwa kishindo wakitokea Zanzibar kwa kufanya pared la kihistoria chini ya uangalizi mkali wa Jeshi la Polisi Tanzania ambao walikuwa wakihakikisha usalama unakuwa wakutosha. Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Juni 29 2025 ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi…

Read More

SIMBA SC KWENYE HESABU NYINGINE KUBWA

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amesema kuwa kwa msimu wa 2024/25 wamejitahidi kupambana na kufikia malengo licha ya kushindwa kutwaa ubingwa watafanya maboresho kwa msimu ujao. Kuna asilimia chache kwa Fadlu kubaki ndani ya kikosi cha Simba SC msimu wa 2025/26. Taarifa zinaeleza kuwa uongozi wa Simba SC unafanya mazungumzo na kocha huyo…

Read More

YANGA SC BINGWA CRDB FEDERATION CUP 2024/25

MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa furaha kubwa ni kuona timu hiyo inaendelea kupata matokeo mazuri na kutwaa mataji ambayo walikuwa wanayatafuta. Kwenye fainali ya CRDB Federation Cup, Juni 29 2025 Yanga SC ilishinda mabao 2-0 dhidi yaSingida Black Stars fainali iliyopigwa Uwanja wa New Amaan Complex. Mabao ya Duke Abuya dakika…

Read More

OFISA HABARI WA AZAM FC ANALITAKA JIMBO

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa Klabu ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, ametangaza nia ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, (CCM) Ibwe amesema: “Salamu kwa Vijana wenzangu. Huu ni wakati wa kusimama imara, kuchukua nafasi na kuwa sehemu ya mabadiliko tunayoyataka kuyaona katika jamii zetu. Maendeleo hayaji kwa kusubiri, yanajengwa…

Read More

MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC

KIUNGO wa Simba SC, Deborah Mavambo ambaye ni ingizo jipya katika kikosi hicho kwa msimu uliogota mwisho wa 2024/25 yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango chake kuporomoka mwanzo mwisho. Nyota huyo kwenye mechi za awali alianza kuonyesha ubora wake lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi uwezo wake ulikuwa unaporomoka. Atakumbukwa kwenye mchezo…

Read More