
SIMBA KUIKABILI DODOMA JIJI KWA HESABU NZITO
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji wataukabili kwa hesabu kubwa ya kupata pointi tatu kutokana na muda kuwa mchache kwenye maandalizi. Ni ushindi dhidi ya Azam FC ilipata kwenye mchezo wa Mzizima Dabi uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Septemba 26 mchezo ulichezwa na…