SIMBA KUIKABILI DODOMA JIJI KWA HESABU NZITO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji wataukabili kwa hesabu kubwa ya kupata pointi tatu kutokana na muda kuwa mchache kwenye maandalizi. Ni ushindi dhidi ya Azam FC ilipata kwenye mchezo wa Mzizima Dabi uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Septemba 26 mchezo ulichezwa na…

Read More

SENEGAL NDANI YA BONGO

INAINGIA kwenye rekodi mpya ndani ya Bongo kwa mchezaji anayecheza Ligi Kuu Bara kuitwa timu ya Taifa ya Senegal. Ni Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye Timu ya Taifa ya Senegal kwenda kujumuika na wenzake kwaajili ya maandalizi ya mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Msumbiji. Sakho bado hajawa kwenye mwendo mzuri…

Read More

FUNGAFUNGA BADO MBILI SIMBA

SIMBA inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 27 nafasi ya tatu ikiwa sawa pointi na Azam FC iliyo nafasi ya pili tofauti kwenye mabao ya kufunga na kufungwa. Michael Fred ambaye Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally anapenda kumuita fungafunga amebakisha mabao mawili kufikia rekodi ya mwamba Jean Baleke na…

Read More

NABI AOMBA WACHEZAJI WAPEWE ULINZI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kuna umuhimu wa waamuzi kuweza kuwalinda wachezaji kwenye mechi zote ambazo wanacheza. Kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Agosti 20,2022 wakati ubao ukisoma Coastal Union 0-2 Yanga kiungo Jesus Moloko alikwama kukamilisha dakika 90. Kiungo huyo alitoka dakika ya 25 nafasi yake ikachukuliwa…

Read More

RATIBA YA LEO LIGI KUU BARA

AZAM FC itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Dodoma Jiji kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Azam Complex. Azam FC ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 21 inakutana na Dodoma Jiji iliyo nafasi ya 8 na pointi 17. Kesho Februari 4 kutakuwa na mchezo kati KMC v Biashara United. Mchezo…

Read More

YANGA YATAJA SIKU YA AZIZ KI KUTUA

KAMA ulikuwa huamini, basi taarifa ikufikie kwamba, Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Stephane Aziz Ki na siku ya kutua nchini imetajwa. Ipo hivi, mchezaji huyo kwa taarifa za uhakika ambazo imezipata Spoti Xtra, ataingia nchini mapema ndani ya wiki ambayo inaanza kesho Jumatatu kwa ajili ya kumalizana kila…

Read More

NYONI: CHAMA AMEONGEZEKA SPIDI HUKO JANGWANI

ERASTO Nyoni kiraka anayetimiza majukumu yake ndani ya kikosi cha Namungo kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda ameweka wazi kuwa nyota Clatous Chama amebadilika hasa kwenye upande wa spidi ila watu wanamtazama kwa mazoea. Ipo wazi kwamba Chama ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga kwenye dirisha kubwa la usajili ilikuwa ni…

Read More

MIAKA MINNE YA GAZETI LA SPOTI XTRA

Desemba 17, 2017, Gazeti la Spoti Xtra liliingia mtaani kwa mara ya kwanza. Tangu hapo, hadi leo Desemba 17, 2021, limetimiza miaka minne likiendelea kufanya vizuri na kuteka wasomaji wengi ambao wamekuwa wadau wetu wakubwa. Unaouona hapo, ni ukurasa wa mbele wa nakala ya kwanza ya Gazeti la Spoti Xtra. Ubora wa timu ya Spoti…

Read More

YANGA YAWASHUSHA PRESHA MASHABIKI

MTENDAJI Mkuu wa Yanga, Senzo Mbatha, amewashusha presha mashabiki wa timu hiyo kuelekea kwenyemchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa leo Jumamosi, Uwanja wa Mkapa huku akiweka bayana wataibuka na pointi tatu. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa KariakooDabi ukiwa mchezo wa kwanza kukutana kwa msimu huu kwenye ligi. “Hakuna sababu ya kuwa na presha unajua mchezo wetu…

Read More

MAJEMBE MAWILI YA KAZI NDANI YA AZAM FC

MASTAA wawili wametambulishwa ndani ya Azam FC kwa ajili ya msimu wa 2023/24 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Tayari 2022/23 imegota mwisho huku mabingwa wakiwa ni Yanga waliotwaa taji hilo chini ya Nasreddine Nabi. Yanga kwa sasa inaendelea na maboresho ya timu kupambana na wapinzani wao msimu ujao ikiwa ni pamoja na Azam FC ambao…

Read More