MTAMBO WA MABAO YANGA WATOA NENO

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa kazi kubwa ni kusaka ushindi katika mechi zao. Ni Fiston Mayele mwenye mabao 16 ndani ya ligi na mabao matano katika Kombe la Shirikisho Afrika ametupia mabao matano kuanzia hatua ya makundi mpaka robo fainali. Mei Mosi kikosi…

Read More

WATATU WAREJEA YANGA KUIVAA KMC KWA MKAPA KESHO

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanajua kwamba mchezo wao dhidi ya KMC hautakuwa rahisi kesho Uwanja wa Mkapa Jumamosi huku baadhi ya wachezaji wakiwa wameanza kurejea. Ikiwa nafasi ya kwanza na pointi 45 inakutana na KMC iliyo nafasi ya 7 na pointi 22 zote zikiwa zimecheza mechi 17. Kaze amesema:-“Chico ushindi, Farid…

Read More

WAKALI WAKIANZIA BENCHI LAZIMA WAFANYE KWELI

MIPANGO ya ushindi kusukwa inaanza kwa wachezaji wale waliopo ndani ya uwanja na wale wanaokaa benchi kusoma mchezo unavyoendelea. Ndani ya ligi msimu wa 2022/23 wapo mastaa ambao wamekuwa wakali wakianzia benchi kwa kuwa walipoingia walifanikiwa kubadilisha namba kwenye ubao. Hapa tunakuletea baadhi ya nyota ambao wamekuwa na makali wakianzia benchi namna hii:- Feisal Salum…

Read More

MAN UTD YAITANDIKA CHELSEA OLD TRAFFORD 2-1

Shughuli imemalizika, alama tatu muhimu kwa Mashetani Wekundu katika dimba la Old Trafford. FT: Man United 2-1 Chelsea ⚽⚽ McTominay 19’ 69’ ⚽ Palmer 45’ Manchester United imefikisha alama 27 baada ya mechi 15 ikikwea mpaka nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Chelsea inasalia nafasi ya 10 alama 19 baada ya mechi…

Read More

YONDANI,NCHIMBI NA YONDANI NI WANAGEITA GOLD

KLABU ya Geita kwa sasa haitaki utani baada ya kukamilisha usajili wa wachezaji wakongwe na wenye uzoefu kwenye fani. Miongoni mwa wachezaji ambao watakuwa na uzi wa timu hiyo ni pamoja na nyota wa zamani wa Yanga na Polisi Tanzania, Kelvin Yondani, ambaye amesaini dili la mwaka mmoja Geita Gold, mkataba utakaomfanya kuziba safu ya ulinzi sambamba na Juma Nyosso ambaye tayari ameingia kwenye klabu…

Read More

MKALI WA MABAO YA MBALI KUWAVAA SIMBA

KUELEKEA Mzizima Dabi mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili kuna mkali wa mabao ya mbali yupo ndani ya kikosi cha Azam FC huenda akawapa tabu wapinzani wao wakikutana ndani ya dakika 90 za kuvuja jasho. Ni Yoro Diaby nyota wa Azam FC anashikilia rekodi yakuwa nyota aliyefunga bao kwa umbali mrefu…

Read More

ARGENTINA YAUSHANGAZA ULIMWENGU IKICHAPWA

ULIMWENGU wa mpira umeshutshwa na matokeo ya leo kwenye mchezo wa Kombe la Dunia katika kundi C. Wakati wengi wakiwapa matumaini Argentina yenye Lionel Messi kushinda ngoma iligeuka na wakapoteza mchezo huo. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lusail umesoma Argentina 1-2 Saudi Arabia ambao wamesepa na pointi tatu mazima. Ni bao la Lionel Messi…

Read More

PUMZIKA KWA AMANI DR WA MPIRA

 KLABU ya Soka ya Azam, imetangaza kifo cha aliyekuwa daktari wa timu hiyo, Mwanandi Mwankemwa, kilichotokea katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke. Dkt. Mwankemwa alianza majukumu yake Azam FC, mwaka 2008 na katika kipindi chote cha utendaji wake, amehusika kuwasindikiza wachezaji katika matibabu ya ndani na nje ya nchi. Mwankemwa aliingia katika udaktari…

Read More

MWAMBA KIBWANA SHOMARI BADO YUPO YANGA

BADO yupoyupo sana ndani ya kikosi cha Yanga mwamba Kibwana Shomari ambaye ni mzawa baada ya kuongeza kandarasi nyingine. Yanga kupitia kwa Ofisa Habari Ali Kamwe walibainisha kwamba watafanya usajili bora utakaozingatia vigezo vya uwezo kwa wachezaji ili kuongeza ushindani ndani ya timu. “Kila mchezaji ana nafasi ya kuonyesha uwezo wake na tunaamini kwenye ubora…

Read More

KMC WAIVUTIA KASI GEITA GOLD

WATOTO wa Kinondoni, KMC wameanza mazoezi kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili 2022/23. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Hitimana Thiery kituo chake kinachofuata ni dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 11 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 17ambapo KMC itakuwa nyumbani. Miongoni mwa nyota wa KMC…

Read More

AZAM FC KUKIWASHA NA TAIFA JANG’OMBE LEO

 BAADA ya Azam FC kukamilisha dakika 180 kwenye Ligi Kuu Bara na kusepa na pointi nne leo kikosi hicho kitakuwa Zanzibar. Mchezo wa kwanza wa ligi Azam FC iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar na iliambulia sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Geita Gold. Mechi zote hizo mbili zilichezwa Uwanja…

Read More

NI SIMBA V AZAM FC FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI

USHINDI wa mabao 2-0  walioupata Simba leo Januari 10 dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Amaan katika Kombe la Mapinduzi unawafanya waweze kutinga hatua ya fainali. Ni mabao ya Meddie Kagere dakika ya 14 na PapeSakho dakika ya 48 yametosha kuwapa ushindi Simba. Sasa Simba itakutana na Azam FC kwenye mchezo wa…

Read More