
SHEREHE KWA YANGA KISA KUWAFUNGA ASAS INATOSHA
USHINDI wa kwanza, Yanga wakiwa (ugenini), walifanikiwa kushinda kwa mabao 2-0 na waliporejea wakawatwanga kwa mabao 5-1. Ushindi huo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, unaifanya Yanga kuvuka hadi hatua ya kwanza ikiwa inakwenda kukutana na El Merreikh ya Sudan. Mechi ya Yanga dhidi ya ASAS FC bila shaka haikuwa mechi ya…