TAIFA STARS KAZINI LEO KUIKABILI UGANDA

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo kuikabili Uganda. Huu ni mchezo wa kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani, (CHAN), Uwanja wa Mkapa saa 10:00. Poulsen amesema kuwa wanatambua Uganda ni moja ya timu ngumu…

Read More

KAGERA SUGAR:TUTAREJEA TUKIWA IMARA

FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amebainisha wazi kuwa makosa ambayo wameyafanya kwenye mechi mbili mfululizo watayafanyia kazi ili waweze kurejea wakiwa imara. Timu hiyo kwenye mechi mbili za ligi msimu wa 2022/23 imeyeyusha pointi sita mazima kwa kuwa ilifungwa kwenye mechi hizo. Ilianza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC, Uwanja wa…

Read More

BINGWA LA JACKPOT LAPATIKANA MERIDIANBET

Hatimae mshindi wa ile Jackpot ya kibabe kabisa mjini chini ya mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet imepata mshindi wake, Ambapo amepatikana mshindi wa kiasi cha Milioni 10 baada ya kupata timu 12 kati ya 13 kwenye Jackpot. Mshindi huyo wa Jackpot ya Meridianbet anayefahamika kama Elia Erick kutoka mkoani Morogoro alifanikiwa kushinda kupatia michezo…

Read More

DUBE AMPIGA MKWARA MAYELE

STRAIKA wa Azam FC, Prince Dube, amesema kwa sasa anahitaji kufunga mfululizo ili kuisaidia timu yake kumaliza ligi kwenye nafasi nzuri na kuwania Tuzo ya Ufungaji Bora msimu huu. Dube aliyasema hayo baada ya kufanikiwa kufunga bao lake la kwanza msimu huu wakati Azam FC ikiibuka na ushindi wa mabao 1-2 dhidi ya Namungo kwenye…

Read More

SIMBA WATOSHANA NGUVU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni mashuhuda wakigawana pointi mojamoja na  wapinzani wao ASEC Mimosas wakiwa nyumbani. Licha ya kuanza kupachika bao la kuongoza hali haikuwa njema kwa upande wao walitunguliwa pia bao kipindi cha pili na wapinzani wao. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-1 ASEC Mimosas mchezo…

Read More

VIGOGO WAMEPATA TABU MBEYA

WAKATI leo Ihefu wakitarajiwa kumenyana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili rekodi zinaonyesha kuwa vigogo wengi wa Dar wamebuma kusepa na pointi tatu. Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, John Simkoko na Zuberi Katwila ambaye ni msaidizi imekuwa na mwendo bora kwa mechi wanazocheza nyumbani. Yanga wao kete yao ya kutofungwa…

Read More

YANGA YAIBAMIZA COASTAL UNION,DUA KWA NKANE

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union. Mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa, dakika 90 Yanga ilikuwa kwenye umiliki wa mpira jambo lililoipa Coastal Union kutoboa ngome iliyokuwa chini ya nahodha Bakari Mwamnyeto. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia mabao mawili na bao…

Read More

UWANJA WA SOKOINE, MBEYA CITY 1-0 SIMBA

MPAKA muda wa mapumziko, Uwanja wa Sokoine Simba wanatafuta bao la kusawazisha. Ni Paul Nonga amepachika bao la kuongoza kwa Mbeya City akitumia makosa ya mabeki wa Simba chini ya Inonga Banka. Lakinj Mbeya City wamekamilisha dakika 45 wakiwa pungufu kwa sababu nyota wao Mpoki Mwakinyuke alionyeshwa kadi nyekundu dakika ya 43. Sababu ya kwanza…

Read More

IHEFU KUMKOSA BEKI WA KAZI KWA MKAPA

TEMMY Felix, Kocha Msaidizi wa Ihefu amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya kuikabili Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara licha ya kumkosa beki wao wa kazi Juma Nyosso. Ihefu ikiwa imetoka kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Azam FC inakutana na Simba iliyotoka kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Singida United….

Read More

ASHA MASAKA AANZA CHANGAMOTO MPYA SWEDEN

MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake, Twiga Stars, Asha Masaka ambaye alikwea pipa kwa na kuibukia  Sweden Machi 30 tayari ameshatambulishwa kwenye timu yake mpya na kuanza kazi. Nyota huyo amepata dili la kujiunga na Klabu ya BK Hacken inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sweden kwa makubaliano na Klabu ya Yanga Princes…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA COASTAL UNION

HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Coastal Union ya Tanga, Uwanja wa Mkwakwani. Huu ni mchezo wa ligi ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90 kwenye mchezo utakaochezwa saa 12:30:- Aboutwalib Mshery Yao Attouhula Kibabage Bacca Nondo Aucho Maxi Muda Musonda Aziz KI Zouzoua

Read More

MTIBWA SUGAR YAPOTEZA TENA UGENINI

HAIJAWA kwenye mwendo mzuri Klabu ya Mtibwa Sugar ndani ya msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kupata pointi tatu ugenini. Desemba 7 ikiwa ugenini imepoteza pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwa kushuhudia ubao ukisoma Namungo 1-0 Mtibwa Sugar. Bao la ushindi lilifungwa Derick Mukombozi ambapo Mtibwa Sugar ilitoka kupoteza mchezo wao dhidi ya Azam…

Read More