USHINDI MKUBWA KWENYE KASINO YA MERIDIANBET!!

Kwa muda mrefu sasa, unapoizungumzia Kasino ya Meridianbet, unazungumzia Jakipoti za Kasino na ushindi mkubwa! Kwa mwaka 2022 pekee, mpaka sasa kuna washindi wawili wametusua ushindi mkubwa!!   Mchezaji mwingine wa Kasino kupitia Meridianbet alijaribu bahati yake kupitia mchezo wa Crazy Time unaotengenezwa na kampuni ya Evolution. Gurudumu lenye maajabu ya kusaka pesa lilifanya kazi…

Read More

INONGA AINGIA ANGA ZA ORLANDO PIRATES

KILA mafanikio yana zawadi sahihi kutoka kwa Mungu, kauli hii inakamilishwa zaidi na dili nono alilowekewa mezani beki kisiki wa Simba raia wa DR Congo, Henock Inonga Baka na Klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Inonga ambaye alijiunga na Simba mwanzoni mwa msimu huu, akitokea katika DC Motema Pembe, tayari ameshajitangazia ufalme mkubwa katika…

Read More

GWIJI SUAREZ AMPA NENO NUNEZ

 GWIJI wa Liverpool, Luis Suarez, amemuonya Mruguay mwenzake, Darwin Nunez kujifunza kutoka kwenye makosa yake baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumpiga kichwa Joachim Anderson kwenye sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Crystal Palace. Mshambuliaji huyo anayeichezea Nacional kwa sasa anakumbukwa kwamba alikuwa ni mbabe na mtukutu katika miaka mitatu ambayo alitumika…

Read More

TAIFA STARS MNA DENI KWA WATANZANIA,INAWEZEKANA

ILIKUWA ngumu kuweza kupata ushindi kwenye mchezo wa kwanza kutokana na mbinu kuonekana kuwa ngumu pia kwa timu zote mbili. Hakika kwa mwanzo mkiwa nyumbani licha ya kwamba Somalia wao walikuwa wenyeji bado wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars mna deni la kulipa. Hakika mashabiki wanapeda kushangilia na kuona matokeo yanapatikana kwa…

Read More

YANGA MABINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO

ZANZIBAR-Young Africans Sports Club (Yanga SC) ya jijini Dar es Salaam imetwaa taji la saba la Michuano ya Kombe la Muungano. Ni baada ya Mei 1, 2025 katika dimba la Gombani lililopo Kisiwani Pemba kuwachapa Maafande wa Jeshi la Kujenga Uchumi Zanzibar (JKU) kwa bao 1-0. Bao pekee la Maxi Mpia Nzengeli lilipatikana dakika ya…

Read More

KOCHA COASTAL UNION ATUMA UJUMBE HUU YANGA

 JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa wanatambua kwamba leo wana mchezo mgumu wa fainali dhidi ya Yanga lakini wachezaji wake wanajua nini ambacho wanahitaji. Coastal Union ilitinga hatua hii kwa ushindi mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Coastal Union ilishinda kwa…

Read More

RUVU YAPANIA KUTIBUA REKODI YA YANGA KWA MKAPA

KUELEKEA mchezo wa leo dhidi ya Yanga, Ruvu Shooting wamefunguka kuwa watatibua rekodi ya Yanga ya kutofungwa kwenye mechi walizocheza kwa msimu huu.   Saa 12:15 leo Yanga wanatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Ruvu Shooting mchezo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki na wapenda burudani. Kocha Msaidizi wa Ruvu Shooting,Rajab…

Read More

UPEPO WA USAJILI UNAHITAJI UMAKINI MKUBWA

IKIWA umetulia kwa sasa na kutazama upepo ambavyo upo lazima utasikia kuhusu namna ambavyo kila mwenye nguvu anaingia sokoni kusaka kile ambacho anakihitaji. Huu ni upepo mzuri hasa kwa kila mmoja kupata kile ambacho anakitaka muda huu wa kufanya maandalizi ya usajili kwa wachezaji ambao wanahitajika. Wapo wachezaji ambao wameshapewa mkono wa kwa heri mapema…

Read More

CHUMA HIKI HAPA KINAFUATA KUTAMBULISHWA YANGA

INAELEZWA kuwa nyota anayefuatwa kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga ni beki wa kazi mzawa Dickosn Job. Nyota huyo mkataba wake unakaribia kufika ukingoni ambapo mwisho wa msimu huu utakuwa umegota mwisho. Habari zinaeleza kuwa tayari viongozi wa Yanga pamoja na wale ambao wanamsimamia Job wamefanya mazungumzo na kufika kwenye maelewano mazuri. Job ni chaguo…

Read More

MALI NDO BASI TENA AFCON

LICHA ya kuanza kutangulia kufunga bado hawajatusua kutinga hatua ya nusu fainali hivyo Mali kwa 2023 kutwaa taji hilo ndo basi tena mpaka wakati ujao. Mali ilipoteza kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya timu ya taifa ya Ivory Coast ambayo imetinga hatua ya nusu fainali Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2023) baada ya…

Read More

YANGA TAYARI KUMALIZANA NA KAGERA SUGAR

WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…

Read More

PAPE SAKHO HUYO ULAYA

RASMI Simba SC imefikia makubaliano na Klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kumuuza mchezaji Pape Sakho. Kiungo huyo ni miongoni mwa viungo bora wenye mambo mengi ndani ya uwanja akiwa na mtindo wa ushangiliaji wa kunyunyiza. Moja ya mabao aliyofunga ndani ya Simba ilikuwa dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya…

Read More

SIMBA WAWAPIGIA HESABU AL AHLY

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Al Ahly maandalizi yapo sawa na hesabu kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo huo. Ahmed Ally, Meneja Habari wa Idara ya Mawasiliano Simba amesema mchezo huo utachezwa Uwanja wa Mkapa na kutakuwa na burudani kubwa kwa mashabiki watakaojitokeza. “Mechi itachezwa saa 12:00…

Read More

MKWANJA MREFU SIMBA YAPATA KUTOKA M BET

TIMU ya Wanawake, ya Simba Queens imeingia mkataba wa udhamini wa miaka mitano na kampuni ya michezo ya kubashiriki ya M Bet wenye thamani ya Tsh. bilioni moja.Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally amesema kuwa mkataba huo hauingiliani na mkataba wa timu ya wanaume.Sababu kubwa za kuweza kupata…

Read More

MKWANJA MREFU ATAKUJA TEN HAG

INAELEZWA kuwa ikiwa Klabu ya Manchester United itaamua kuvunja mkataba na kocha Erik Ten Hag italazimika kumlipa zaidi ya pauni milioni 15. Ten Hag ambaye huu ni msimu wake wa pili ndani ya kikosi hicho anaonekana kuwa na wakati mgumu kutokana na matokeo yanayopatikana kutoridhisha. Kuna vuguvugu la Ten Hag kuvunjiwa mkataba wake kikosini hapo…

Read More