JEMBE JIPYA LA SIMBA LIMEANZA KAZI NAMNA HII

MSENEGAL Bababacar Sarr kiungo mpya wa Simba ameanza balaa lake ndani ya Mapinduzi 2024 kwa kuonyesha kile kilichopo kwenye miguu yake. Nyota huyo anayetajwa kuwa na uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya mbili uwanjani ikiwa ni kiungo mkabaji na kiungo wa kata alitambulishwa rasmi Januari 6 kujiunga na Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhack Benchikha….

Read More

NYOTA HAWA WANAACHWA YANGA NA SIMBA

USAJILI wa dirisha dogo unaendelea ambapo kuna wachezaji waliotambulishwa mitaa ya Kariakoo kwa Yanga na Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga walikuwa wa kwanza kuanza utambulisho walipomtambulisha kiungo Shekhan Ibrahim kisha Simba walifuata kwa kumtangaza Saleh Karabaka. Kuna orodha ya wachezaji ambao wataachwa kabla ya dirisha la usajili kufungwa.

Read More

RUDISHA 10% YA PESA YAKO UKILIWA KASINO

Huu ni mwaka wa hela tu ukiwa na Meridianbet basi umechagua kushinda kila siku, Cheza Kasino ya Mtandaoni bila hofu yeyote ya kupoteza na endapo itatokea umepoteza tiketi yako unapatiwa rejesho la 10% ya pesa yako. Jisajili na Meridianbet ufurahie bonasi hii. Meridianbet imekuwa ikitoa bonasi kibao kama mizunguko ya bure, Bonasi ya ukaribisho kwa…

Read More

BENCHIKHA AMVUTA MBADALA WA CHAMA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mualgeria, Abdelhak Benchikha, amewasilisha jina la kiungo wa zamani wa Paide Linnameeskond ya nchini Estonia, Babou Cham raia wa Gambia kwa ajili ya kuwa mbadala wa Clatous Chama. Benchikha tayari amewasilisha orodha ya wachezaji anaowahitaj kwa ajili ya kuongezwa katika dirisha dogo kati ya hao, yupo kiungo mkabaji Babacar Sarr aliyetambulishwa…

Read More

CHELSEA WAANZA MWAKA KIBABE, WASHINDA MECHI TAU

Klabu ya Chelsea wanakuja vizuri siku za karibuni kutokana na kushinda michezo kadhaa mfululizo jambo ambalo limekua nadra kwa klabu hiyo sio msimu huu tu bali kwa misimu miwili ya hivi karibuni. Unaweza kusema Chelsea wameanza kuja taratibu kutokana na hali yao katika ligi kuu ya Uingereza msimu, Hivo wao kupata matokeo ya ushindi mfululizo…

Read More

YANGA: TUNA SILAHA NZITO KWELIKWELI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuhusu uwepo wawachezaji wenye uwezo mkubwa katika kikosi hicho zikiwa ni silaha zao za kazi za kupambania ushindi. Ipo wazi kwamba Yanga imeogotea katika hatua ya robo fainali Mapinduzi 2024 imerejea Dar kwa maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika.

Read More

AMEONGEZA UGUMU MWAMBA HUYU SIMBA

INGIZO jipya ndani ya Simba limeongeza ugumu katika kikosi hicho ambapo kunakuwa na idadi ya wachezaji watatu kwenye eneo hilo ambalo lina kazi kubwa ikiwa ni Fabrince Ngoma, Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute. Ni Bababacar Sarr yeye anatajwa kuongeza ugumu kwenye eneo hilo ndani ya Simba.

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE YAIPIGA MKWARA SIMBA

KUELEKEA kwenye mchezo wa nusu fainali ya Mapinduzi 2024 Kocha Msaidizi wa Singida Fountain Gate, Nizar Khalfan amesema wanaamini mchezo wao dhidi ya Simba hautakuwa mwepesi ila wamejipanga kuhakikisha wanapata ushindi. Ipo wazi kuwa walipokutana kwenye mchezo wa hatua ya makundi ubao ulisoma Simba 2-0 Singida Fountain Gate hivyo wanakwenda kukutana kwa mara nyingine tena Januari…

Read More

MUDA WA KUFANYA KWELI AFCON

ULE muda wa wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania kufanya kweli na kupata matokeo kwenye mechi za ushindani ni sasa kwa kuwa mashindano ya AFCON yapo mbele yao huku ushindani ukitarajiwa kuwa mkubwa kwa timu zote. Kwa namna ambavyo kila timu inahitaji ushindi imani kubwa hata kwa wachezaji wa Stars nao pia hesabu kubwa…

Read More

NUSU FAINALI YA KIBABE HII MAPINDUZI 2024

MSHAMBULIAJI wa Simba Jean Baleke kwenye kutimiza majukumu yake Mapinduzi 2024 alifunga bao pekee dakika ya 45+3 ambalo limekuwa ni ngazi kwa Simba kutiga hatua ya nusu fainali Mapinduzi 2024. Januari 10 2024 inakwenda kupigwa nusu fainali ya kibabe kwa miamba hawa wawili ambapo Singida Fountain Gate wameweka wazi kuwa hawapo kinyonge tena. Ikumbukwe kwamba mchezo…

Read More

AZAM FC WAMEKWAMA KWA MARA NYINGINE TENA

KLABU bora Bongo Azam FC kwa mara nyingine tena wamekwama kufurukuta mbele ya  Singida Fountain Gate  katika Kombe la Mapinduzi kwa kuwa ni mara ya pili kufungashiwa virago na timu hiyo. Ikumbukwe kwamba Januari 8 2023 ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Azam FC 1-4 Singida Fountain Gate katika hatua ya robo fainali zama hizo…

Read More