SINGIDA FOUNTAIN GATE BATA BATANI

BAADA ya kuondolewa katika Mapnduzi 2024 katika hatua ya robo fainali dhidi ya Simba, Singida Fountain Gate wameweka shida chini na kuwapa ruhusa wachezaji kula bata kwa mapumziko mafupi. Ipo wazi kuwa Januari 10 ubao ulisoma Singida Fountain Gate 1-1 Simba kwenye penalti ilikuwa Singida Fountain Gate 2-3 Simba na timu hiyo ikagotea hatua ya…

Read More

AMEPEWA ONYO NYOTA WA SIMBA

AMEPEWA onyo nyota wa Simba na benchi la ufundi ambalo lipo chini ya Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha kuhusu kazi na nidhamu kwenye kikosi hicho ambacho kimegotea nafasi ya pili kwenye Mapinduzi 2024 kwa kushuhudia ubao ukisoma Mlandege 1-0 Simba.

Read More

YANGA: HAKUKUWA NA TIMU YA KUIZUIA MLANDEGE

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa alitabiri tangu awali kuwa Mlandege walikuwa na nafasi ya kutwaa taji la Mapinduzi 2024 kwa mara nyingine tena. Ipo wazi kuwa Januari 13,2024 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ilikuwa Mlandege 1-0 Simba na taji likabaki Zanzibar. Bao pekee la ushindi lilipachikwa dakika ya 54…

Read More

JEMBE LA BENCHIKHA LACHIMBA MKWARA MZITO

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Muivory Coast, Aubin Kramo ametaja siku atakayorejea kuichezea timu hiyo, huku akiahidi kuifanyia makubwa. Kiungo huyo yupo nje ya uwanja muda akiuguza majeraha ya goti ambayo alifanyiwa operesheni. Nyota huyo alifanyiwa operesheni hiyo nchini Afrika Kusini baada ya Madaktari kushauri. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kramo alisema kuwa rasmi anatarajiwa kurejea uwanjani…

Read More

NGOMA AMKUNA BENCHIKHA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mualgeria Abdelhak Benchikha amefunguka kukoshwa na kiwango cha nyota wake, Fabrice Ngoma huku akisema kuwa amekuwa na msaada mkubwa kwa timu hiyo jambo ambalo kwake kama mwalimu anavutiwa nalo. Ngoma ambaye amesajiliwa na Simba akitokea katika klabu ya Al Hilal ya Sudan, ni moja kati ya wachezaji wenye uhakika wa kucheza…

Read More

MAPINDUZI FAINALI: MLANDEGE 1-0 SIMBA

FT Mlandege 1-0 Simba Mlandege ni mabingwa wa Mapinduzi kwa mara ya pili walianza kutwaa mbele ya Singida Fountain Gate 2023 na 2024 mbele ya Simba. Akandwanao amefunga bao kipindi cha pili akiwa ndani ya 18 akitumia makosa ya safu ya ulinzi ya Simba kwenye kukaba mali Kipindi cha pili Uwanja  Amaan Complex ngoma ni…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA MLANDEGE FAINALI

 KIKOSI cha Simba ambacho kinatarajiwa kuanza mchezo wa fainali Kombe la Mapinduzi 2024 dhidi ya Mlandege kipo namna hii:- Ayoub Lakred Shomari Kapombe Israel Mwenda Kazi Che Malone Fabrince Ngoma Luis Miquissone Babacar Sarr Moses Phiri Saido Ntibanzokiza Willy Onana Akiba Ally Salim Abel Duchu Kennedy Hamis Karabaka Chasambi Baleke

Read More

WAKALI WA KAZI WANAKUTANA FAINALI 2024

LEO ni leo kwa wakali kwenye mapigo ya penati kukutana kwenye mchezo wa hatua ya fainali ya Mapinduzi 2024 , Zanzibar. Ipo wazi kwamba ni Mlandege ambao ni mabingwa watetezi dhidi ya Simba wenye shauku ya kutwaa taji hilo na rekodi zinaonyesha kwamba timu zote zilitinga hatua ya fainali kwa kushinda kwa penati katika hatua ya…

Read More

HUYU HAPA CHAGUO LA KWANZA SIMBA

 KOCHA Mkuu wa Simba, Abdlehakh Benchika humwambii kitu kwa kiungo wa kazi Fabrince Ngoma ambaye hana jambo dogo kwenye majukumu yake ndani ya uwanja. Ipo wazi kuwa Simba Jnuari 13 wanatarajia kucheza fainali dhidi ya Mlandege ambapo kwenye mechi zote tano ambazo walicheza tatu za makundi, moja robo fainali na moja hatua ya nusu fainali,…

Read More

ASEC YATOA MASHARTI ILI… SANKARA ASAINI YANGA

KLABU ya Asec Mimosas ya Ivory Coast imekubali kufanya mazungumzo rasmi na Yanga kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wake, Sankara Karamoko mwishoni mwa msimu huu. Hata hivyo mazungumzo hayo ya kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 yatalenga zaidi usajili wa dirisha kubwa na sio hili dogo. Kwa mujibu wa chanzo kutoka Yanga kimeliambia…

Read More

MSHAMBULIAJI HUYU YANGA ANASEPA

INAELEZWA kuwa nyota wa Yanga, Cripin Ngush ambaye ni mshambuliaji atakuwa ndani ya uzi wa Coastal Union ya Tanga kwenye kupambania nafasi kikosi cha kwanza. Ipo wazi kwamba mshambuliaji huyo mzawa ambaye aliibuka ndani ya Yanga akitokea Mbeya Kwanza hana nafasi kikosi cha kwanza. Alipata zali la kuanza kikosi cha kwanza kwenye baadhi ya mechi…

Read More

NYOTA HAWA WANA BALAA WAKIWA UWANJANI

NDANI ya Ligi Kuu Bara kuna miamba ambao wana juhudi kwa kuwa namba moja kwenye rekodi tofautitofauti. Ni Aziz KI huyu anakipiga Yanga ni namba moja kwa watupiaji wa mabao akiwa nayo 10 na ni kinara kwa watupiaji wakitumia mguu wa kushoto na mkali wa mapigo huru. Saido Ntibanzokiza ni mkali wa penalti yupo zake…

Read More

MAPINDUZI CUP FAINALI LEO NI LEO

JANUARI 13 leo ni leo ambapo Michuano ya Mapinduzi Cup inafikia tamati kwa mechi ya fainali kupigwa Mabingwa watetezi ambao ni Mlandege kucheza na Simba SC ambao wametinga hatua ya fainali 2024. Ni bao la Fabrince Ngoma lilileta nongwa dakika za lala salama na kupelekea mikwaju ya penalti. Singida Fountain Gate 2-3 Simba kwenye penalti…

Read More