
MAOKOTO YA AFCON, FA, COPA DEL REY & KASINO WIKI HII
Mashindano ya Mataifa ya Afrika AFCON yamenoga huko nchini Ivory Coast, leo Tanzania itasimama kushuhudia wajukuu wa Nyerere wakiwa kwenye dimba lenye jina la gwiji wa nchi hiyo Laurent Pokou, watakipiga dhidi ya Morocco ambapo Taifa Stars wamepewa odds kubwa ya 14.7 Historia inaonesha nchi ya Mapharao wenye utajiri wa mafuta, vipaji vya soka, maandiko…