HAALAND AWEKA REKODI PREMIER

ERLING Haaland mshambuliaji wa Manchester City wakati timu yake ikishinda mabao 3-0 dhidi ya Wolves ugenini ameandika rekodi nyingine tena. Ni bao la Jack Grealish dakika ya kwanza kisha likapachikwa bao na Haaland mwenyewe dakika ya 16 na lile la tatu ilikuwa ni kazi ya Phil Foden dakika ya 69. Nyota huyo anaweka rekodi ya…

Read More

SIMBA YATAMBULISHA UZI MPYA MKALI

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo Januari 3 2022 wametambulisha uzi mpya. Ni uzi maalumu ambao utatumika katika Kombe la Shirikisho pamoja na Kombe la Mapinduzi ambalo linafanyika Zanzibar. Tayari kikosi kimewasili Zanzibar kwa ajili ya mashindano hayo ambayo yameanza kurindima jana Januari 2. Mchezo wao wa kwanza unatarajiwa kuwa ni Januari 5,2022…

Read More

AZAM FC WABANWA MBAVU AZAM COMPLEX

WAUAJI wa Kusini, Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika kuvuja jasho dakika 90. Bao la mapema kwa Namungo lilifungwa na Hamis Halifa dakika ya 12 akiwa nje ya 18 akitumia pasi kutoka kwe Legend,…

Read More

SIMULIZI YA MUME ALIYEKUWA NA TABIA ZA KERO

SIMULIZI ya mume ambaye alikuwa na tabia zilizomkera mkewe Ndoa yangu na mume wangu ilikua yenye kutamaniwa na wengi. Tuliishi mjini katika makao ya wafanyakazi wa Serikali ambapo mume wangu alikua mhasibu katika Serikali ya kauti ya Mombasa. Nilifanya kazi ya ususi mjini Mombasa ambapo nilikuwa na duka la kuuza bidhaa mbalimbali za kutia nakshi…

Read More

JESHI LA YANGA LEO DHIDI YA RUVU SHOOTING

KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo dhidi ya Ruvu Shooting,  Uwanja wa Mkapa kwenye benchi yumo nyota mzawa David Bryson ambaye alikuwa nje kutokana na kusumbuliwa na majeraha. Hili hapa jeshi kamili la Yanga ambalo litaanza:-   Diarra Djigui Kibwana Shomari Shaban Djuma Dickson Job Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Mukoko Tonombe Jesus Moloko Yacouba Songne Feisal…

Read More

YANGA: TUNAGUSA MAISHA YA KILA MTANZANIA

RAIS wa Klabu ya Yanga na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika, Injinia Hersi Said amebainisha kuwa timu ya Yanga inagusa maisha ya kila Mtanzania. “February 11, mwaka huu, Yanga ilitimiza miaka 89 tangu kuanzishwa kwake. Ni Klabu kongwe zaidi ya mpira wa miguu Tanzania na ilishiriki kwenye harakati za Uhuru wa Taifa letu. Ni…

Read More