
HIZI HAPA ZIMETINGA ROBO FAINALI AZAM SPORTS FEDERATION
AZAM FC imekamilisha idadi ya timu 8 ambazo zimetinga hatua ya robo fainali Azam Sports Federation. Timu hiyo iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mapinduzi kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo wa hatua ya 16 bora ulikuwa ni wa mwisho kwa Machi 5 ambapo ule wa awali kabisa ulichezwa saa…