HUYU NI KOCHA MPYA YANGA SC CV YAKE

ROMAIN Folz kocha mpya wa Yanga SC ana balaa zito akiwa ni kocha kijana. Kocha huyo ni mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC 2024/25. Miloud alipewa Thank You Julai 3 2025 hivyo hatakuwa ndani ya Yanga SC msimu wa 2025/26 amepata changamoto mpya Klabu ya Ismaily SC ya Misri….

Read More

KIKOSI CHA RS BERKANE DHIDI YA SIMBA SC

RS Berkane kutoka Morocco itakuwa Uwanja wa New Amaan Complex kwenye mchezo wa fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Simba SC ya Tanzania, saa 10:00 jioni. Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:-  Munir El Kajoui  Hamza Moussaoui  Adil Tahif  Yassine Lebhiri  Issoufou Dayo  Mamadou Camara  Youssef Mehri…

Read More

BEKI YASSIN AJIUNGA NA SINGIDA BIG STARS

 YASSIN Mustapha leo Julai 18,2022 ameweza kutambulishwa kuwa ni mali ya Klabu ya Singida Big Stars. Beki huyo msimu wa 2021/22 alikuwa anakipiga ndani ya mabingwa wa ligi ambao ni Yanga. Ni dili la miaka miwili ameweza kusaini kuweza kupata changamoto mpya katika timu mpya ambayo atakuwa anacheza kwa msimu ujao. Kwa mujibu wa Ofisa…

Read More

YANGA YASEPA NA POINTI TATU MBELE YA KMC

MSAKO wa pointi tatu umekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 2-0 KMC. Mabao ya Andrew Vincent aliyejifunga dk 39 na Djuma Shaban dk 51. KMC walikosa utulivu hali iliyofanya wakose nafasi walizotengeneza na ni kadi 5 za njano wameonyeshwa. Yanga inafikisha pointi 48. KMC inakwama kupata pointi mbele ya Yanga msimu huu…

Read More

HASIRA ZA SIMBA KUHAMIA HAPA KISA KARIAKOO DABI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hasira zakukosa mchezo wa Kariakoo Dabi ambao ulitarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 Uwanja wa Mkapa watazihamishia kwa wapinzani wao TMA Stars mchezo wa CRDB Federation Cup. Ikumbukwe kwamba mchezo huo ulikuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa kati ya Yanga na Simba, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) ilitoa taarifa…

Read More

UGANDA WAIPIGA MKWARA HUU TANZANIA

NAHODHA wa timu ya Taifa ya Uganda, Emanuel Okwi ameweka wazi kuwa kesho watapambana kupata matokeo dhidi ya Tanzania. Uganda ipo Bongo ikiwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Stars kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 Ivory Coast. Katika mchezo uliochezwa Misri, ubao ulisoma Uganda 0-1 Tanzania huku bao likifungwa na Simon Msuva….

Read More

AZIZ KI KWENYE HESABU ZA WYDAD

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz Ki anatajwa kuwa kwenye rada ya Klabu ya Wydad Casablanca ambayo inahitaji saini yake.   Ki msimu wa 2023/24 mezani alikuwa na ofa zaidi ya mbili kutokana na kiwango ambacho alionyesha akiwa Yanga na mwisho alisaini dili jipya kuendelea kuwa ndani ya Yanga.   Ikiwa Wydad Casablanca watakakuwa wanahitaji saini…

Read More

BREAKING:MRITHI WA MIKOBA YA HAJI MANARA HUYU HAPA

RASMI leo Januari 3,2022 uongozi wa Simba umemtangaza Ahmed Ally kuwa Ofisa Habari wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Ally anakuja kuchukua mikoba ya Haji Manara ambaye alibwaga manyanga mwaka 2021 na sasa ni Ofisa Habari ndani ya kikosi cha Yanga. Aliposepa Manara nafasi hiyo alikaimu Ezekiel Kamwaga ambaye kwa sasa yupo…

Read More