SIMBA KUMLETA MZUNGU MWINGINE, BOCCO BASI
BAADA ya uongozi wa Simba kuwa kwenye mjadala mzito juu ya kupata meneja mpya wa klabu hiyo, hatimaye Kocha Mkuu wa klabu hiyo raia wa Brazil, Roberto Olivier ‘ Robertinho’, ameutaka uongozi kutafuta meneja kutoka nje ya nchi ili kubadili mwenendo wa kikosi hicho. Kikosi cha Simba kwa sasa kipo kwenye maboresho baada ya kushuhudia…