SIMBA KUMLETA MZUNGU MWINGINE, BOCCO BASI

BAADA ya uongozi wa Simba kuwa kwenye mjadala mzito juu ya kupata meneja mpya wa klabu hiyo, hatimaye Kocha Mkuu wa klabu hiyo raia wa Brazil, Roberto Olivier ‘ Robertinho’, ameutaka uongozi kutafuta meneja kutoka nje ya nchi ili kubadili mwenendo wa kikosi hicho. Kikosi cha Simba kwa sasa kipo kwenye maboresho baada ya kushuhudia…

Read More

SIMBA KWENYE HESABU NDEFU

WAKIWA na mchezo dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Arusha Mei 25 2024 benchi la ufundi la timu hiyo limebainisha kuwa hesabu ni kupata matokeo kwenye mechi ambazo wanacheza. Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ushindi wake mkubwa akiwa na timu hiyo ilikuwa mchezo dhidi ya Geita Gold walipopata ushindi wa mabao 4-1 baada ya dakika…

Read More

YANGA YATEMBEZA MKWARA HUU KIMATAIFA

KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh Waarabu wa Sudan, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa wachezaji wote wapo tayari kwa ajili ya kupata ushindi katika mchezo huo. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi inatarajiwa kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh unaotarajiwa kuchezwa Septemba 16….

Read More

UNJANJA WA NYOTA WA YANGA UPO HAPA

MAXI Nzengeli nyota wa Yanga mwenye spidi na uwezo wa kutoa pasi ndefu na fupi akiwa ndani ya uwanja ujanja wake wa kufunga mabao upo akiwa ndani ya 18.  Nyota huyo kacheza mechi tano za ligi akiyeyusha jumla ya dakika 309, katoa pasi moja ya bao na kujaza kimiani mabao matatu msimu wa 2023/24. Kwenye…

Read More

UKUTA WA SIMBA NGOMA NGUMU KWENYE LIGI

UKUTA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda umekuwa ni kama chuma kutokana na kuruhusu mabao machache. Simba ikiwa imecheza mechi 8 ambazo ni dakika 720 imeokota nyavuni mabao manne ikiwa na wastani wa kufungwa bao moja kila baada ya dakika 180. Ni Joash Onyango, Henock Inonga, Mohamed Hussein,Shomari Kapombe hawa ni…

Read More

BM:MASHABIKI MSIWE NA MASHAKA MSIMU UTAKUWA MZURI

KIUNGO mpya wa Yanga, Bernard Morrison amesema kuwa mashabiki wasiwe na mashaka msimu mpya utakuwa ni mzuri kwao na watapambana kufanya vizuri. BM amerejea ndani ya Yanga kwa kupewa dili la miaka miwili baada ya dili lake ndani ya Simba kugota ukingoni. Nyota huyo amewaambia mashabiki wa Yanga kuwa aliwakosea wakati ule alipokuwa ndani ya…

Read More

SIMBA KWENYE KAZI LEO MUUNGANO

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kombe la Muungano dhidi yaKVZ ambao unatarajiwa kuchezwa leo Aprili 24, Uwanja wa New Amaan Complex. Kikosi hicho kinatarajiwa kuwa na kazi dakika 90 kusaka matokeo ambapo kwenye mechi zake tano mfululizo kimekwama kupata ushindi. Matola amesema; “Tunatambua umuhimu wa mchezo wetu…

Read More

MANCHESTER CITY MAMBO SIO MAMBO LIGI KUU YA UINGEREZA

Mambo yanaonekana kuwaendeo kombo mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Manchester City, Kwani mpaka sasa wamecheza michezo minne ya ligi kuu ya Uingereza hivi karibuni na hawajapata matokeo ya ushindi katika mchezo wowote. Matokeo ya hivi karibuni ya klabu hiyo ambayo imetawala ligi kuu ya Uingereza kwa miaka saba nyuma hayaleti picha…

Read More

DODOMA JIJI 0-1 YANGA, UWANJA WA LITI

IKIWA ugenini mbele ya Dodoma Jiji kwenye mchezo wa ligi Uwanja wa Liti, Yanga inaongoza kwa bao 1-0. Bao pekee la uongozi ni mali ya Fiston Mayele ambaye amepachika bao hilo dakika ya 41 ya mchezo. Pasi ya kwanza ya kiungo Tuisila Kisinda leo imeleta bao kwenye mchezo huo wenye ushindani mkubwa. Dodoma Jiji wanakwenda…

Read More

MUGALU NA BOCCO WATOA GUNDU SIKU YA 193

JANUARI 28 mastaa wawili wa Simba ambao ni washambuliaji, John Bocco na Chris Mugalu walitoa gundu ya kutofunga kwa muda mrefu kwenye ligi kwa kuweza kufunga kwenye mazoezi. Ilikuwa ni siku yao ya 193 ya kuweza kucheza bila kufunga baada ya kuweza kutupia mara ya mwisho Julai 18,2021 katika mchezo wa ligi dhidi ya Namungo…

Read More