YANGA WASIMIKA MNARA MWINGINE HUKU

MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation Yanga wamewafungashia virago katika raundi ya pili Hausing FC ya kutoka Njombe katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Dakika 45 za mwanzo mchezo ulikuwa ni wa upande mmoja kwa Yanga kumiliki zaidi na kufunga mabao 4-0 Hausing ambao angalau waliongeza ushindani kipindi cha pili walipofungwa bao…

Read More

Tajirika na Maokoto ya Meridianbet Leo

Leo tena kipute cha ligi pendwa Duniani yani EPL inatarajiwa kuchezwa hii leo na kesho mecho zote huku kila timu ikihitaji ushindi kama wewe mteja ambavyo unahitaji ushindi ukibeti na meridianbet. Ingia sasa na ubeti. Vijana wa Roberto De Zerbi Brighton watakuwa na kibarua kigumu ugenini dhidi ya Luton Town ambaye naye pia alishinda mechi…

Read More

UGUMU WA YANGA MWISHO

UNAWEZA kusema zilikuwa siku ngumu kwa mashabiki wote wa Yanga baada ya kukaa muda mrefu bila kuishuhudia timu yao ikicheza katika ardhi ya Tanzania, jambo ambalo linatarajiwa kugota ukingoni leo Januari 30. Mabingwa hao watetezi watakakuwa na kibarua kusaka ushindi dhidi ya Hausing FC katika mchezo wa kombe la la Shirikisho la Azam Sports. Mchezo…

Read More

MWAKINYO ATUMA SALAMU KWA TWAHA

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kushinda mkanda wa ubingwa wa WBO Afrika kwa kumchapa Mghana, Elvis Ahorga kwa KO ya raundi ya sana katika pambano la raundi kumi kwenye uzani wa super middle ambalo limepigwa New Amaan Complex, Zanzibar. Mwakinyo ameshinda pambano hilo huku akiweka rekodi za kushinda mkanda wa ubingwa…

Read More

MABINGWA WATETEZI SENEGAL WAMEUMALIZA MWENDO

HATIMAYE bingwa mtetezi Senegal katika Kombe la Mataifa Afrika mwendo ameumaliza kwa kufungashiwa virago na Ivory Coast. Senegal walikuwa ni mabingwa wa 2022 wa AFCON safari yao imegota mwisho baada ya kupoteza mbele ya Ivory Coast kwenye mchezo ambao walikuwa wakipewa nafasi kubwa ya kusonga hatua inayofuata. Ilikuwa ni hatua ya 16wanaishia wakikwama kutinga robo…

Read More

Cheza Sloti ya GOLD OASIS Kasino Bora Meridianbet

Gold Oasis, mchezo mwingine wa sloti  kutoka Meridianbet kasino ya Mtandaoni unaokupeleka maeneo ya jangwa la Sahara. Kazi yako ni kujiunga na kikundi kilichoanzisha kampeni ya ushindi mkubwa. Karibu kwenye furaha kubwa ya kukusanya maokoto.   Gold Oasis ni mchezo wa sloti ulioandaliwa na mtayarishaji Pragmatic Play. Kitu kisichokuwa cha kawaida kabisa kinakungoja katika mchezo…

Read More

MKALI WA MAPIGO HURU KAMILI KUMVAA MNYAMA

MKALI wa mapigo huru ndani ya Ligi ya Wanawake Tanzania, Joele Bukuru aliyekuwa akicheza kikosi cha Simba Queens yupo tayari kwa kazi akiwa na timu yake mpya ya Singida Fountain Gate. Ipo wazi kwamba kiungo huyo alipokuwa ndani ya kikosi cha Simba Queens alikuwa akipewa majukumu ya mapigo huru ikiwa ni faulo, kona kaanza mazoezi…

Read More

DIAMOND AMTAJA ALIYEMSHIKA MKONO

NASIB Abdul msanii anayepeperusha bendera ya Tanzania kitaifa na Kimataifa wengi wanamtambua kwa jina la Diamond amefichua siri yake na Legend kwenye muziki wa Bongo Fleva Henry Samir wengi wanamtambua kwa jina la Mr Blue. Diamond ameweka wazi kuwa Blue alikuwa naye bega kwa bega kabla hajatusua kitaifa kwa kumshika mkono hatua kwa hatua akiwa…

Read More

INGIZO JIPYA SIMBA LIMEPEWA JEZI NGUMU

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba limepewa jezi ngumu ambayo ni namba 18 iliyokuwa inavaliwa na kiraka aliyeonja chungu na tamu na uwezo wake ulikuwa mkubwa kwenye kutimiza majukumu yake kila alipopewa nafasi. Michael Fredy ameanza mazoezi na wachezaji wa Simba akiwa ni mshambuliaji anayetarajiwa kubeba mikoba ya Jean Baleke ambaye amekutana na Thank…

Read More

DR CONGO WAIDUWAZA MISRI AFCON

TIMU ya taifa ya DR Congo iliyokuwa kundi F na timu ya taifa ya Tanzania imekata tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON). Ilikuwa katikà 16 bora dhidi ya Misri ya Mohamed Salah ambaye kagotea hatua hiyo na mpango wa kutinga nusu fainali umeyeyuka mazima. Wababe hao walitinga hatua ya…

Read More

NYOTA HUYU SIMBA QUEENS ASEPA NA MPIRA

NYOTA wa Simba Queens, Jentrix Shikangwa amesepa na zawadi ya mpira baada ya kufunga hat trick katika Ligi ya Wanawake Tanzania. Hat trick hiyo ilipachikwa kipindi cha pili kwenye mchezo dhidi ya Alliance Girls uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Januari 27 2024. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba Queens 7-0 Alliance Girls ambao waliyeyusha…

Read More

SIMBA NA YANGA WAPINZANI WAO HAWA HAPA

AZAM Sports Federation Cup 2023/24 raundi ya pili inatarajiwa kupigwa ndani ya Januari baada ya ratiba kupangwa. Tayari Simba na Yanga wameshawajua wapinzani wao kwenye hatua hiyo ambapo mechi zinachezwa kwa mtindo wa mtoano atakayepoteza mchezo safari inamkuta. Kagera Sugar inayotumia Uwanja wa Kaitaba kwa mechi za nyumbani itamenyana na Dar City Januari 31 saa…

Read More