
MWAMBA FEI TOTO GARI LIMEWAKA HUKO
NYOTA Feisal Salum gari limewaka ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kuzidi kupamba moto akiwa anatimiza majukumu yake ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani. Mzawa huyo ni namba moja kwenye chati ya wafungaji Bongo akiwa katupia jumla ya mabao 11 yupo ndani ya Azam FC akitimiza majukumu yake na mechi za nyumbani huwa…