
ORODHA YA MASTAA WALIOKATALIWA SIMBA WAKAPETA YANGA
KUNA mastaa ambao walikuwa wanatajwa kupigiwa hesabu na mabosi wa Simba na wengine walikuwa ndani ya Simba lakini wakapewa mkono wa asante kisha wakaibukia ndani ya kikosi cha Yanga ambapo huko wanapeta na maisha yanandelea kama kawaida