AZAM FC KWENYE HATUA NYINGINE TENA

MATAJIRI wa Dar,Azam FC wameendeleza mwendo wa kupiga hatua zaidi kwaajili ya kuwa na wachezaji bora na kuendeleza kutoa ajira kwa Watanzania kupitia sekta ya michezo. Taarifa ambayo imetolewa na Azam FC imeeleza namna hii: “Tumeingia makubaliano ya ushirikiano na vituo vya kulea vipaji (academies) nane za mikoa mbalimbali nchini. “Vituo hivyo nane vitakuwa ni…

Read More

SIMBA NGOMA NZITO KWENYE ULINZI

KATIKA mechi tatu àmbazo ni dakika 270 Simba imeruhusu jumla ya mabao manne ikikwama kuondoka na clean sheet katika mechi hizo. Ngoma ni nzito kwenye upande wa ulinzi huku benchi la ufundi likibainisha kuwa litafanyia kazi hayo yote kwenye uwanja wa mazoezi. Seleman Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema wanatambua kuwa kuna makosa yanatokea jambo…

Read More

Kamilisha Ndoto Zako na Super Heli Kasino

Hapo mwanzo baada ya kuutambulisha mchezo wa Super Heli ambao namba moja pendwa kwa michezo ya kasino ya mtandaoni, wengi walikuwa wanauchukulia poa poa tu lakini leo nataka nikujuze usichokifahamu kingine kwenye mchezo huu. Pale Meridianbet kuna michezo mingi sana ya kasino, kuna Aviator, Poker, Roulette nk lakini huu umekuwa gumzo kwa wachezaji wote walioweka…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA KUENDELEA LEO

Mtoto hatumwi dukani leo kwenye ligi ya mabingwa barani ulaya ambapo itapigwa michezo ya kibabe katika hatua ya 16 bora ili kutoa tiketi ya robo fainali kwa vilabu vinne vitakavyocheza leo. Leo itapigwa michezo miwili mikali ya ligi ya mabingwa ulaya ikihusisha timu nne ambapo michezo yote iko wazi na kila mmoja ana uwezo wa…

Read More

SIMBA YATUMA UJUMBE HUU SINGIDA FOUNTAIN GATE

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate umebainisha kuwa unahitaji pointi tatu muhimu. Ikumbukwe kwamba Simba imetoka kupata ushindi dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa ugenini uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Kwenye msimamo ipo nafasi ya tatu na pointi 39 baada ya kucheza mechi 17 vinara wa ligi ni…

Read More

YANGA NA 5 G YATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa wale wanaosema ushindi wao kàtika mechi za Ligi Kuu Bara ni wa mchongo wajiulize wao walifungwa ngapi walipokutana nao. Machi 11 2024 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Yanga 5-0 Ihefu na pointi tatu zikiwa ni mali ya Yanga. Mabao ya Pacome Zouzoua dakika ya 10, Mudathir Yahya…

Read More

MSHAMBULIAJI KMC AINGIA ANGA ZA YANGA

NYOTA Wazir Junior mshambuliaji wa KMC ameingia anga za Yanga kwa kuwa sawa kwenye utupiaji na mwamba Aziz KI ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba Junior aliwahi kucheza katika kikosi cha Yanga alipoibuka hapo akitokea Mbao lakini alikwama kuwa kwenye ubora kutokana na kutopewa nafasi mara kwa mara na hata alipopewa hakuwa na bahati…

Read More