
YANGA SC KUCHUKUA UBINGWA MBELE YA SIMBA SC, WAMSHTUKIA MTANI
UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa pointi zao mbele ya Simba SC zitawapa ubingwa msimu wa 2024/25 katika Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora. Yanga SC inaongoza ligi ikiwa na pointi 79 kibindoni baada ya kucheza mechi 29 sawa na Simba SC ambayo ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi…