
NI YANGA TENA KWA MARA NYINGINE, REKODI ZAKE BALAA
YANGA kwa mara nyingine tena chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wamesepa na taji la CRDB Federation Cup mbele ya Azam FC iliyokuwa ikipambania kutwaa taji hilo mbele ya mabingwa hao wa ligi.
YANGA kwa mara nyingine tena chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wamesepa na taji la CRDB Federation Cup mbele ya Azam FC iliyokuwa ikipambania kutwaa taji hilo mbele ya mabingwa hao wa ligi.
INGIZO jipya ndani ya Real Madrid, Kylian Mbappe ambaye ameletwa duniani Desemba 20 1998 amebainisha kuwa ndoto yake imetimia. Kwa muda mrefu tetesi zilikuwa zinaeleza kuwa mwamba huyo ambaye ana rekodi ya kufunga hat trick katika fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Argentina alikuwa kwenye rada za Real Madrid. Hatimaye dili limejibu kwa nahodha…
Huu hapa tena mchezo wa kasino ya mtandaoni unaovutia sana ambapo buibui na wachawi wanatawala kwenye mchezo huu. Alama hizi unatakiwa kuzipata kwa wingi ili kujipatia ushindi mkubwa. Jisajili na Meridianbet uwe Milionea kupitia mchezo huu. The Magic Web ni kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet. Katika mchezo huu kadi za mwitu/Pori huleta mshangao mkubwa na…
KITASA wa kazi ndani ya Yanga ambaye ni beki chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi amebainisha kuwa haikuwa rahisi kwenye mchezo wa fainali ya CRDB Federation Cup. Ni Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ ambaye baada ya mchezo kukamilika alichaguliwa kuwa Mchezaji Bora mechi ya fainali hiyo iliyochezwa Uwanja wa New Amaan Complex. Kazi kubwa aliyofanya…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa ni huzuni kubwa imetawala kwa wakati huu kutokana na kushindwa kufikia malengo yao kwa asilimia kubwa msimu wa 2023/24. Ipo wazi kuwa ni namba tatu imegotea kwenye ligi ikiwa na pointi 69 tofauti ya mabao ya kufungwa na kufunga dhidi ya Azam FC iliyomaliza ikiwa nafasi ya pili kwenye…
MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa ukomavu wa wachezaji wake kwa kukubali matokeo kwenye mchezo huo yaliwapa nguvu ya kuendelea kupambana mpaka mwisho wa mchezo. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa CRDB Federation Cup wakipeta mbele ya Azam FC matajiri wa Dar ambao walikuwa kwenye nafasi nzuri ya kutwaa taji hilo…
HAWA hapa wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa, Yanga na Azam FC ni kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba na Coastal Union kwenye Kombe la Shirikisho Afrika.
Bado una nafasi ya kuendelea kuwa mshindi na kupiga mtonyo mrefu, kwa kushiriki promosheni ya Expanse ndani ya Meridianbet Kasino ya Mtandaoni. Ili upate mgao wako wa Mamilioni ni lazima uwe umejisajili Meridianbet, kisha ucheze michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni kutoka Expanse Studios. Kwenye Promosheni hii zawadi zinazotolewa ni nyingi, lakini washindi 40…
BONDIA Mtanzania, Hassan Mwakinyo amewaomba radhi mashabiki wake kwa sintofahamu iliyojitokeza usiku wa Ijumaa ya Mei 31, katika ukumbi wa Warehouse Masaki ambako alitarajiwa kupigana na Mghana, Patrick Allotey na jambo hilo kushindikana dakika za mwisho za usiku ule. Kutokana na sintofahamu hiyo, Mwakinyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, amesema hakuna shida yoyote…
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 Yanga wametembeza mkwara mwingine kwa kubainisha kwamba hesabu kubwa ni kutwaa taji la CRDB Federation mbele ya Azam FC. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wa taji hilo walitwaa mbele ya Azam FC kwenye fainali iliyochezwa Uwanja wa Mkwakwani kwa ushindi wa bao 1-0 huku mtupiaji akiwa…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamebainisha kwamba wapo tayari kwa mchezo wa fainali dhidi ya Yanga inayonolewana Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Azam FC inanolewa na Msenegal, Yusuph Dabo ambaye ameongoza kikosi hicho kumaliza kikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi. Ni pointi 69 wamekomba Azam FC baada ya kucheza mechi 30 mchezo wao wa…
MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wana jambo lao na Azam FC kwenye mchezo wa fainali. Ngoma inatarajiwa kuchezwa leo ndani ya dakika 90 katika msako wa mshindi mpya ikiwa ni mchezo wa funga msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba Yanga wana taji la Ligi Kuu Bara walitwaa…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utafanyia kazi makosa ambayo yamepita ili kurejea kwenye ubora wao kwa kuwa nyakati ambazo wamepita zimewaumiza. Ipo wazi kuwa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda imegotea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 69. Imepishana na taji la ligi pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika…
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo usiku wa kuamkia June 02, 2024 ameshinda Ubingwa wa WBO kwa TKO kwa kumpiga Bondia Mghana Patrick Allotey kwenye Ukumbi wa Warehouse uliopo Masaki, Dar es Salaam aliyeshindwa kuendelea na pambano round ya pili akidai ameumia bega. Pambano hilo lilipangwa kuchezwa June 01, 2024 lilishindwa kufanyika kwasababu…
REAL MADRID imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya KUMI NA TANO (15) kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi miamba ya Ujerumani, Borussia Dortmund kwenye fainali iliyopigwa katika dimba la Wembley, London. Borussia Dortmund walikuwa bora sana kipindi cha kwanza lakini walishindwa kuwaadhibu Mabingwa hao wa Uhispania kabla ya mambo kugeuka kichwa chini…
Kila siku mapambanao ya utafuutaji lazima yaendelee, na siku zote mtafutaji hachoki, kupitia Meridianbet kasino ya mtandaoni kuna promosheni ya Tsh Milion 400,000,000/= kwaajili yako wewe, mpenzi w michezo ya kasino, Expanse Tournament ni yako kwa ushindi mkubwa. Jisajili na Cheza Meridianbet Kasino. Katika promosheni hii unapokuwa unacheza mchezo wako pendwa wowote ule uliotengenezwa na…
KUELEKEA katika mchezo wa fainali ya CRDB Federation Cup Juni 2 2024 kati ya Yanga dhidi ya Azam FC, mabingwa watetezi wamegomea kulipa kisasi. Ipo wazi kuwa Yanga ni mabingwa watetezi wa taji hilo wanakumbuka walipokutana katika mchezo wa ligi mzunguko wa pili walipotoza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Mkapa….