AVIATOR YAKUPA NAFASI YA PEKEE – SHINDA PS5 KWA KURUKA NA USHINDI!

Mchezo maarufu unaotikisa mitandaoni, Aviator, sasa unakupa nafasi ya kushinda zawadi ya ndoto – PlayStation 5 (PS5) mpya kabisa kupitia Meridianbet! Kampeni hii kabambe inamalizika kesho, na Meridianbet inawakaribisha watanzania wote wenye kiu ya ushindi kushiriki. Ni rahisi, ni ya kusisimua, na inakulipa! Jinsi Ya Kuwa Mshindi: Ingia au jisajili bure SASA. Cheza Aviator –…

Read More

SIMBA YATINGA NUSU FAINALI, YANGA KAZINI

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Fadlu Davids kimetinga hatua ya nusu fainali CRDB Federation Cup kwa ushindi dhidi ya Mbeya City. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex, Simba ilipata mabao kupitia kwa Fabrince Ngoma dakika ya 24 akiweka usawa bao la Mudathir Said wa Mbeya City aliyepachika bao dakika ya 22. Bao…

Read More

MCHEZO WA KASINO MAFIA CLASH, KUTANA NA MWAMBA ANAYELIPA ZAIDI

Tunakuletea mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye mizunguko ya mara nyingi. Furahia sherehe ya kipekee. Mafia Clash ni mchezo wa kasino ya mtandaoni inaotoa bonasi kibao kwa wachezaji, sloti hii imetengenezwa Hacksaw Gaming. Mchezo huu kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni una thamani inayoweza…

Read More

CHELSEA, LIVERPOOL, UNITED, REAL MADRID KUCHEZA LEO

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Ligi pendwa Duniani EPL leo hii pia ipo kwaajli ya kukupatia mkwanja Chelsea atakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Ipswich Town ambao mechi ya kwanza…

Read More

KILA MECHI FURSA YA PESA – CHEZA, SHINDA, FURAHIA!

Je unajua kuwa ukibashiri na Meridianbet nafasi ya wewe kuwa Milionea ni kubwa?. Bashiri mechi za kawaida lakini pia Jackpot babkubwa ipo. Beti na Meridianbet leo uamke tajiri kesho. Italia SERIE A kitawaka vilivyo Venezia ataumama vs AC Monza ambapo mwenyeji mechi iliyopita alitoa sare, huku mgeni wake akipigika. Leo hii kila timu inahitaji ushindi…

Read More

MASHUJAA WAENDELEZA USHUJAA, COASTAL WAKIWASHA

MSAKO wa pointi tatu umezidi kuwa mkali kwa wababe wanaoshuka uwanjani ndani ya uwanja katika Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, huku Mashujaa wakiwa ni Mashujaa mbele ya Tabora United na Coastal Union wakianza kwa kasi uwanja wa nyumbani, ngoma ilikuwa ni Aprili 10 2025. Wakiwa Uwanja wa Mkwakwani baada…

Read More

SIMBA YAINGILIA SHOW YA YANGA

SIMBA yaingilia show ya Yanga ambayo inaongoza Ligi Kuu Bara namba nne kwa ubora Afrika ikiwa na pointi 67 baada ya kucheza mechi 25 msimu wa 2024/25, Aprili 10 2025 ilisepa na pointi tatu mazima mbele ya Azam FC kwenye mchezo uiochezwa Uwanja wa Azam Complex kwa ushindi wa mabao 2-1.

Read More

EUROPA LEAGUE NA CONFERENCE KUTOA PESA LEO

Baada ya kushuhudia mechi za ligi ya mabingwa barani Ulaya na sasa ni zamu ya Europa league na Conference huku odd kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yakiwa hapa. Ingia na utengeneza pesa leo. Manchester United ya Ruben Amorim watakuwa kibaruani kukipiga dhidi ya Olympique Lyon ya kule Ufaransa. Mara ya mwisho timu hizi kukutana…

Read More

MTIBWA SUGAR WAPO SIRIAZ NA JAMBO LAO

MTIBWA Sugar inayotumia Uwanja wa Manungu kwenye mechi za nyumbani wapo siriazi na jambo lao kurejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kushuka na kuibukia ndani ya Championship. Timu hiyo kwa sasa ni namba moja kwenye msimamo ikiwa na jumla ya pointi 60 baada ya kucheza mechi 25 ndani ya ligi msimu wa 2024/25….

Read More