YANGA YAIPIGIA HESABU HIZI KAGERA SUGAR

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wanatarajiwa kumenyana na Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa Yanga haijapoteza mchezo wowote msimu wa 2023/24 ikiwa nyumbani hivyo Kagera Sugar wanakazi kubwa kufanya ugenini. Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel gamondi amebainisha kwamba wapo tayari kwa mchezo huo na kikubwa…

Read More

MUHIMU KUWA NA MAANDALIZI BORA KILA WAKATI

MWENDELZO mzuri unahitajika kwa wachezaji wote katika mechi ambazo wanacheza. Hali bado haijawa nzuri kwa baadhi ya wachezaji kufikiria mpira ni matumizi ya nguvu kubwa mwanzo mwisho. Ipo wazi kuwa mpira wa mchezo huwezi kuacha kutumia nguvu lakini ni muhimu kuwa makini. Kwenye msako wa pointi tatu ila ni muhimu kuwa makini katika kutimiza majukumu….

Read More

YANGA KAZINI LEO KUIVAA POLISI TANZANIA

BAADA ya kutwaa Ngao ya Jamii kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba,Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi leo Agosti 16 inafungua ukurasa kwenye Ligi Kuu Bara kwa kusaka ushindi mbele ya Polisi Tanzania. Yanga waliweza kutetea taji lao la kwanza ambalo walitwaa msimu uliopita wa 2021/22 ambapo walitwaa taji hilo kwa ushindi…

Read More

YANGA KAZINI TENA LIGI KUU BARA

KAZI inaendelea ndani ya Ligi Kuu Bara ambapo vinara wa ligi na mabingwa watetezi Yanga wanatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Geita Gold. Migue Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex….

Read More

YANGA KWENYE KIBARUA MBELE YA POLISI TANZANIA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya CR Belouizdad Jumamosi, Uwanja wa Mkapa, Yanga leo wanakibarua mbele ya Polisi Tanzania. Ni mchezo wa Azam Sports Federation hatua ya 16 bora unaotarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku sawa na muda wa mchezo wao ujao Ligi ya Mabingwa Afrika ambao…

Read More

MTUNISIA FRESH YANGA,KAZI INAANZA KESHO

MTUNISIA Nasreddine Mohammed Nabi ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo ya ‘Wananchi’ hadi mwaka 2024. Licha ya Nabi kuhitaji ongezo zaidi la mshahara ambao wameafikiana, kingine ni mipango yake ndani ya mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania.  Nabi anaamini anaweza kupata mafanikio aliyokosa alikopita, kama Yanga wanavyoamini pia juu yake hasa kufuatia kuimarishwa…

Read More

WALICHOFANYA MASTAA WA SIMBA NA TANZANIA PRISONS

MASTAA wa Tanzania Prisons na Simba walikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Oktoba 22 Uwanja wa Sokoine baada ya dakika 90 ubao ukasoma Tanzania Prisons 0-1 Simba. Kila nyota alifanya kazi kubwa kutimiza majukumu yake na hapa tunakuletea baadhi ya walichofanya mastaa wa timu hizo namna hii:-…

Read More

VIDEO:SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA KIPA MPYA/ ALIUMIA MAZOEZINI

KIPA mpya wa Simba Luis Jefferson anatajwa kupata maumivu kwenye mazoezi Uturuki ikiwa ni muda mfupi tangu atambulishwe. DR Shabiki wa Simba amebainisha kuhusu suala la mchezaji huyo ambaye hajapata fursa ya kucheza kwenye ligi ya Tanzania inayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Ikumbukwe kwamba ni Yanga ambao ni mabingwa wa msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea…

Read More

SIMBA HESABU KUBWA KWA AL AHLY

ZIKIWA zimesalia takribani siku nane kabla ya Simba hijacheza dhidi ya Al Ahly katika mchezo wa ufunguzi wa michuano ya African Football League, uongozi wa timu hiyo umesema watawaonesha wapinzani wao kwamba Simba ni timu ya aina gani. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba 20, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, kisha marudiano Oktoba 24,…

Read More

SALAH KUIBUKIA LA LIGA

KLABU ya Barcelona ya nchini Hispania inayoshiriki La Liga imeonesha nia ya kutaka saini ya Mohamed Salah raia wa Misri anayekipiga katika Klabu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu England . Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Hispania, vimesema kocha wa timu hiyo Xavi ameweka wazi nia yake ya kutaka kumsajili…

Read More

CASEMIRO HUYO MAN UNITED

MANCHESTER United imekubaliana na Real Madrid dili la kumsajili kiungo Casemiro kwa pauni milioni 60. Tayari pande zote zimeshakubaliana huku United pia ikiwa imeshakubaliana na Mbrazil huyo ambaye anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya wikiendi hii kabla ya kusaini mkataba wa miaka minne, Old Trafford. Mkataba huo unakipengele cha kuongeza mwaka mwingine zaidi ikiwa atafanya kazi…

Read More