REKODI NA KIKOSI CHA SIMBA V KAGERA SUGAR

KIKOSI cha Simba kitakachoanza dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba hiki hapa:_ Manula ambaye hajafungwa kwenye mechi 10 akiwa ameyeyusha dakika 1306 leo ana kazi ya kuendelea kulinda rekodi yake. Kapombe mchezo uliopita alitoa pasi moja ya bao Zimbwe Jr ana pasi nne za mabao Henock Kaoute nyota pekee mwenye kadi nyekundu ndani ya…

Read More

WEKA KANDO KUSHINDWA KUSHINDA NYUMBANI,KIMATAIFA KAZI

 WEKA kando suala la kukosa matokeo kwenye mechi za kimataifa bado kwa wawakilishi wa kimataifa kwenye mechi za kimataifa kazi inaendelea kwa kuwa muhimu kupata matokeo. Tunaona mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa ngumu kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Yanga kupata matokeo mazuri na sasa wana kazi nyingine ugenini. Utani…

Read More

NABI AMPA KAZI HII MAYELE YANGA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ametoa majukumu mazito kwa wachezaji wa timu hiyo, akiwemo kinara wa mabao, Fiston Mayele kwa kuhakikisha wanatupia mabao ya kutosha katika mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar kwa lengo la kuendelea kuongoza ligi. Nabi ametoa kauli hiyo baada ya kurejea kwa ligi kufuatia kumaliza mechi za Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) huku wakiwa na kumbukumbu za matokeo ya suluhu katika mchezo wa mwisho dhidi ya Mbeya City kabla ya ligi kusimama kupisha Shirikisho. Yanga inaongoza ligi ikiwa…

Read More

SIMBA: NTIBANZOKIZA ATAKUWA MFUNGAJI BORA

BOSI wa Simba kwenye idara ya Habari na Mawasiliano akiwa Ahmed Ally ameweka wazi kuwa suala lililobaki kwa sasa ni timu nzima kumsaidia Saido Ntibanzokiza kuwa mfungaji bora. Nyota huyo ametupia mabao 15 kwenye ligi ameachwa kwa bao moja na mfungaji namba moja Fiston Mayele ambaye yupo ndani ya Yanga akiwa na mabao 16. Leo…

Read More

DAKIKA 180 ZAIPA NGUVU SIMBA KUIKABILI DODOMA JIJI

DAKIKA 180 ambazo Simba imezitumia kwenye mechi za kirafiki Zanzibar zimewapa nguvu ya kupambana dhidi ya Dodoma Jiji. Leo kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kitatupa kete yake kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mgunda amesema kuwa mechi mbili ambazo wamecheza Zanzibar zinawapa nguvu kwa ajili…

Read More

KISINDA ATAJA SABABU ZA KUREJEA NDANI YA YANGA

TUISILA Kisinda kiungo wa Yanga ameweka wazi kuwa amereja kwa mara nyingine kufanya kazi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Winga huyo wa Yanga amerejea kwa mara nyingine ndani ya Yanga baada ya kuuzwa msimu uliopita ndani ya kikosi cha RS Berkane ya nchini Morocco. Amerudi kwa mara nyingine kuitumikia Yanga…

Read More

PIGA MKWANJA WA MAANA SIKU YA LEO

Ijumaa ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Kule Uingereza CHAMPIONSHIP itaendelea kwa mchezo mmoja Burnley FC atamenyana dhidi ya Sunderland AFC ambapo hawa wote wametoka kushinda mechi zao zilizopita hivyo mechi hii ni…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEKUWA NA TATIZO LA KIAFYA

SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa na tatizo la afya baadaye akarejea kwenye ubora Ama kwa hakika kila mtu hufurahia kuona wapendwa wao wakiishi kwa amani na wenye afya kila siku. Hali ilikuwa tofauti kwetu kwani mama mzazi alikuwa katika hali mbaya ya kifafa ambayo kila mara ilitukosesha usingizi kama wanawe. Kwa jina ni Kamau kutoka Nyamira….

Read More

ALIYEWAZIMA WAARABU KWA MKAPA JIONI AFICHUA SIRI

NYOTA wa Simba kiungo Edwin Balua aliyewazima wapinzani wao kwenye anga la kimataifa jioni amefichua alichoambiwa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kabla ya kuingia kwenye mchezo huo. Septemba 22 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 3-1 Al Ahli Tripoli huku mabao ya Simba yakifungwa na Kibu Denns dakika ya…

Read More

MGUNDA:MBEYA CITY NI WAGUMU

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa aliweka wazi tangu awali kuwa mchezo wao dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu na matokeo ambayo wamepata yametokana na ushindani huo. Licha ya kupata bao la kuongoza dakika ya 14 Simba iliokota bao dakika ya 78 kupitia kwa Tariq Seif ambaye alifanya mpango wa timu hiyo kusepa…

Read More