REAL MADRID IMETINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Real Madrid imetinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia ushindi wa jumla wa 4-3 dhidi ya Bayern Munich kwenye nusu fainali. FT: Real Madrid ?? 2-1 ?? Bayern Munich (Agg. 4-3) ⚽ Joselu 88’ ⚽ Joselu 90+2’ ⚽ Davies 68’ Real itachuana na Borussia Dortmund kwenye fainali itakayopigwa Juni 1, 2024 Jijini London katika…

Read More

MASTAA YANGA WAPEWA KAZI NA KOCHA WAO

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud ameweka wazi wachezaji wake wanafanya kazi kubwa kutafuta matokeo uwanjani jambo ambalo linapaswa kuwa endelevu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi. Miloud kibindoni ana tuzo ya kocha bora ndani ya Februari baada ya kukiongoza kikosi cha Yanga kwenye mechi 5 ambazo ni dakika 450 ushindi ilikuwa kwenye mechi…

Read More

KMC WALIPA KISASI MBELE YA POLISI TANZANIA

KMC leo imelipa kisasi mbele ya Polisi Tanzania kwa kuwatungua mabao 3-0 na kusepa na pointi tatu mazima. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza walipokutana Uwanja wa Karatu, ubao ulisoma Polisi Tanzania 2-0 KMC na kuwafanya waweze kusepa na pointi tatu mazima. Katika mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, ubao umesoma KMC 2-0…

Read More

YANGA KAMILI GADO KUWAKABILI KAGERA SUGAR

WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…

Read More

BANDA ANAREJEA MDOGOMDOGO

NYOTA wa Simba, Peter Banda anaendelea na program maalumu itakayomrejesha kwenye ubora wake. Mchezaji huyo hajaonekana uwanjani kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na ushindani kwa muda mrefu baada ya kupata maumivu. Ni kwenye mchezo dhidi ya Singida Big Stars alipata maumivu alipoingia akitokea benchi na alifunga bao moja. Ngoma ilikuwa nzito katika mchezo huo…

Read More

WAAMUZI UMAKINI UNAHITAJI KWENYE MAAMUZI

UNAONA mzunguko wa kwanza ulianza kwa kelele nyingi kutokana na waamuzi kuoneana wakifanya maamuzi ambayo yalikuwa yanaleta utata kwa wachezaji pamoja na mashabiki kushindwa kuelekewa kinachoendelea. Matukio ya kushindwa kutafsri sheria 17 yalikuwa yakiwapeleka mara kwa mara kwenye kamati za maadili kisha wakirejea wanaendelea kuwa kwenye ubor wao. Hii inamaanisha kwamba waamuzi tulioano uwezo wanao…

Read More

YANGA MWENDO WA 5 G KWENYE LIGI

MWENDO wa 5G kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga kwa wapinzani wao unaendelea. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex umesoma Yanga 5-0 JKT Tanzania. Kasi ya ufungaji kwa Yanga ilizidi kipindi cha pili yalipofungwa mabao manne na kipindi cha kwanza ilikuwa bao moja. Aziz KI alifungua pazia dakika…

Read More

YANGA HAO MALAWI KWA KAZIKAZI

MSAFARA wa Yanga leo Julai 5 umeanza safari kwa ajili ya kuelekea nchini Malawi. Timu hiyo imealikwa katika mchezo maalumu wa siku ya Uhuru ikiwa ni miaka 59 ya Uhuu wa Malawi. Julai 6 kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mchezo maalumu katika maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa nyota waliopo katika kikosi ni…

Read More

DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS

IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna…

Read More