SIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA

SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini ipo katika harakati za kumsajili kipa wa JKT Tanzania, Yakoub Seleman katika msimu ujao. Kipa namba moja kwa sasa ndani ya Simba SC ni Moussa Camara. Ni hati safi 19 amekusanya msimu wa 2024/25 akiwa kipa namba moja mwenye hati nyingi ndani ya…

Read More

MWENYE ZALI NA YANGA SC NI MABAO MANNE KAFUNGA

SIMBA SC haijawa na bahati mbele ya Yanga SC kwenye mechi za Kariakoo Dabi. Msimu wa 2024/25 haujawa bora kwao wakifungwa nje ndani ya mtani katika mechi za ligi. Rekodi zinaonyesha kuwa katika mechi ambazo wamekutana mkali wakucheka na nyavu ni Aziz Ki kwenye misimu mitano ya hivi karibuni kuanzia 2020/21. Ki kafunga jumla ya…

Read More

YANGA SC WALIPANIA KUIFUNGA SIMBA SC

Dickson Job nahodha msaidizi wa Yanga SC amesema kuwa walikuwa wanahitaji kuifunga Simba SC kwa namna yoyote ile ili kutwaa ubingwa wa msimu wa 2024/25 jambo ambalo lilifanikiwa Juni 25 2025 kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Simba SC ndani ya msimu wa 2024/25 imepishana na mataji yote iliyokuwa inapambania. Taji la CRDB Federation Cup…

Read More

JESHI LA YANGA SC DHIDI YA SIMBA SC, CHAMA BENCHI

KIUNGO Clatous Chama ameanzia benchi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC, Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mzunguko wa pili. Wengine ni Mshery, Kibwana Shomari, Nondo, Farid Mussa, SureBoy, Willson, Shekhan, Ikangalombo na Mzize ambapo Yanga SC inahitaji sare ama ushindi kutwaa ubingwa. Wachezaji wa kikosi cha kwanza ni Djigui Diarra, Israel Mwenda,…

Read More