
HUYU HAPA MRITHI WA MIKOBA YA PABLO SIMBA
IMEELEZWA kuwa suala la kocha mpya ndani ya Simba limeisha, baada ya kuwa kwenye mchakato mrefu ambao mwisho wa siku ni Tarik Sektioui atapewa mikoba hiyo. Sektioui ni raia wa Morocco, ambaye amefundisha klabu nyingi nchini humo ikiwemo RS Berkane ambayo aliinoa msimu wa 2019/2020 na kuiwezesha kutwaa Kombe la Shirikisho la CAF. Chanzo chetu…