
SENZO ATAJA SABABU ZA KUKUSANYA BILIONI YANGA
MKURUGENZI Mtendaji wa Klabu ya Yanga, Senzo Mbatha Mazingiza amesema kupitia mfumo wa kidigitali wa mabadiliko ya Klabu ya Yanga ulioasisiwa mapema mwaka huu klabu hiyo imeingiza zaidi ya Bilioni moja za kitanzania. Senzo amebainisha kuwa kwa msimu wa mwaka 2019 Yanga ilikusanya zaidi ya kiasi cha milioni 9 kupitia pesa za usajili wa wanachama,…