MANARA:WALINIDHIHAKI,ILA IMEJIBU SLOGAN

ANAANDIKA Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga:”Wapo walioidhihaki, na kuna wengine walinikejeli binafsi, wakasema sina jipya,nazikumbuka sana zile kashfa katika kituo kimoja cha Redio kuhusu kauli mbiu hii,walitumia wiki nzima kuiponda na kunishanbulia huku wakisema nawajaza Wananchi. “Kuna nyakati hadi wenzangu klabuni wakanishauri tubadili,nikawaambia hii Slogan imenijia kwa kuwa tunahitaji kurudisha makombe yetu,tuendelee nayo hii…

Read More

YACOUBA KUIKOSA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

WAKATI wakiwa kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Coastal Union, Yanga itakosa huduma ya mshambuliaji wao mmoja. Ni Yacouba Songne ambaye amekuwa nje kwa muda mrefu baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Kwa mujibu wa Kocha Msaidizi wa Yanga,Cedrick…

Read More

KOCHA COASTAL UNION ATUMA UJUMBE HUU YANGA

 JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa wanatambua kwamba leo wana mchezo mgumu wa fainali dhidi ya Yanga lakini wachezaji wake wanajua nini ambacho wanahitaji. Coastal Union ilitinga hatua hii kwa ushindi mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Coastal Union ilishinda kwa…

Read More

KOCHA GEITA GOLD AFUNGUKIA MPOLE KUTUA SIMBA

KOCHA Mkuu wa kikosi cha Geita Gold, Fred Felix Minziro, ameweka wazi kuwa ni kweli kuna uwezekano mkubwa wakampoteza straika na nahodha wa kikosi chao, George Mpole ambaye anatajwa kupokea ofa kutoka klabu za Simba na Yanga. Mpole amekuwa miongoni mwa wachezaji ambao wako kwenye nafasi kubwa ya kuondoka ndani ya kikosi cha Geita Gold…

Read More

KIUNGO MNIGERIA ASAINI AZAM FC

AZAM FC leo Julai Mosi wameufungua mwezi kwa kumtamulisha nyota mpya kwa ajili ya kuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Ni kiungo mkabaji kutoka Nigeria, Isah Ndala ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili. Ndala alikuwa akichezea Plateau ya Nigeria, amesaini mkataba mbele ya mmiliki wa timu, Yusuf Bakhresa na Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim…

Read More

NAMNA LIVERPOOL WANAMVYOMKUMBUKA MANE

STORI ya kusisimua mchana wa Agosti 14, 2016, ugenini Emirates dhidi ya Arsenal, Liverpool tunaongoza 3-1 mbele ya wenyeji. Philippe Coutinho akiwa amefunga mabao mawili, Adam Lallana moja. Ndani ya uwanja jezi namba 19 ya Liverpool imevaliwa na mchezaji mpya kikosini, Sadio Mane. Mechi ya kwanza ya msimu, mechi ya kwanza kwa Sadio ndani ya…

Read More

SAUTI:KMC WAPANIA KUFUNGA MSIMU NA REKODI

CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amebainisha kwamba wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kufunga ligi ambao watacheza ugenini dhidi ya Dodoma Jiji huku mpango mkubwa ikiwa ni kuweza kuweka rekodi msimu wa 2021/22. Kuelekea kwenye mchezo huo ni wachezaji wawili wanatarajiwa kuukosa mchezo huo ikiwa ni pamoja na Awesu Awesu na Mvuyekule ambao…

Read More

HUYU HAPA MRITHI WA MIKOBA YA PABLO SIMBA

IMEELEZWA kuwa suala la kocha mpya ndani ya Simba limeisha, baada ya kuwa kwenye mchakato mrefu ambao mwisho wa siku ni Tarik Sektioui atapewa mikoba hiyo.  Sektioui ni raia wa Morocco, ambaye amefundisha klabu nyingi nchini humo ikiwemo RS Berkane ambayo aliinoa msimu wa 2019/2020 na kuiwezesha kutwaa Kombe la Shirikisho la CAF.  Chanzo chetu…

Read More

YANGA YAFUNGUKIA USAJILI WA AZIZ KI

CEDRICK Kaze Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa hakuna mwalimu ambaye hatapenda kuwa na mchezaji kama Aziz KI kwa kuwa ni miongoni wa wachezaji wazuri. Nyota huyo anatajwa kuibukia ndani ya kikosi cha Yanga akitokea Klabu ya ASEC Mimosas ambapo alikuwa anatajwa pia kwenye rada za Simba. Kaze amesema kuwa suala la usajili lipo mikononi…

Read More

KIKOMBE CHA UBINGWA KILIACHWA MAPEMA,MIPANGO MUHIMU

 LIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa zimebaki mechi tatu kwa baadhi ya timu na nyingine zikiwa zimebakiwa na mechi mbili kukamilisha mzunguko wa pili. Inaonekana kwamba ilikuwa ligi ngumu na yenye ushindani mkubwa ambapo kila timu ilikuwa inapambana kufanya vizuri tangu mwanzo wa msimu. Hapa kuna picha nzuri ambayo imeweza kutengenezwa hasa kwenye upande wa…

Read More

BIASHARA YAPUNGUZIWA KASI,MPOLE ATAKATA

WAKATI kasi ya Biashara United ikizidi kupunguzwa kwenye spidi ya kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2022/23 mmoja ya watupiaji alikuwa ni George Mpole. Kwenye mchezo uliochezwa jana, Uwanja wa Nyankumbu, ubao ulisoma Geita Gold 2-0 Biashara United ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Mabao ya Geita Gold yalipachikwa na Mpole…

Read More

KOCHA YANGA AMPELEKA SAIDO SIMBA

BAADA ya Said Ntibanzokiza kuachana na Yanga kocha wa makipa wa zamani wa timu hiyo Vladimir Niyonkuru raia wa Burundi ameweka wazi kuwa anatamani kumuona kiungo huyo akisaini Simba. Saido mkataba wake ulimeguka Mei 30 na Yanga waliweka wazi kwamba wanamtakia kila la kheri kwenye changamoto mpya ambayo atakuwa kwa wakati ujao. Kocha huyo amesema:”Nimesikia…

Read More

M-BET YAIPIGA TAFU TASWA SC

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha nchini, M-Bet Tanzania imeisaidia vifaa vya michezo timu ya Waandishi wa Habari za michezo nchini, Taswa SC kwa ajili kutimika katika shughuli mbalimbali za michezo nchini. Vifaa hivyo ni jezi na mpira ambapo Meneja Masoko wa M-Bet Tanzania, Allen Mushi amesema kuwa wamefikia hatua hiyo baada ya kuvutiwa na mwenendo…

Read More

KOCHA SIMBA AINGIA RADA ZA AZAM FC

WAKATI mabosi wa Simba wakitajwa kuwa kwenye mazungumzo na mtaalamu wa viungo ili aweze kuibuka ndani ya kikosi hicho ambaye ni Adel Zraine, vigogo wengine nao wamemvutia kasi kocha huyo.  Zraine aliwahi kuwa ndani ya kikosi cha Simba na alifungashiwa virago baada ya timu hiyo kuodolewa katika hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu…

Read More