KOCHA JKT TANZANIA ATAJA WALIPOKWAMA MBELE YA SIMBA

ABDALAH Mohamed, ‘Bares’ Kocha Mkuu wa JKT Tanzania inayoshikiri Championship amesema kuwa walikwama kupata matokeo mbele ya Simba jana Desemba 14 Uwanja wa Mkapa kwa kushindwa kutumia nafasi ambazo walitengeneza. JKT Tanzania ikiwa Uwanja wa Mkapa ilishuhudia ubao ukisoma Simba 1-0 JKT Tanzania na kuondolewa kwenye raundi ya tatu ya Kombe la Shirikisho. Mtupiaji alikuwa…

Read More

NYOTA WATANO SIMBA WATAPIGWA PANGA

SIMBA huenda ikaachana na wachezaji watano mwishoni mwa msimu huu mara baada ya mikataba yao kumalizika,kati ya hao yupo beki Muivory Coast, Pascal Serge Wawa. Hiyo ni katika kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kitakachofanya vizuri msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali.  Tayari uongozi wa Simba umeanza kufanya mazungumzo na baadhi ya wachezaji wapyawatakaowasajili.Mmoja wa mabosi wa Simba, ameliambia Spoti Xtra kuwa,  wachezaji hao baadhi wataachwa kutokana na umri mkubwa walionao….

Read More

SIMBA YASHINDA MBELE YA JKT TANZANIA 1-0

KIBU Dennis, mshambuliaji wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco amefunga bao pekee la ushindi katika mchezo wa Kombe la Shirikisho. Ulikuwa ni mchezo wa raundi ya tatu na ubao wa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ulisoma Simba 1-0 JKT Tanzania. JKT Tanzania haikuwa na bahati licha kutengeneza nafasi za kutosha katika…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHAOANZA DHIDI YA JKT TANZANIA

LEO Desemba 14 kikosi cha Simba kinatarajia kutupa kete yake mbele ya JKT Tanzania kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho raundi ya tatu. Hiki haoa kikosi cha kwanza:- Beno Kakolanya Israel Mwenda Gadiel Kenenedy Wawa Kanoute Banda Mzamiru Yassin Kibu Dennis Sakho Mhilu Yusuph   Akiba Ally Kapombe Inonga Mkude Abdulsamad Duncan Kagere Ajibu Jimy

Read More

SIMBA:HAPA KAZI TU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba wao kipaumbele chao namba moja ni kazi tu uwanjani ili kupata matokeo chanya na hawana muda wa kushindana na wale wanaoongeaongea. Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu amesema kuwa wapo kwenye ligi kwa malengo makubwa ya kuweza kutetea ubingwa waliotwaa msimu uliopita na hilo linawezekana. “Sisi hapa kwetu ni kazi…

Read More

YANGA YAINGIA CHIMBO KUMTAFUTA MSHAMBULIAJI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa upo kwenye hesabu za kumsaka mbadala wa mshambuliaji wao Yacouba Songne ambaye anatarajiwa kuwa nje kwa msimu mzima wa 2021/22. Songne aliumia mguu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting,Novemba 2,2021 kwa sasa bado anapewa matibabu ili aweze kurejea kwenye hali yake ya kawaida….

Read More

PABLO:HATUKUPOTEZA MUDA KWA MKAPA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa walicheza mpira mbele ya Yanga na hawakutumia muda mwingi kupoteza muda kwa kujiangusha ama kulala uwanjani. Ilikuwa ni dabi ya kwanza kwa Franco, Desemba 11, Uwanja wa Mkapa na aliweza kugawana pointi mojamoja na watani zake wa jadi baada ya dakika 90 ubao  wa Uwanja wa Mkapa…

Read More

MABINGWA WA KOMBE LA FA SIMBA KAZINI LEO

MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho, Simba leo Desemba 14 wanatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkapa kusaka ushindi kwenye mchezo wa raundi ya tatu ya kombe hilo. Ikiwa inanolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya JKT Tanzania inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza ambayo kwa sasa inaitwa Championship. Mchezo huo…

Read More

MCHONGO UPO NDANI YA WILD ICY FRUITS

Reels zinazozidisha ushindi mara 2.000! Wild Icy Fruits ni mchezo rahisi unaopatikana kwenye sloti ya mtandaoni, una reels 5, safu 4 na mistari 40 ya malipo. Muonekano wa sehemu zilizoganda ukikinzana na milima iliyofunikwa kwa barafu, inakamilisha mandhari ya baridi. Matikiti na machungwa yanaongeza utamu wa mchezo, kengele za dhahabu na mgando wa lucky 7…

Read More

KOCHA AZAM FC ATAJWA KUFUTWA KAZI

UONGOZI wa klabu ya Azam FC umesitisha mkataba wa Kocha kutoka nchini Zambia George Lwandamina na Msaidizi wake kutoka Burundi Vivier Bahati, kutokana na mwenendo mbaya wa kikosi chao kwenye Mshime Mshike wa Ligi Kuu Tanzania Bara.   Azam FC jana Jumapili (Desemba 12) ikicheza nyumbani Azam Complex Chamazi, iliambulia sare ya bila kufungana dhidi…

Read More

MO KUTOA BILIONI 2 UJEZI WA UWANJA MPYA

MOHAMED Dewji ambaye ni mfanyabiashara na Rais wa Heshima ndani ya Simba  ameahidi kuchangia shilingi za Kitanzania bilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Klabu ya Simba. Mo amesema kuwa ameweza kupokea maoni ya watu wengi ambao ni wadau wa mpira pamoja na mashabiki wa Simba ambao wameweka wazi kwamba wapo tayari kuchangia…

Read More

NABI AKUBALI MUZIKI WA AISHI MANULA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mikono ya kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula iliwazuia kupata ushindi kwenye mchezo wao wa ligi. Juzi, Uwanja wa Mkapa, Yanga ilikuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Simba lakini ubao wa ulisoma Simba 0-0 Yanga na kufanya timu hizo kugawana pointi mojamoja. Nabi amesema…

Read More