KAGERA SUGAR KUKOMAA MECHI ZIJAZO
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa watajipanga kwa ajili ya mechi zijazo ndani ya Ligi Kuu Bara. Mchezo uliopita Kagera Sugar ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Simba na kuweza kuyeyusha pointi tatu mazima. Akizungumza na Saleh Jembe, Baraza amesema kuwa wamekuwa kwenye ratiba ngumu jambo ambalo linawafanya washindwe kwenda na…