
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
Msimu wa 2021/22 unaendelea kushika kasi. Wikiendi hii ni EPL, LaLiga, Ligue 1, FA Cup na Copa Diego Maradona kutimua vumbi viwanjani. Hakika, zinazopata kashkash ni nyasi, Meridianbet tunakupa mipango tu… Wolverhampton Wanderers watakua uwanjani kuwaalika Leeds United katika muendeleazo wa EPL ijumaa hii. Kimahesabu, huu ndio ule wakati wakusema “kila mtu ashinde mechi zake”…
IMEELEZWA kuwa kesho Ijumaa wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho, Simba wanatarajia kukwea pipa kueleka nchini Benini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumapili ya Machi 20,2022 ukiwa ni mchezo wa tano kwenye hatua ya makundi na unatarajiwa kuchezwa nchini Benin. Kwenye…
CEDRICK Mkurugenzi wa Taasisi ya Voice Of Changes Tanzania ambayo ni Taasisi isiyo ya Kiserikali inayoleta fikira chanya imebainisha kwamba kuna mpango ulioandaliwa kwa muda kwa kushirikiana na Chama cha Mpira Dar, (DRFA) wameandaa mchezo maalumu ambao utawakutanisha wachezaji wa kigeni dhidi ya wale wa ndani Uwanja wa Mkapa mara baada ya ligi kumalizika na…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga ametaja kiasi ambacho walikipata kwenye mchezo wa hisani ambao ulichezwa Uwanja wa Azam Complex na ubao ulisoma Yanga 1-1 Timu ya Taifa ya Somalia.
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
PAPE Sakho kiungo mshambuliaji wa Simba bao alilowatungua RS Berkane limechaguliwa kuwa bao bora la wiki katika mashindano ya Kombe la Shirikisho. Pape alipachika bao hilo Uwanja wa Mkapa, Machi 13 wakati Simba ikivuna pointi tatu mazima. Ilikuwa dakika ya 44 Sakho alifanya hivyo baada ya kupokea pasi kutoka kwa Meddie Kagere. Kabla ya kufunga…
AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo unemalizwa ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza baada ya mabao matatu kufungwa. Namungo FC walianza kutupia bao la kuongoza dakika ya 2 kupitia kwa Mohamed Issa likasawazishwa na Prince Dube dk ya 22….
KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ametaja majina ya wachezaji ambao watakuwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kwa ajili ya mechi za kirafiki zilizo kwenye Kalenda ya FIFA. Hivi ndivyo ambavyo aliweza kuwataja nyota hao Machi 15,2022.
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kupitia mchezo wa Hisani kati ya Yanga v Timu ya Taifa ya Somalia ni milioni 41 zimekusanywa. Yanga ilicheza mchezo wa kirafiki wa hisani ilikuwa dhidi ya Timu ya Taifa ya Somalia ulichezwa Uwanja wa Azam Complex. Manara amesema:”Mchezo uliochezwa Jumamosi iliyopita kwa ajili ya kuchangia taasisi…
SHABAN Kazumba, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons amesema kuwa bado wanatengeneza timu hivyo wana imani ya kuweza kufanya vizuri kwenye mechi zao zilizobaki. Ikiwa Uwanja wa Karume, Mara Machi 15,2022 ilikubali kushuhudia ubao ukisoma Biashara United 2-1 Tanzania Prisons. Ni mabao ya Deogratius Mafie kwa upande wa Biashara United yalipachikwa kimiani dakika ya 26 na…
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa Simba chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco wameanza mazoezi ili kuweza kujiweka sawa kwa mechi zijazo za Ligi Kuu Bara pamoja na zile za kimataifa. Machi 13,2022 Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 kukamilika ubao ulisoma Simba 1-0 RS Berkane na kuwafanya Simba kubaki na pointi tatu…
SENZO Mbatha, Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Yanga ameweka wazi kwamba mchakato wa kuelekea kwenye mabadiliko ndani ya timu hiyo unaendelea vizuri na ambacho kipo kwa sasa ni kuweza kukamilisha suala zima la uchaguzi. Pia amebainisha kuwa jambo ambalo linatazamwa kwa ukaribu kabla ya uchaguzi ni kukamilika kwa usajili wa matawi na wale ambao watakamilisha…
MACHI 16,2022 leo kikosi cha Namungo FC kitawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ilulu, Lindi. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao unatarajiwa kuchezwa majira ya saa 10:00 jioni ukisubiriwa kwa shauku na mashabiki wa timu zote hizo kubwa Bongo. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Azam…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
NYOTA wa kikosi cha Yanga Princes, Aisha Khamis Masaka amepata dili la kucheza soka la kulipwa katika Klabu ya BK Hacken FF ya nchini Sweden. Nyota huyo ni miongoni mwa mastaa ambao walikuwa wakifanya vema kwenye Ligi ya Wanawake Tanzania na alikuwa anaitwa Asha Magoli kutokana na uwezo wake wa kucheka na nyavu. Taarifa rasmi…
MACHI 15,2022 leo Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Kim Poulsen ameita wachezaji ambao watakaoingia kambini kwa ajili ya mechi za kirafiki zilizo kwenye kalnda ya FIFA. Kwa upande wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ni wachezaji 7 wameitwa ambao ni pamoja na kipa namba moja wa Simba Aishi…