>

STARS KUKWEA PIPA BAADA YA MECHI

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Novemba 11 ikimaliza kazi mbele ya DR Congo, itaelekea Madagascar kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo utakaopigwa Novemba 14, 2021 kusaka tiketi ya kufuzu kombe la Dunia Qatar 2022, ambapo Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania imetoa ndege kuelekea mechi hiyo.   Katibu Mkuu…

Read More

AJIBU,MKUDE WAONGEZEWA DOZI SIMBA

KOCHA mpya wa Simba, Pablo Franco ambaye ametua leo Novemba 10 alikuwa anawasiliana na benchi la ufundi la Simba ambalo lilikuwa chini ya Hitimana Thiery na Seleman Matola kuhusu suala la mazoezi ya vijana hao. Taarifa zimeeleza kuwa wakati Simba wakiendelea na mazoezi kabla hajatua tayari alikuwa ametuma program ambazo zinapaswa kuanza kutumika jambo ambalo…

Read More

KIM POULSEN:HAITAKUWA KAZI RAHISI MBELE YA DR CONGO

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa mchezo wa kesho dhidi ya DR Congo haitakuwa kazi rahisi kwa wachezaji lakini ni muhimu kupambana ili kupata matokeo chanya. Kesho, Stars ina kibarua kikubwa cha kusaka ushindi mbele ya DR Congo kwenye mchezo wa kuwania Kufuzu Kombe la Dunia wakiwa…

Read More

PABLO YUPO DAR TAYARI KUINOA SIMBA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba leo Novemba 10 amewasili Dar kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo inayowania kutetea taji la Ligi Kuu Bara. Kocha huyo amekuja kuchukua mikoba ya Didier Gomes ambaye alibwaga manyanga kutokana na kushindwa kutimiza lengo la kwanza la timu hiyo la kutinga hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa…

Read More

AZAM FC KUSAJILI MASHINE TATU ZA KAZI

WAKATI vijana wa Azam FC wakiendelea na mazoezi kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22, imeelezwa kuwa mabosi wa timu hiyo wapo kwenye mpango wa kusajili nyota watatu wa kazi kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho. Mpango kazi unatajwa kuchorwa kwa kuwafuata nyota kutoka Rwanda kwa lengo la kuboresha kikosi hicho ambacho…

Read More

MAKAMBO ATUPIA MBELE YA MLANDEGE,ZANZIBAR

HERITIER Makambo nyota wa Yanga alipachika bao pekee la ushindi katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja Aman dhidi ya Mlandege FC ya Zanzibar.   Katika mchezo huo dakika 45 za awali ngoma ilikuwa ngumu kwa pande zote mbili kupenya katika nyavu na kuwafanya waende mapumziko wakiwa wametoshana nguvu. Ilibidi Yanga wasubiri mpaka dakika ya 49…

Read More

KUMBE MBRAZIL WA SIMBA ALIKUWA NA MKATABA MPAKA 2024

MILTON Nienov, raia wa Brazil aliyekuwa kocha wa makipa ndani ya Klabu ya Simba amebainisha kuwa alikuwa amesaini dili jipya la kuendelea kuitumikia timu hiyo mpaka 2024 ila haikuwa hivyo baada ya mabosi wa timu hiyo kuamua kuvunja mkataba wake. Nienov alikuwa akimnoa kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula, Beno Kakolanya, Jeremia Kisubi na…

Read More

YANGA HAWAJUI KAMA DIARRA ATABAKI HAPO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hauna uhakika na mchezaji huyo kubaki ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao kutokana na uwezo alionao kwenye mikono yake na akili ya mpira.   Raia huyo wa Mali anaitwa Diarra Djigui huku jina la utani wakimuita ‘Screen Protector’ kutokana na kazi yake anayofanya akiwa kwenye lango.   Ofisa…

Read More

MAKOCHA SIMBA WASHTUSHWA NA UJIO WA PABLO

UJIO wa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania ambaye amepewa dili la miaka miwili umewashtua makocha waliokuwa kwenye timu hiyo kwa kuwa walikuwa hawafahamu lolote kuhusu kuwasili kwake Bongo. Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa makocha hao ilieleza kuwa Seleman Matola ambaye ni kocha msaidizi pamoja na Hitimana Thiery ambaye alikuwa…

Read More

YANGA YAELEKEA ZANZIBAR, KUCHEZA LEO

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo wameanza safari kuelekeza Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mechi zijazo za Ligi Kuu Bara. Kikiwa na msafara wake chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Novemba 9 kinatarajiwa pia kuwa na kazi ya kufanya kwa kucheza mchezo wa kirafiki. Kwenye msafara huo wamekosekana nyota wao ambao…

Read More

YANGA WASEPA NA TUZO KAMA ZOTE

SHIRIKISHO la Soka Tanzania limebainisha kuwa sababu kubwaya kutoa tuzo kwa wale wanaofanya vizuri ni kuongeza morali kwa wachezaji, makocha pamoja na mameneja ili wafanya kazi yao kwa uzuri zaidi. Kwa sasa tayari ligi imeanza ikiwa ni msimu wa 2021/22 na ni Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ametangazwa kuwa kocha bora wa mwezi Oktoba…

Read More

KOCHA WA SIMBA KUJA NA MASHINE MPYA

IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco anahitaji kuja na watu wake wa kazi kwa ajili ya kupata matokeo chanya kwenye mechi zake ambazo atacheza. Pablo ambaye amepewa dili la miaka miwili anatarajiwa kutua nchini muda wowote kuanzia sasa baada ya kutangazwa kuwa mrithi wa mikoba ya Didier Gomes ambaye alibwaga manyanga. Habari kutoka…

Read More

UJUMBE WA MORRISON HUU HAPA

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison, amefunguka kuwa licha ya hali ngumu wanayokutana nayo mwanzoni mwa msimu huu, bado kikosi hicho kina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu. Simba kwa sasa ipo nafasi ya pili kwenye msimamo ikiwa na pointi 11 baada ya kucheza mechi tano za Ligi Kuu Bara. Mchezo wake wa tano iliibuka na ushindi wa…

Read More