VIDEO;YANGA WABAINISHA KUHUSU UBINGWA

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa kesho Februari 23, Uwanja wa Manungu wapo tayari na benchi la ufundi linahitaji ushindi. Manara ameweka wazi kwamba Mtibwa Sugar ilishawahi kuwa bingwa wa ligi mara mbili mfululizo na uzoefu katika kushiriki mashindano makubwa na…

Read More

Marioo – YANGA Tamu (Official Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo ametangaza rasmi kuwa shabiki wa Yanga. Utakumbuka Marioo alikuwa Simba na mara kadhaa alikuwa akishiriki katika matamasha ya Simba. Marioo amesema kuwa sababu kubwa ya kuhama Simba na kujiunga na Yanga kwa sababu hapendi mawazo (Stress). “Sasa nipo rasmi Yanga, zamani nilikuwa nashabikia timu ile nyingine. Mimi sipendi…

Read More

BEI YA JEZI ZA YANGA YASHUSHWA ,MARIOO MWANANCHI

KLABU ya Yanga imepunguza bei ya jezi zake ili kuwapa nafasi mashabiki wake kununua jezi za timu yao kwa bei nafuu zaidi na kuongeza hamasa zaidi. Kauli hiyo imetolewa Februari 21, 2022 na Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara ambaye ameweka wazi kuwa malengo ya kufanya hivyo ni kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo na…

Read More

MTIBWA SUGAR YAPANIA KUVUNJA REKODI YA VINARA WA LIGI

UONGOZI wa Mtibwa Sugar, umebainisha kuwa, kikosi chao kipo tayari kuvunja rekodi ya Yanga ya kutopoteza mchezo hata mmoja kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu.   Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Februari 23, mwaka huu ambapo Mtibwa watakuwa wenyeji wa Yanga kwenye Uwanja wa Manungu, Morogoro. Ikumbukwe kuwa, Mtibwa Sugar wanaingia kwenye mechi hii wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo kwa mabao 3-1 pamoja na kutolewa hatua ya…

Read More

MORRISON ASIMULIA NAMNA ALIVYOFUNGA KIMATAIFA

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison mtupiaji wa bao lililoipa timu hiyo pointi moja amesema kuwa kwake ni furaha kufanya hivyo kwa ajili ya timu. Ilikuwa jana Februari 20 Morrison akitokea benchi wakati Simba ikiwa ipo nyuma kwa bao 1-0 aliweza kuingia na kufunga bao. Morisson aliingia dakika ya 64 akichukua nafasi ya Yusuph Mhilu…

Read More

PRESHA YA UBINGWA IPO YANGA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuna presha kubwa katika kusaka ushindi uwanjani ambao utawapa ubingwa kutokana na kila timu kupiga hesabu za kuifunga Yanga.   Yanga ni vinara wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 36 kibindoni baada ya kucheza mechi 14, ndani ya ligi hiyohawajapoteza mchezo msimu huu, huku Jumatano ijayo wakitarajiwa kupambana na Ruvu Shooting. Akizungumza na Spoti Xtra, Nabi alisema: “Presha inakuwa kubwa hasa timu inaposaka ushindi,…

Read More

BOCCO ATUMA UJUMBE HUU KIMATAIFA

JOHN Bocco, Nahodha wa Simba, amesema hawatawaangusha Watanzania kwenye mashindano ya kimataifa kwa kuwa wapo vizuri na watapambana bila kuchoka. Simba ikiwa Kundi D la michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, leo Jumapili inatarajiwa kutupa kete yake ya pili mbele ya US Gendarmerie, mechi ikichezwa nchini Niger “Tunajua kwamba mchezo utakuwa mgumu na kila timu inahitaji ushindi nasi tutapambana kushinda. “Kwa upande wa ushindi hata…

Read More

AZAM FC BADO HAIJAFIKA KWENYE UBORA WENYEWE

KOCHA Mkuu wa Klabu ya Azam FC, Abdi Hamid Moalin, amesema bado hajaipata Azam anayoitaka na ubora wa kikosi chake kwa sasa hauzidi asilimia 65 hivyo bado jambo lao ni kusaka uimara kwa asilimia kubwa. Moalin amefunguka kuwa kuna levo ya ubora ambayo anahitaji kuiona kwenye timu yake, jambo ambalo bado analifanyia kazi kwa sasa…

Read More

SAKHO,BANDA WAMPA KIBURI PABLO KIMATAIFA

KUREJEA kwa Pape Ousmane Sakho ambaye aliumia katika mchezo dhidi ya ASEC Mimosas na kuimarika kwa kiwango cha winga Peter Banda, kumempa kiburi Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco kufanya vizuri katika mchezo wa leo Jumapili dhidi ya Union Sportive Gendarmerie Nationale ya nchini Niger. Simba leo Jumapili wanatarajiwa kumenyana na Union Sportive Gendarmerie Nationale katika mchezo wa pili wa Kundi D ndani ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa kwenye Dimba la Général Seyni…

Read More