
ISHU YA ONYANGO KUSEPA SIMBA IMEFIKA HAPA
BEKI wa kati wa Simba raia wa Kenya, Joash Achieng Onyango, amekubali kuongeza mkataba wa kuendelea kukipiga ndani ya timu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu tetesi zizagae za beki huyo tegemeo kunako Simba kugomea mazungumzo ya awali kati yake na uongozi wa timu hiyo. Onyango ni kati ya wachezaji wanaomaliza mikataba katika kikosi…