
KIUNGO MNIGERIA ATAMBULISHWA RASMI SIMBA
KIUNGO wa katikati ya dimba mwenye uwezo mkubwa wa kuhimili mechi za aina zote leo Julai 10,2022 ametambulishwa ndani ya Simba Ni Victor Akpan raia wa Nigeria ambaye alikuwa nyota wa kikosi cha Coastal Union ya Tanga. Hivyo msimu ujao atakuwa ndani ya mabingwa mara nne mfululizo wa Ligi Kuu Bara ambao ni Simba. Kiungo…