
SAUTI:AMETOA SHUKRANI HAJI MANARA BAADA YA KUFUNGIWA
HAJI Manara,Ofisa Habari wa Yanga baada ya kufungiwa kujihusisha na masuala ya soka kwa miaka miwili pamoja na faini ya milioni 20 ameweza kutoa shukrani
HAJI Manara,Ofisa Habari wa Yanga baada ya kufungiwa kujihusisha na masuala ya soka kwa miaka miwili pamoja na faini ya milioni 20 ameweza kutoa shukrani
Kikosi cha Azam FC leo Julai 22 kimeelekea Misri kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya Ligi Kuu Bara pamoja na mashindano mengine ikiwa ni pamoja na Kombe la Shirikisho na kitaweka kambi jijini El Gouna, Misri kwa siku 20. Kabla ya kukwea pia kuelekea Misri Azam FC wao walianza kambi ya ndani kwa ajili…
AGOSTI 8,2022 Simba inatarajiwa kucheza Simba Day ambapo inatarajiwa kucheza na Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Uwanja wa Mkapa
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga leo wanaanza kambi yao rasmi kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Yanga chini ya Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi inaanza kambi hiyo ya ndani baada ya ule mpango wa kuweka kambi yao nchini Tunissia kusitishwa. Awali kambi yao ilitarajiwa kuwa nchini Tunissia lakini kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni…
KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Kim Poulsen amesikitishwa na kitendo cha Mamlaka za soka kuinyima ruhusa timu hiyo ya Taifa kupata nafasi ya kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Poulsen amebainisha kuwa anajisikia vibaya na anshindwa kuelewa dhana ya kuinyima timu ya taifa faida ya kufanya mazoezi na maandalizi ya…
RASMI leo Julai 22 Simba imemtambulisha beki mpya ambaye atakuwa kwenye kikosi chao kwa msimu wa 2022/23 katika mashidano ya kitaifa na kimataifa akichukua mikoba ya Pascal Wawa ambaye aliachwa rasmi na Simba. Simba wenyewe wamemuita beki kisiki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chao…
Simba mpya unyama mwingi,Yanga yatua Kigamboni ndani ya Champion Ijumaa
OFISA Habari wa Yanga, Haji Manara amepewa adhabu ya kufungiwa miaka miwili leo Julai 21. Adhabu hiyo imetokana na makosa ambayo amekutwa nayo kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania. Mbali na kufungiwa miaka miwili pia Manara amepewa adhabu ya kutoa faini ya shilingi milioni 20. Baada ya adhabu hiyo,Haji Manara ametoa kauli…
MZEE wa mikato ya kimyakimya,kiungo mgumu ndani ya Simba, Sadio Kanoute huenda akauzwa ili apate changamoto mpya. Inaelezwa kuwa kiungo huyo amepata dili kutoka kwa timu za nje ambazo zinahitaji saini yake ikiwa ni pamoja na zile za nyumbani kwao Mali pamoja na Afrika Kusini. Kaizer Chiefs inatajwa kuwa miongoni mwa timu ambazo zinahitaji saini…
AZIZ KI apewa mtaalam Yanga,Zoran akabidhiwa rungu zito Simba
KIUNGO wa Simba Pape Sakho bao lake limeingia kwenye tatu bora kwa wale ambao wanaowania tuzo ya bao bora la CAF msimu wa 2021/22. Kwa hatua hiyo bao la nyota huyo anayekipiga ndani ya Simba limepigiwa kura kiasi kikubwa na mashabiki wa Sakho ambao ni Watanzania pamoja na mashabiki wa mpira waliopo Tanzania na nje ya…
MUKOKO Tonombe kiungo wa zamani wa Yanga anatajwa kurejea kwa mara nyingine kwenye ardhi ya Tanzania
GEORGE Mpole mtupiaji namba moja ndani ya ligi msimu wa 2021/22 baada ya kufunga mabao 17 huenda akasalia ndani ya Geita Gold. Awali alikuwa anatajwa kuibuka ndani ya timu zilizomaliza tatu bora kwa ajili ya kuwa hapo msimu wa 2022/23. Kocha wa Geita Gold,Felix Minziro aliwahi kusema kuwa kutokana na kiwango ambacho amekionyesha mchezaji huyo…
KIUNGO wa Simba, Pape Sakho amewaomba mashabiki na kila mmoja kuendelea na zoezi la kumpigia kura kwenye kipengele ambacho amechaguliwa kuwania tuzo ya bao bora la mwaka la CAF. Nyota huyo alifunga bao kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas ambapo alipachika bao hilo kwa mtindo wa tik taka, ilikuwa ni Uwanja wa Mkapa. Kwa sasa…
KIPA namba moja ndani ya kikosi cha Simba, Aishi Manula ameongeza kandarasi ya miaka mitatu kuweza kuendelea kusalia ndani ya timu hiyo. Awali nyota huyo alikuwa anatajwa kuingia anga za Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini na kulikuwa na mazungumzo na timu mbalimli. Kipa huyo ni chaguo la kwanza ndani ya Simba ambapo kwa sasa yupo…
IKIWA imeweka kambini nchini Misri kwa ajili ya maanalizi ya msimu wa 2022/23 Simba inatarajiwa kufunga usajili wake na mastaa watatu
AISHI Manula kipa namba moja wa Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars ameweka wazi kuwa kwa namna ambavyo wanajifunza wanazidi kuimarika kuelekea mechi ya kuwania kufuzu nafasi ya CHAN dhidi ya Somalia