
VIDEO: JUMA MGUNDA AFUNGUKIA ISHU YA VYETI
KOCHA Mkuu wa Simba Juma Mgunda amebainisha wazi kuhusu suala la vyeti vyake vya kazi
KOCHA Mkuu wa Simba Juma Mgunda amebainisha wazi kuhusu suala la vyeti vyake vya kazi
MECHI za awali zimeanza kwenye mechi za kimataifa na tunaona wawakilishi wa Tanzania wameanza kupata matokeo chanya katika mechi za awali. Pia zipo ambazo zimepata matokeo ambayo walikuwa hawayahitaji wala kuyatarajia ni muhimu kupanga mipango upya kwa ajili ya mechi zijazo. Kila hatua ambayo inapigwa ni muhimu kufanya maandalizi mazuri kwa kuwa hakuna matokeo yanayopatikana…
MSAFARA wa nyota wa Simba ambao walikuwa nchini Malawi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Big Bullets umerejea salama Dar
MIKATABA yapitiwa upya, mastaa Yanga wajazwa mamilioni, Phiri afungukia bao lake la kiwango cha dunia Caf ndani a Championi Jumatatu
Hatulazi damu, wiki hii tunaendelea kukupatia mihela ya kutosha kwenye mechi za UCL, chakufanya andaa mkeka wako meridianbet wamekupa odds kubwa kwenye game za wiki hii. Kabla ya kuanza usiku wa mabingwa, leo utashudia mechi mbili kali za Ligi ya Serie A na La Liga, Raundi ya sita itawakutanisha Empoli dhidi ya Roma ambaye…
MEDDIE Kagere ni miongoni mwa nyota walioanza kikosi cha kwanza kilichopangwa na Kocha Mkuu Hans Pluijm mwenye tuzo ya kocha bora kwa mwezi Agosti. Mchezo huo wa ligi umechezwa Uwanja wa Liti,baada ya dakika 90 ubao umesoma Singinda Big Stars 0-0 Dodoma Jiji. Mchezo wa leo Dodoma Jiji wamekamilisha wakiwa pungufu baada ya nyota wao…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema bado kazi ipo kwenye mchezo wao ujao wa kimataifa dhidi ya Zalan FC. Jana, Septemba 10, ubao wa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ulisoma Zalan 0-4 Yanga huku wafungaji wakiwa ni Fiston Mayele aliyetupia mabao matatu na mzawa Feisal Salum aliyefunga bao moja. Ushindi huo ulipatikana…
KOCHA Nasredddine Nabi ameweka wazi kuwa uwezo wa wachezaji wake kwenye mchezo dhidi ya Zalan FC ulikuwa bora mbele ya wapinzani wao uliochezwa Uwanja wa Mkapa
MBOTO ameweka wazi kuwa ameumia Simba kushinda amemtaja Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda
MZEE Muchachu ametoboa siri ya ushindi Simba kimataifa
MADEE amtaja Mayele ufungaji bora Afrika kwenye ligi
Keno ni moja ya mchezo ambao umejizolea umaarufu zaidi kwa urahisi wake na kuwatoa kimaso maso washindi. Nyumba ya mabingwa, Meridianbet, inakupa fursa ya ushindi na Keno. Bahati Nasibu ya Keno Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezea bahati nasibu kupitia mchezo wa Keno. Keno ni mchezo wa namba ambao mchezaji anachagua namba 10 kutoka kwenye…
WACHEZAJI wa Yanga leo Septemba 10,2022 wameshinda mabao 4-0 dhidi ya Zalan FC kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hiki hapa wamefanya baada ya ushindi
SHABIKI wa Klabu ya Simba anayeishi mkoani Arusha, Joseph Marwa ameshinda sh 60, 321,350 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 12 za ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni ya M-Bet. Marwa ambaye ni mjasiriamali amesema kuwa awali hakuwa na imani na michezo ya kubashiri kabisa mpaka alipofuatwa kukopwa fedha ya nauli na…
UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Zalan 0-4 Yanga kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya awali. Mabao yote ya Yanga yamefungwa kipindi cha pili baada ya dakika 45 ubao kusoma Zalan 0-0 Yanga. Fiston Mayele ambaye katupia mabao matatu mwenyewe alianza kufunga bao la kuongoza dakika ya 47 na mengine…
MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali, Big Bullets 0-1 Simba. Ni mchezo wa kwanza kwa Kocha Mkuu, Juma Mgunda kukamilisha dakika 45 akishuhudia bao la Moses Phiri dakika ya 28. Bao hilo amefunga kwa mtindo wa acrobatic akiwa ndani ya 18 kwenye mchezo huo wenye ushindani mkubwa
MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya awali, Uwanja wa Mkapa, Zalan FC 0-0 Yanga. Ni dakika 45 za nguvu kwa kila timu kuonyesha ubabe wake lakini hakuna ambaye ameweza kuona nyavu za mpinzani wake. Kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi anakwenda mapumziko kuwabadilishia mbinu wapinzani wake ambao nao wanahitaji ushindi.